Napita tu hapa sina komenti.Tunamfundisha Mungu katika uumbaji wake kweli? Wakiajiriwa warembo watadai ni nyumba ndogo zao. Wenye sura kama zangu oooohh hawavutii. Sasa mfanyiwe nini ili mridhike nyie BINADAMU?
Serikali/Shirika haiajiri/haliajiri kwa ubaguzi,bali kinachoangaliwa ni kazi tu. Tunachotaka kazi ifanyike,mengine hayo ya sura na maumbile ni macho ya mtazamaji. Mbele ya Mungu hakuna aliye nzuri au mbaya,ndio maana kila nafsi itaonja mauti au BINADAMU yeyote ameumbwa kwa mavumbi na mavumbini atarudi.
ATCL CHAPENI KAZI,MSISIKILIZE YETU MSIJE KATA TAMAA BURE,HUWA HATUKOSI LA KUSEMA.
TUSIPOTOSHANE, hahahahaha!!
Tusipotoshane