CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

Mbona yeye Mh Mbunge ana mvuto! Akazaye mtoto wake apewe ajira
 
Namuunga mkono Mheshimiwa sana Mbunge, ila kabla ya kukimbilia kwa Air Hostess tuanze bungeni kwanza. Kuwa na naibu spika asiye na mvuto ni aibu kwa Taifa. Tunataka Spika/Naibu Spika akisimama bungeni wageni waseme Yes huyu ni kiongozi.
 
Namuunga mkono Mheshimiwa sana Mbunge, ila kabla ya kukimbilia kwa Air Hostess tuanze bungeni kwanza. Kuwa na naibu spika asiye na mvuto ni aibu kwa Taifa. Tunataka Spika/Naibu Spika akisimama bungeni wageni waseme Yes huyu ni kiongozi.
Mkuu awamu ya kazi hii bana...haya mambo yalipita enzi zilee...recall ma dc wa miaka ile[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda kuna kitu alimaanisha
Kama kuajiriwa kwa upendeleo ila akabadili usemi
Kweli air hostesses wanatakiwa wawe na mvuto ukiangalia airlines zote
Sio kuwa amekufuru ila ana hoja
 
"Ooh wengi watakosa kazi"..! Upuuzi

"Sijui unamfundisha mungu kuumba"..! Unafiki

Kila sehemu na utaratibu na vigezo vyake_Mbona askari hawachagui maandunje na viemoro kisa labda navyo visitengwe na vipate ajira kama wengine..!?

Ujinga hatutaki wekeni warembo
 
Kwani ndege zinabeba wanaume tu ili wavutiwe na hao wahudumu wanawake? Ndege Zina wahudumu wanaume pia haya huyo mwilima atueleze vigezo vya mhudumu mrembo wa kiume aweje?
Wapi nimesema ndege zinabeba wanaume tu, au wapi nimesema wenye mvuto ni wanawake tu? Kwani hakuna wanaume warefu wenye mvuto?
 
Naunga mkono mbunge kwa hoja yake kwani kila kitu kina masharti hasa kazini,kwenye mchezo wa mpira mara nyingi golikipa na beki kati lazima wawe warefu kwa kimo,hivyo ajira kwenye ndege zetu ni vizuri wazingatie mvuto/urembo.Pia napendekeza hata watangazaji wa TV yetu ya taifa wa kike baadhi yao hawana mvuto wapewe kazi nyingine.
 
Aulizwe kama mamake mzazi aliyejipatia kazi ya kumlea kama hupo "Attractive" Yaani mtu mzima na akili zake anategemea kuamsha fikra za mahaba na airhostess? Hivi amekosa pesa za kwenda bata oysterbay ale anasa na mabinti wanao fanya hiyo kazi ya uzinzi? Wahudumu ndani ya ndege wapo hapo kupakua matapishi yako ukipata air-sickness, kukuokoa ndege ikianguka ama ikipata hitilafu.. Hawapo hapo kukupea blow-job
Umeshawshi kuwaona wahudumu wa Qatar au Etihad wewe kweli?
 
Cheki na migauni yao!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tufananishe na hawa wa Ethiopian airlines
dd5b720f3ecbcf9c124651c490ec6ebf.jpeg
 
Tatizo tunaiga vigezo vya ulaya kuchukua warefu wembamba, vimiguu kama nondo.

Wakati sisi tunapenda matinginya, yaliyojazia makalio. Miguu ya bia, mkia ulio jazwa ukajaa. Hivyo ndio vigezo vya kiafrika.

Wanaume hatuangalii sura hata awe mzuri vipi sisi tunaangalia mzigo nyuma, we love meat especially lamb tail, came on guys let's be honest.

Warudishe miss bantu, washindi waajiriwe siku hiyo hiyo.

Abiria wanapiga miruzi toka JKNA hadi Mwanza. Ukisikia abiria kapitiluza kituo bila kujijua ndio hii sasa.

Ndege za msukuma, vigezo vya wahudumu viwe vya kisukuma pia.
 
Back
Top Bottom