Uchaguzi 2020 CCM mpitisheni Makonda amalizie kazi aloianza, Wananchi bado tunamuhitaji

Uchaguzi 2020 CCM mpitisheni Makonda amalizie kazi aloianza, Wananchi bado tunamuhitaji

Mkuu kama anafaa sana, sio lazima awe mbunge wa kuchaguliwa na wananchi. Rais ana nafasi 10 za kuteua, anaweza akamteua na ampe uwaziri wowote isipokuwa uwaziri mkuu. Afanye hivyo kama anafaa sana. Asilazimishe wana Kigamboni wamkubali, maana anaweza kula knock out nyingine October. Akipenda anaweza akampa hata awe Katibu Mkuu kiongozi, milango ya kutumikia taifa iko mingi. Wasi-force huu wa Kigamboni.
 
Mkuu kama anafaa sana, sio lazima awe mbunge wa kuchaguliwa na wananchi. Rais ana nafasi 10 za kuteua, anaweza akamteua na ampe uwaziri wowote isipokuwa uwaziri mkuu. Afanye hivyo kama anafaa sana. Asilazimishe wana Kigamboni wamkubali, maana anaweza kula knock out nyingine October. Akipenda anaweza akampa hata awe Katibu Mkuu kiongozi, milango ya kutumikia taifa iko mingi. Wasi-force huu wa Kigamboni.
uko sahihi sana maana kwenye ukuu wa mkoa pia alikuwa anatumikia wananchi tena wote sio tu kigamboni
 
Ila akaona Ukuu wa Mkoa haufai... Licha ya utendaji wote na sifa zote ulizompa!?

Unafikiri ubunge utamtosha!??

Ujinga.
 
Sipendi kabisa ushabiki wa vyama vya siasa, Wengi wameshangilia kushindwa kwake katika Chama cha Mapinduzi.

My behavioral psychanalysis is:-

Kwa kauli za Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi:

Makonda ana uwezo mkubwa wa kiuongozi na amekabiliana na tough times kuliko wakuu wote wa mikoa hapa Tanzania. Mtu mwenye experience ya kuongoza jiji la Dar es Salaam lenye watu zaidi ya 6m

Huwezi tu ukamdismiss out eti kwa sababu kashindwa kwenye kura za maoni za chama chake. Wakifanya hivyo basi hicho chama hawako serious na the science of governance

Makonda kafanya kazi Dar na amegusa almost kila eneo la maendeleo ya wana Dar es Salaam! Yes, of course anayo madhaifu yake kiuongozi ambayo anaelekezeka vizuri tu na boss wake

Makonda ameweza kudance vizuri sana na viongozi wa dini wa mkoa wa Dar. That is leadershipMakonda, ametukanwa sana, hata familia yake kudhalilishwa yet he stood up.. That is leadership!

Makonda, amesimamia vizuri mkoa wakati wa covid19 bila kukinzana na maelekezo ya boss wake- that is leadership.
Makonda, alifanya kazi zake kwa kujiamini; hii inaonesha leadership maturity na transparency kwa boss wake! Hakuwa na unafiki wa kujipendekeza- hadi watu wakasema analindwa! Nooop ni kwamba hakuwa na hila.

Makonda, tangu achukue hatua against drug trafficking kumekuwa na progressive solution on that in dar. Makonda, ana experience na uongozi wa mzee kikwete na Magufuli. Makonda, hajawahi kugombana na Wakuu wake wa Wilaya hata mara moja!

Kwakufuata uchapaji kazi, makonda siyo wa kuachia atoke katika uongozi now!

Dr. Ndugulile katenguliwa uteuzi kwanini? Kiuongozi alishindwa kudance in the tune ya boss wake during covid19 na ndiye aliyepita kura za maoni.

Serikali ya jpm inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa kupitia wakuu wake wa mikoa na wilaya kama akina Gabriel Robert na akina Gondwe.

Makonda, ana uwezo mkubwa kiuongozi ukiachailia mbali mambo mengine ya his own emotional weakness! Ushabiki wa vyama unaharibu vipaji vya viongozi wazalendo!

Kumchafua inajaribu kusend msg kwa Rais Magufuli kwamba hafai!

“the art of government is not how much you swallow public opinions but in statistical data, well analyzed and tested scientifically!”

Ukipima hayo yote; you cannot dismiss a brave leader like makonda kwasababu ya opinions za watu based on wivu tu!

Nikimnukuu mhe. Makamu wa rais mama samia hassan: “JPM huwezi kumdanganya...” kwahiyo hata kwa Makonda, anamfahamu kuliko sisi wote kabisa, anajua uwezo wake na akimlinganisha na baadhi yao waliopita kwenye kura za maoni anajua how much CCM anayoiongoza inaweza kumrundikia liabilities kwenye uongozi wake na waka-slow down speed ya maendeleo yaliyoanza kuonekana katika nchi!

Kupitishwa kwenye kura za maoni ili kugombea kwa ticketi ya ccm haimaanishi umekuwa mtakatifu kwa serikali iliyoshindwa kufanya na wewe kazi hadi ikakutengua! Na vivyo hivyo, kukatwa kwenye kura za maoni, inaweza kudhoofisha uongozi katika serikali iliyokuwa inatumikiwa na waliokatwa!

So the math is with the hon. President and his honorable administration!

Tujihadhali na ushabiki wa vyama vya siasa ili kulinda uzalendo
You are not serious!
 
Alipokua RC alikua na uwezo wa kufanya yote hayo maana yeye ndiye rais wa mkoa na ni shemu ya serikali,sasa iweje useme akamilishe kwe Ubunge wakati mbunge sio mtekelezaji na sio sehemu ya serikali?
 
Sipendi kabisa ushabiki wa vyama vya siasa, Wengi wameshangilia kushindwa kwake katika Chama cha Mapinduzi.

My behavioral psychanalysis is:-

Kwa kauli za Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi:

Makonda ana uwezo mkubwa wa kiuongozi na amekabiliana na tough times kuliko wakuu wote wa mikoa hapa Tanzania. Mtu mwenye experience ya kuongoza jiji la Dar es Salaam lenye watu zaidi ya 6m

Huwezi tu ukamdismiss out eti kwa sababu kashindwa kwenye kura za maoni za chama chake. Wakifanya hivyo basi hicho chama hawako serious na the science of governance

Makonda kafanya kazi Dar na amegusa almost kila eneo la maendeleo ya wana Dar es Salaam! Yes, of course anayo madhaifu yake kiuongozi ambayo anaelekezeka vizuri tu na boss wake

Makonda ameweza kudance vizuri sana na viongozi wa dini wa mkoa wa Dar. That is leadershipMakonda, ametukanwa sana, hata familia yake kudhalilishwa yet he stood up.. That is leadership!

Makonda, amesimamia vizuri mkoa wakati wa covid19 bila kukinzana na maelekezo ya boss wake- that is leadership.
Makonda, alifanya kazi zake kwa kujiamini; hii inaonesha leadership maturity na transparency kwa boss wake! Hakuwa na unafiki wa kujipendekeza- hadi watu wakasema analindwa! Nooop ni kwamba hakuwa na hila.

Makonda, tangu achukue hatua against drug trafficking kumekuwa na progressive solution on that in dar. Makonda, ana experience na uongozi wa mzee kikwete na Magufuli. Makonda, hajawahi kugombana na Wakuu wake wa Wilaya hata mara moja!

Kwakufuata uchapaji kazi, makonda siyo wa kuachia atoke katika uongozi now!

Dr. Ndugulile katenguliwa uteuzi kwanini? Kiuongozi alishindwa kudance in the tune ya boss wake during covid19 na ndiye aliyepita kura za maoni.

Serikali ya jpm inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa kupitia wakuu wake wa mikoa na wilaya kama akina Gabriel Robert na akina Gondwe.

Makonda, ana uwezo mkubwa kiuongozi ukiachailia mbali mambo mengine ya his own emotional weakness! Ushabiki wa vyama unaharibu vipaji vya viongozi wazalendo!

Kumchafua inajaribu kusend msg kwa Rais Magufuli kwamba hafai!

“the art of government is not how much you swallow public opinions but in statistical data, well analyzed and tested scientifically!”

Ukipima hayo yote; you cannot dismiss a brave leader like makonda kwasababu ya opinions za watu based on wivu tu!

Nikimnukuu mhe. Makamu wa rais mama samia hassan: “JPM huwezi kumdanganya...” kwahiyo hata kwa Makonda, anamfahamu kuliko sisi wote kabisa, anajua uwezo wake na akimlinganisha na baadhi yao waliopita kwenye kura za maoni anajua how much CCM anayoiongoza inaweza kumrundikia liabilities kwenye uongozi wake na waka-slow down speed ya maendeleo yaliyoanza kuonekana katika nchi!

Kupitishwa kwenye kura za maoni ili kugombea kwa ticketi ya ccm haimaanishi umekuwa mtakatifu kwa serikali iliyoshindwa kufanya na wewe kazi hadi ikakutengua! Na vivyo hivyo, kukatwa kwenye kura za maoni, inaweza kudhoofisha uongozi katika serikali iliyokuwa inatumikiwa na waliokatwa!

So the math is with the hon. President and his honorable administration!

Tujihadhali na ushabiki wa vyama vya siasa ili kulinda uzalendo
Kipi alichoanzisha amekimaliza?
 
Kikundi cha Makonda washaanza kazi yao🤣🤣🤣🤣
 
Sipendi kabisa ushabiki wa vyama vya siasa, Wengi wameshangilia kushindwa kwake katika Chama cha Mapinduzi.

My behavioral psychanalysis is:-

Kwa kauli za Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi:

Makonda ana uwezo mkubwa wa kiuongozi na amekabiliana na tough times kuliko wakuu wote wa mikoa hapa Tanzania. Mtu mwenye experience ya kuongoza jiji la Dar es Salaam lenye watu zaidi ya 6m

Huwezi tu ukamdismiss out eti kwa sababu kashindwa kwenye kura za maoni za chama chake. Wakifanya hivyo basi hicho chama hawako serious na the science of governance

Makonda kafanya kazi Dar na amegusa almost kila eneo la maendeleo ya wana Dar es Salaam! Yes, of course anayo madhaifu yake kiuongozi ambayo anaelekezeka vizuri tu na boss wake

Makonda ameweza kudance vizuri sana na viongozi wa dini wa mkoa wa Dar. That is leadershipMakonda, ametukanwa sana, hata familia yake kudhalilishwa yet he stood up.. That is leadership!

Makonda, amesimamia vizuri mkoa wakati wa covid19 bila kukinzana na maelekezo ya boss wake- that is leadership.
Makonda, alifanya kazi zake kwa kujiamini; hii inaonesha leadership maturity na transparency kwa boss wake! Hakuwa na unafiki wa kujipendekeza- hadi watu wakasema analindwa! Nooop ni kwamba hakuwa na hila.

Makonda, tangu achukue hatua against drug trafficking kumekuwa na progressive solution on that in dar. Makonda, ana experience na uongozi wa mzee kikwete na Magufuli. Makonda, hajawahi kugombana na Wakuu wake wa Wilaya hata mara moja!

Kwakufuata uchapaji kazi, makonda siyo wa kuachia atoke katika uongozi now!

Dr. Ndugulile katenguliwa uteuzi kwanini? Kiuongozi alishindwa kudance in the tune ya boss wake during covid19 na ndiye aliyepita kura za maoni.

Serikali ya jpm inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa kupitia wakuu wake wa mikoa na wilaya kama akina Gabriel Robert na akina Gondwe.

Makonda, ana uwezo mkubwa kiuongozi ukiachailia mbali mambo mengine ya his own emotional weakness! Ushabiki wa vyama unaharibu vipaji vya viongozi wazalendo!

Kumchafua inajaribu kusend msg kwa Rais Magufuli kwamba hafai!

“the art of government is not how much you swallow public opinions but in statistical data, well analyzed and tested scientifically!”

Ukipima hayo yote; you cannot dismiss a brave leader like makonda kwasababu ya opinions za watu based on wivu tu!

Nikimnukuu mhe. Makamu wa rais mama samia hassan: “JPM huwezi kumdanganya...” kwahiyo hata kwa Makonda, anamfahamu kuliko sisi wote kabisa, anajua uwezo wake na akimlinganisha na baadhi yao waliopita kwenye kura za maoni anajua how much CCM anayoiongoza inaweza kumrundikia liabilities kwenye uongozi wake na waka-slow down speed ya maendeleo yaliyoanza kuonekana katika nchi!

Kupitishwa kwenye kura za maoni ili kugombea kwa ticketi ya ccm haimaanishi umekuwa mtakatifu kwa serikali iliyoshindwa kufanya na wewe kazi hadi ikakutengua! Na vivyo hivyo, kukatwa kwenye kura za maoni, inaweza kudhoofisha uongozi katika serikali iliyokuwa inatumikiwa na waliokatwa!

So the math is with the hon. President and his honorable administration!

Tujihadhali na ushabiki wa vyama vya siasa ili kulinda uzalendo
Kwanini hakutaka kuyamaliza akiwa mkuu wa mkoa?
 
Kumchagua ama kumteua makonda ni kutumia madaraka vibaya.
 
Niseme tu wazi hao waliomkata kwa kura ni sehemu ya wananchi,, itoshe tu kusema wengi wape!... And Ndugu huyu bwana hana lolote la maana zaidi ya kunata na Media,,yeye na tv utasema Diamond,,Anajali kujibrand na ndo maana Ana wateka mazwazwa kama nyinyi,,walopita katika Mkoa huo wamefanya makubwa hadi Dar ikawa alivyoikuta yeye ila they didnt give a shit on Media,,,,sasa huyu mtu MWENYE huruka ya Jumalokole Anakesha insta ndo unakuja kumlilia hapa?..
"NENDA KARIPOTI KITUO CHOCHOTE CHA POLIS KARIBU YAKO UKIFIKA SEMA MAKONDA KANIAMBIA'' He was such a stupit and Uncoth leader aliejaa majivuno na Kebehi,, Kila Jambo aloanzisha ilikua ni kiki ya Kisasa akilenga kujitafutia Umarufu,, TABU ZA MNYONGE ZIPO PALE PALE..NI JAMBO GANI LA TOFAUTI ALOFANYA AKAFANIKIWA?.... HANA TOFAUTI NA MAGU ANAPENDA KUNG'AA KWENYE TV DAILY,,,,,,,,,,UFUNGUZI?.......UZINDUZI???
 
Sipendi kabisa ushabiki wa vyama vya siasa, Wengi wameshangilia kushindwa kwake katika Chama cha Mapinduzi.

My behavioral psychanalysis is:-

Kwa kauli za Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi:

Makonda ana uwezo mkubwa wa kiuongozi na amekabiliana na tough times kuliko wakuu wote wa mikoa hapa Tanzania. Mtu mwenye experience ya kuongoza jiji la Dar es Salaam lenye watu zaidi ya 6m

Huwezi tu ukamdismiss out eti kwa sababu kashindwa kwenye kura za maoni za chama chake. Wakifanya hivyo basi hicho chama hawako serious na the science of governance

Makonda kafanya kazi Dar na amegusa almost kila eneo la maendeleo ya wana Dar es Salaam! Yes, of course anayo madhaifu yake kiuongozi ambayo anaelekezeka vizuri tu na boss wake

Makonda ameweza kudance vizuri sana na viongozi wa dini wa mkoa wa Dar. That is leadershipMakonda, ametukanwa sana, hata familia yake kudhalilishwa yet he stood up.. That is leadership!

Makonda, amesimamia vizuri mkoa wakati wa covid19 bila kukinzana na maelekezo ya boss wake- that is leadership.
Makonda, alifanya kazi zake kwa kujiamini; hii inaonesha leadership maturity na transparency kwa boss wake! Hakuwa na unafiki wa kujipendekeza- hadi watu wakasema analindwa! Nooop ni kwamba hakuwa na hila.

Makonda, tangu achukue hatua against drug trafficking kumekuwa na progressive solution on that in dar. Makonda, ana experience na uongozi wa mzee kikwete na Magufuli. Makonda, hajawahi kugombana na Wakuu wake wa Wilaya hata mara moja!

Kwakufuata uchapaji kazi, makonda siyo wa kuachia atoke katika uongozi now!

Dr. Ndugulile katenguliwa uteuzi kwanini? Kiuongozi alishindwa kudance in the tune ya boss wake during covid19 na ndiye aliyepita kura za maoni.

Serikali ya jpm inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa kupitia wakuu wake wa mikoa na wilaya kama akina Gabriel Robert na akina Gondwe.

Makonda, ana uwezo mkubwa kiuongozi ukiachailia mbali mambo mengine ya his own emotional weakness! Ushabiki wa vyama unaharibu vipaji vya viongozi wazalendo!

Kumchafua inajaribu kusend msg kwa Rais Magufuli kwamba hafai!

“the art of government is not how much you swallow public opinions but in statistical data, well analyzed and tested scientifically!”

Ukipima hayo yote; you cannot dismiss a brave leader like makonda kwasababu ya opinions za watu based on wivu tu!

Nikimnukuu mhe. Makamu wa rais mama samia hassan: “JPM huwezi kumdanganya...” kwahiyo hata kwa Makonda, anamfahamu kuliko sisi wote kabisa, anajua uwezo wake na akimlinganisha na baadhi yao waliopita kwenye kura za maoni anajua how much CCM anayoiongoza inaweza kumrundikia liabilities kwenye uongozi wake na waka-slow down speed ya maendeleo yaliyoanza kuonekana katika nchi!

Kupitishwa kwenye kura za maoni ili kugombea kwa ticketi ya ccm haimaanishi umekuwa mtakatifu kwa serikali iliyoshindwa kufanya na wewe kazi hadi ikakutengua! Na vivyo hivyo, kukatwa kwenye kura za maoni, inaweza kudhoofisha uongozi katika serikali iliyokuwa inatumikiwa na waliokatwa!

So the math is with the hon. President and his honorable administration!

Tujihadhali na ushabiki wa vyama vya siasa ili kulinda uzalendo
Hafai kabisa mtu huyu dhalimu.
 
Sipendi kabisa ushabiki wa vyama vya siasa, Wengi wameshangilia kushindwa kwake katika Chama cha Mapinduzi.

My behavioral psychanalysis is:-

Kwa kauli za Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi:

Makonda ana uwezo mkubwa wa kiuongozi na amekabiliana na tough times kuliko wakuu wote wa mikoa hapa Tanzania. Mtu mwenye experience ya kuongoza jiji la Dar es Salaam lenye watu zaidi ya 6m

Huwezi tu ukamdismiss out eti kwa sababu kashindwa kwenye kura za maoni za chama chake. Wakifanya hivyo basi hicho chama hawako serious na the science of governance

Makonda kafanya kazi Dar na amegusa almost kila eneo la maendeleo ya wana Dar es Salaam! Yes, of course anayo madhaifu yake kiuongozi ambayo anaelekezeka vizuri tu na boss wake

Makonda ameweza kudance vizuri sana na viongozi wa dini wa mkoa wa Dar. That is leadershipMakonda, ametukanwa sana, hata familia yake kudhalilishwa yet he stood up.. That is leadership!

Makonda, amesimamia vizuri mkoa wakati wa covid19 bila kukinzana na maelekezo ya boss wake- that is leadership.
Makonda, alifanya kazi zake kwa kujiamini; hii inaonesha leadership maturity na transparency kwa boss wake! Hakuwa na unafiki wa kujipendekeza- hadi watu wakasema analindwa! Nooop ni kwamba hakuwa na hila.

Makonda, tangu achukue hatua against drug trafficking kumekuwa na progressive solution on that in dar. Makonda, ana experience na uongozi wa mzee kikwete na Magufuli. Makonda, hajawahi kugombana na Wakuu wake wa Wilaya hata mara moja!

Kwakufuata uchapaji kazi, makonda siyo wa kuachia atoke katika uongozi now!

Dr. Ndugulile katenguliwa uteuzi kwanini? Kiuongozi alishindwa kudance in the tune ya boss wake during covid19 na ndiye aliyepita kura za maoni.

Serikali ya jpm inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa kupitia wakuu wake wa mikoa na wilaya kama akina Gabriel Robert na akina Gondwe.

Makonda, ana uwezo mkubwa kiuongozi ukiachailia mbali mambo mengine ya his own emotional weakness! Ushabiki wa vyama unaharibu vipaji vya viongozi wazalendo!

Kumchafua inajaribu kusend msg kwa Rais Magufuli kwamba hafai!

“the art of government is not how much you swallow public opinions but in statistical data, well analyzed and tested scientifically!”

Ukipima hayo yote; you cannot dismiss a brave leader like makonda kwasababu ya opinions za watu based on wivu tu!

Nikimnukuu mhe. Makamu wa rais mama samia hassan: “JPM huwezi kumdanganya...” kwahiyo hata kwa Makonda, anamfahamu kuliko sisi wote kabisa, anajua uwezo wake na akimlinganisha na baadhi yao waliopita kwenye kura za maoni anajua how much CCM anayoiongoza inaweza kumrundikia liabilities kwenye uongozi wake na waka-slow down speed ya maendeleo yaliyoanza kuonekana katika nchi!

Kupitishwa kwenye kura za maoni ili kugombea kwa ticketi ya ccm haimaanishi umekuwa mtakatifu kwa serikali iliyoshindwa kufanya na wewe kazi hadi ikakutengua! Na vivyo hivyo, kukatwa kwenye kura za maoni, inaweza kudhoofisha uongozi katika serikali iliyokuwa inatumikiwa na waliokatwa!

So the math is with the hon. President and his honorable administration!

Tujihadhali na ushabiki wa vyama vya siasa ili kulinda uzalendo

Wampitishe wao kama nani? Wananchi wa Kigamboni wametuma ujumbe Precise and Clear kwa kazi ambayo Ndungulile kawafanyia Kigamboni wameipenda wameendorse na wanataka aendelee kuchapa kazi..
Kama Makonda alishindwa kutelekeleza ya Dar mpaka akaomba apewe sehemu ndogo tuu yaani Jimbo HAFAI kiuongozi kwanza kwa kumdhalilisha Mhe Mwenyekiti aliyemteua na CCM kwa kukimbia majukumu halali ya ukuu wa Mkoa huku akiwa na kazi nyingi sana pending.. "Yaaani Dar imekuwa kama haina viongozi" sio maneno yangu bali maneno ya Mwenyekiti wetu wa chama na Rais wa nchi... Miezi tisa iliyopita tuu alilalamika leo tunaambiwa Makonda anafaaa...
 
Kwa hoja yako unamaanisha hamna mtu mwingine wa kuiongoza Dar.
Sasa suppose Makonda kafariki au kapata tatizo lolote, nani ataweza kukaa kwenye nafasi yake?
Hayo yote uliyoyaongea kila mtu anaweza kuyafanya kama akipewa nafasi na privilege aliyopewa Makonda.
Usitake kutafuta huruma kwa mambo yasiyowezekana.
 
Back
Top Bottom