Uchaguzi 2020 CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi

Uchaguzi 2020 CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wanabodi,
Kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana, jukwaa lote kuu la CCM kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu

Tundu Lissu sasa anakitoa chama changu CCM kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo.

Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu Lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu CCM.

Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana CCM, Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu.

Je hizi kauli viongozi wa CCM mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi, Mlisikiliza wapi hotuba za Lissu wakati hazionyeshwi TBC?

Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za Lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake.

Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo

Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake

Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,

Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000

Hoja za ongezeko la mishahara bado

Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado

Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi

Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana

Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo

Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya

Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi

Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
 
Ni kweli kabisa kwani watu wanahitaji ahadi zenye mashiko sio mambo ya Lisu. Lisu tumwache anadi sera za chama cheke tukiendelea kumzunguzia tunaonekana kama hatukujiandaa kuingia ktk kampeni za uchaguzi
 
Watake wasitake mziki wa lissu watacheza tyuuuh, maan hadi ostadhath (samia) ameshaanza kucheza kigodoro, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
The charismatic leader, ni YEYE. yajayo yanafurahisha.
 
Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu

Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo

Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm

Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu

Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?

Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake

Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo

Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake

Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,

Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000

Hoja za ongezeko la mishahara bado

Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado

Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi

Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu inatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana

Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo

Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya

Tunapomuongelea Lissu tunazidi kimpa umaarufu zaidi

Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Wewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.
 
Kijana unadandia Sana...Leo kauli ya jalalani Niya lissu??au nikujitoa ufahamu tu...nikukumbushe wewe na wengine wote walio jaribu leo kututoa kwenye reli kauli hiyo ya jalalani ilitolewa na waziri Tena mwandamizi kweli Prof😛.KABUDI!Tena akiwa Ikulu mbele ya huyo Amri JESHI mkuu!
Sasa leo mnajisahaulisha mnadai eti lissu kasema lisu kasema!
 
Wewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.

Kwani ukiwa Amir jeshi mkuu huwezi kuwa baradhuli? Lisu lazima awashushe mabusha safari hii. Hilo suala la Lisu kupigwa risasi liko hivyo hivyo kama anavyolisema na halibadiliki hata nukta moja.
 
Kwani ukiwa Amir jeshi mkuu huwezi kuwa baradhuli? Lisu lazima awashushe mabusha safari hii. Hilo suala la Lisu kupigwa risasi liko hivyo hivyo kama anavyolisema na halibadiliki hata nukta moja.
Nendeni mahakamani sasa. Mnalalamika kama binti anatolewa bikra.
 
Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu

Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo

Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm

Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu

Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?

Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake

Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo

Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake

Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,

Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000

Hoja za ongezeko la mishahara bado

Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado

Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi

Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu inatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana

Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo

Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya

Tunapomuongelea Lissu tunazidi kimpa umaarufu zaidi

Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Ccm tunamwogopa lissu mpaka tumeanza kumuhujumu, kutumia TISs ili ngege yake ipate itlafu hatimaye ipate ajali
 
Back
Top Bottom