Uchaguzi 2020 CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi

Uchaguzi 2020 CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi

Zingine hizi albadir za kipindi anashambuliwa ndio wanaanza kujitaja Mungu sio wa kudhihakiwa
Watake wasitake mziki wa lissu watacheza tyuuuh, maan hadi ostadhath (samia) ameshaanza kucheza kigodoro, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
The charismatic leader, ni YEYE. yajayo yanafurahisha.
 
Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu

Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo

Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm

Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu

Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?

Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake

Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo

Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake

Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,

Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000

Hoja za ongezeko la mishahara bado

Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado

Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi

Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana

Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo

Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya

Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi

Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
We utakuwa Kati ya wanaCCM wachache wenye akili timamu.
 
Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu

Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo

Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm

Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu

Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?

Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake

Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo

Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake

Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,

Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000

Hoja za ongezeko la mishahara bado

Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado

Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi

Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana

Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo

Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya

Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi

Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
GUSSIE
wewe ni kada marufu sana na wa muda mrefu sana humu JFs misimamo yako haijawahi kuyumba kuhusu sera na itikadi za Ccm. Ikiwa wewe umefika hatu hii mimi ni nani nikupinge??
Kitendo cha mama Samia Suluhu ambaye inaaminika miaka yote kuwa ni mtu mpole asiyeropoka hovyo na leo kilichotokea kujibu maswala ya Lissu ambayo hata hajaulizwa kinasangaza sana.

Lissu alimwaga upupu jana Kule Dodoma akasepa zake. Wadau wote wanawashwa.

Ilikuwa ni halali kwa Lissu kutema nyongo kwani Dodoma ndio sehwmu aluliyopigwa risasi na wananchi walishuhudia mchana kweupe. Sasa asemeje??
😄😄😄Leo samia alitaka kumtaja aliyempiga risasi.

Lissu ni mtu wa ajabu, anakufanya utende anavyotaka. Ngoma inogile

Twende na Tundu Lissu.
 
Kijana unadandia Sana...Leo kauli ya jalalani Niya lissu??au nikujitoa ufahamu tu...nikukumbushe wewe na wengine wote walio jaribu leo kututoa kwenye reli kauli hiyo ya jalalani ilitolewa na waziri Tena mwandamizi kweli Prof😛.KABUDI!Tena akiwa Ikulu mbele ya huyo Amri JESHI mkuu!
Sasa leo mnajisahaulisha mnadai eti lissu kasema lisu kasema!
Sasa na nyie mmezanza tena kucheza mziki wa Lissu. Mbona mnaparuana lumumba fc vipi?
 
Wewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.

Suppose wewe ndiye unayepaswa kujibu hoja hizi zenye "lugha isiyo nzuri", ungejibuje?

1. Kama siyo Rais Magufuli aliyetoa amri jamaa apigwe risasi direct or indirectly, ni nani sasa alitoa amri hiyo?

2. Prof. Palamagamba Kabudi hakuwaji kusema kwa kinywa chake mwenyewe kuwa alitolewa jalalani na kupewa kazi ya uwaziri? Je, wewe unawezaje kuijibu kwa kuipinga hoja hii?
 
Tundu Lissu ni mwanaharakati. Akasomee kozi ya uongozi, maendeleo na uzalendo apevuke ndio LABDA wananchi tutamwelewa.
 
Lissu kibokooo jamani
Huyu mwamba ni tatizo kubwa mno,mfano jana akiwa Dodoma kuna sehemu ya hotuba yake alikua anarudia rudia kusema ile sentesi tumejenga Standard guage takribani mara mbili au tatu aisee nilicheka sana. TL kaamua kubomoa nyumba na kuchoma materials zote ha ha.
 
Huyu mwamba ni tatizo kubwa mno,mfano jana akiwa Dodoma kuna sehemu ya hotuba yake alikua anarudia rudia kusema ile sentesi tumejenga Standard guage takribani mara mbili au tatu aisee nilicheka sana. TL kaamua kubomoa nyumba na kuchoma materials zote ha ha.

anajua anapowakeraa 😂😂😂
 
Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu

Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo

Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm

Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu

Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?

Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake

Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo

Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake

Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,

Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000

Hoja za ongezeko la mishahara bado

Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado

Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi

Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana

Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo

Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya

Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi

Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Nimemsikiliza JPM akiwa Rorya amemtaja Ezekiel Wenje mara 4 akimuombea kura, akamuita Ezekiel atoke mbele [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ndo akashtuliwa mgombea wa CCM ni Jafari. Nadhani kuna hitilafu mahali.
 
Kijana unadandia Sana...Leo kauli ya jalalani Niya lissu??au nikujitoa ufahamu tu...nikukumbushe wewe na wengine wote walio jaribu leo kututoa kwenye reli kauli hiyo ya jalalani ilitolewa na waziri Tena mwandamizi kweli Prof😛.KABUDI!Tena akiwa Ikulu mbele ya huyo Amri JESHI mkuu!
Sasa leo mnajisahaulisha mnadai eti lissu kasema lisu kasema!
Nimemsikiliza JPM akiwa Rorya amemtaja Ezekiel Wenje mara 4 akimuombea kura, akamuita Ezekiel atoke mbele [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ndo akashtuliwa mgombea wa CCM ni Jafari. Nadhani kuna hitilafu mahali.
 
Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu

Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo

Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm

Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu

Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?

Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake

Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo

Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake

Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,

Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000

Hoja za ongezeko la mishahara bado

Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado

Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi

Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana

Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo

Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya

Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi

Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Kwa Lissu..Ukisimama Nchale...Ukikimbia Nchale
 
Wewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.
Sasa hivi bado tu unamuita magufuli eti ni Rais?
Magufuli ni mgombea kama wagombea wengine.
 
Tunataka kujua kama Samia amejipanga na siasa za maji taka. Kigogo ameamza kumdodosa
 
Back
Top Bottom