Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nendeni mahakamani sasa. Mnalalamika kama binti anatolewa bikra.
Hakuna mahakama Tanzania, bali kuna majengo ya mahakama yaliyo chini ya Makada wachovu wa CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni mahakamani sasa. Mnalalamika kama binti anatolewa bikra.
Ccm tunamwogopa lissu mpaka tumeanza kumuhujumu, kutumia TISs ili ngege yake ipate itlafu hatimaye ipate ajali
Magufuli alitarajia nini kusema atampa kazi ndogo ndogo Lissu.? Jibu limekuwa sahihi kwa wakati muafaka sasa hivi wanajaribu kuhamisha magoli wakati mpira tayati upo nyavuni kule anakotagia kware.Kijana unandia Sana...Leo kauli ya jalalani Niya lissu??au nikujitoa ufahamu tu...nikukumbushe wewe na wengine wote walio jaribu leo kututoa kwenye reli kauli hiyo ya jalalani ilitolewa na waziri Tena mwandamizi kweli Prof😛.KABUDI!Tena akiwa Ikulu mbele ya huyo Amri JESHI mkuu!
Sasa leo mnajisahaulisha mnadai eti lissu kasema lisu kasema!
CCM ikinyamaza nongwa, ikijibu nongwa lipi ni lipi?Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu
Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo
Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm
Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu
Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?
Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake
Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo
Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake
Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,
Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000
Hoja za ongezeko la mishahara bado
Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado
Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi
Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana
Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo
Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya
Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi
Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Mkuu nitastaafu rasimi mitandaoni siku lissu akiapishwa, tuendelee kupambania demokrasia vizazi vitatukumbukaAhaaaa ahaaaa yaani ni hatari, wamemtumia mpaka mama Maria Nyerere lakini kachomoa battery leo huko musoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanachekesha Sana plus kutia huruma.Wamemlazimisha mama maria aongee na katoa maboko
Usiogope Lissu Sio MTANZANIA kwa hiyo ni Mpiga Kelele anEjifurahisha NILISEMA JANA TANZANIA SIO NCHI YA WAPUMBAVU NA MAGUFURI NI MOJA YA WATU WENYE AKILI Anajua nini anafanyaWanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu
Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo
Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm
Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu
Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?
Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake
Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo
Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake
Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,
Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000
Hoja za ongezeko la mishahara bado
Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado
Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi
Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana
Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo
Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya
Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi
Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Kama unamuona Magufuli ni mmoja wa watu wenye akili basi wewe utakuwa kilaza sanaUsiogope Lissu Sio MTANZANIA kwa hiyo ni Mpiga Kelele anEjifurahisha NILISEMA JANA TANZANIA SIO NCHI YA WAPUMBAVU NA MAGUFURI NI MOJA YA WATU WENYE AKILI Anajua nini anafanya
Usiogope Lissu Sio MTANZANIA kwa hiyo ni Mpiga Kelele anEjifurahisha NILISEMA JANA TANZANIA SIO NCHI YA WAPUMBAVU NA MAGUFURI NI MOJA YA WATU WENYE AKILI Anajua nini anafanya
Wewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.
Kwani mlijiandaa !Ni kweli kabisa kwani watu wanahitaji ahadi zenye mashiko sio mambo ya Lisu. Lisu tumwache anadi sera za chama cheke tukiendelea kumzunguzia tunaonekana kama hatukujiandaa kuingia ktk kampeni za uchaguzi
Hahahaaaaaa mwaka huu mtatukana kila aina ya matusi, halafu tukianza kuwaita kwa matusi yenu hayo hayo mnasema tunawadhalilisha?Nendeni mahakamani sasa. Mnalalamika kama binti anatolewa bikra.
Hapati hata 15% mtaniambia Maana Wanaomsapoti Lissu wengi Wahunii Mishen Town na wapenda njia ya mkato maishani Mara nyingi Hawa huwa hawajiandikish kupiga kura ndio Maana Lisu haiendi sehemu nyingine zaidi ya mijini Kwa wapiga kura yeye anatafuta nyomi LA kwenda kuombea hela kwa mabepatiLissu kibokooo jamani
Jibu ni rahisi tu, IMECHOKWACCM ikinyamaza nongwa, ikijibu nongwa lipi ni lipi?