Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Huyu mwamba ni tatizo kubwa mno,mfano jana akiwa Dodoma kuna sehemu ya hotuba yake alikua anarudia rudia kusema ile sentesi tumejenga Standard guage takribani mara mbili au tatu aisee nilicheka sana. TL kaamua kubomoa nyumba na kuchoma materials zote ha ha.
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Na hapo mdahalo haupo. Vipi kama mdahalo ungelikuepo ki sheria ?!anajua anapowakeraa [emoji23][emoji23][emoji23]