Uchaguzi 2020 CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi

Magufuli alitarajia nini kusema atampa kazi ndogo ndogo Lissu.? Jibu limekuwa sahihi kwa wakati muafaka sasa hivi wanajaribu kuhamisha magoli wakati mpira tayati upo nyavuni kule anakotagia kware.
 
CCM ikinyamaza nongwa, ikijibu nongwa lipi ni lipi?
 
Usiogope Lissu Sio MTANZANIA kwa hiyo ni Mpiga Kelele anEjifurahisha NILISEMA JANA TANZANIA SIO NCHI YA WAPUMBAVU NA MAGUFURI NI MOJA YA WATU WENYE AKILI Anajua nini anafanya
 
Salamu zatumwa kwa kampeni za fiesta za CCM Mpya Uchaguzi Mkuu 2020

 
Nondo TUPU! 👊🏽👊🏽👊🏽

GUSSIE,

..labda hukusikiliza alichoongea Tundu Lissu jana akiwa Dodoma.

..Ungesikiliza ungeelewa kwanini ghafla bin vu kila mwana-ccm anayefungua kinywa chake anamtaja Tundu Lissu.

..sikiliza hotuba ya Tundu Lissu hapa chini.

 
Usiogope Lissu Sio MTANZANIA kwa hiyo ni Mpiga Kelele anEjifurahisha NILISEMA JANA TANZANIA SIO NCHI YA WAPUMBAVU NA MAGUFURI NI MOJA YA WATU WENYE AKILI Anajua nini anafanya
Kama unamuona Magufuli ni mmoja wa watu wenye akili basi wewe utakuwa kilaza sana
 
Mwenye akili hawezi kujiita KICHAA au KUROPOKA haya.



Usiogope Lissu Sio MTANZANIA kwa hiyo ni Mpiga Kelele anEjifurahisha NILISEMA JANA TANZANIA SIO NCHI YA WAPUMBAVU NA MAGUFURI NI MOJA YA WATU WENYE AKILI Anajua nini anafanya
 
Kuhusu jalalani muulize kabudi.... Kuhusu risasi rejea figisu mlizomfanyia na bado mkuu wa nyumba yupo kimya as if yule aliyemiminiwa risasi alikuwa mnyama wa porini
Wewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.
 
Ni kweli kabisa kwani watu wanahitaji ahadi zenye mashiko sio mambo ya Lisu. Lisu tumwache anadi sera za chama cheke tukiendelea kumzunguzia tunaonekana kama hatukujiandaa kuingia ktk kampeni za uchaguzi
Kwani mlijiandaa !
 
Ccm ni chama cha washamba na malimbukeni
 
Lissu kibokooo jamani
Hapati hata 15% mtaniambia Maana Wanaomsapoti Lissu wengi Wahunii Mishen Town na wapenda njia ya mkato maishani Mara nyingi Hawa huwa hawajiandikish kupiga kura ndio Maana Lisu haiendi sehemu nyingine zaidi ya mijini Kwa wapiga kura yeye anatafuta nyomi LA kwenda kuombea hela kwa mabepati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…