Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Aliyesema katolewa jalalani ni Lissu kweli ?!. Humjui ?, Mtafute kabudi akupe tafsiriWewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.
Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu
Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo
Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm
Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu
Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?
Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake
Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo
Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake
Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,
Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000
Hoja za ongezeko la mishahara bado
Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado
Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi
Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana
Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo
Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya
Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi
Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Swali. Je rais kumwambia atampa 'kakazi kadogo' ilikuwa ni kauli nzuri?Wewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.
Amiri jeshi mkuu ananaye amrisha asiowapenda wapigwe risasi??Wewe acha upuuzi wako. Mtu anasema rais alitoa amri apigwe risasi. Mtu anasema awape kazi wa jalalani. We unadhani ni lugha nzuri. Kumbuka JPM ni Amiri jeshi mkuu.
WAPUMBAVU ni mawaziri wa jiwe, na ni yeye aliyewaita hivyo. So, wewe ni MPUMBAVU zaidi kwa sababu wewe sio waziri. Basi, UPUMBAVU ni zaidi ya cheo chako uliye mfuasi wa WAPUMBAVU.Usiogope Lissu Sio MTANZANIA kwa hiyo ni Mpiga Kelele anEjifurahisha NILISEMA JANA TANZANIA SIO NCHI YA WAPUMBAVU NA MAGUFURI NI MOJA YA WATU WENYE AKILI Anajua nini anafanya
Mawazo yako tuJibu ni rahisi tu, IMECHOKWA
Nyinyi mumejiandaa kwa MTU wa bunduki tu mukae madarakani siyo kujiandaa kwa kampeniNi kweli kabisa kwani watu wanahitaji ahadi zenye mashiko sio mambo ya Lisu. Lisu tumwache anadi sera za chama cheke tukiendelea kumzunguzia tunaonekana kama hatukujiandaa kuingia ktk kampeni za uchaguzi
Na yaheshimiwe.Mawazo yako tu
Chairman wenu,ni kituko sana,anasema "maendeleo hayana vyama"wakati huo huo anawaambia wananchi"sikuleta maendeleo jimboni kwenu kwa sababu mlichagua mpinzani"Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu
Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo
Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm
Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu
Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?
Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake
Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo
Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake
Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,
Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000
Hoja za ongezeko la mishahara bado
Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado
Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi
Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana
Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo
Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya
Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi
Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Mkuu nani alisema ametolewa jalalani?Nendeni mahakamani sasa. Mnalalamika kama binti anatolewa bikra.
Ni kweli yaheshimike na wapumbavuNa yaheshimiwe.
Kuna Mdau aliaema humu kuwa Tundu Lissu ni mtu wa ajabu sana. Ni kiumbe ambaye ukiwa naye lazima ujikute unafanya anavyotaka yeye.Wanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu
Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo
Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm
Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu
Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?
Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake
Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo
Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake
Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,
Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000
Hoja za ongezeko la mishahara bado
Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado
Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi
Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana
Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo
Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya
Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi
Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Usimwamshe aliye lala ukimwamsha utalala wewe Lisu ni mpango wa Mungu acha kusudi lake litimieWanabodi,
kilichotokea leo huko Musoma kinafikirisha sana,Jukwaa lote kuu la ccm kwenye kampeni limekuwa likisimama kutoa hotuba za Tundu lisu
Tundu lissu sasa anakitoa chama changu ccm kwenye malengo yake ya ilani na kukipeleka yeye atakavyo
Kauli yake kuwa yeye hawezi kukubali kuteuliwa na Mkuu wa nchi na pia yeye Tundu lissu kusema yeye sio kama wale wa jalalani limekuwa mwiba kwa chama changu ccm
Hii kauli imeuma sana na imeumiza sana baadhi ya wana ccm,Leo wazungumzaji wote huko Musoma ni Lissu tu
Je hizi kauli viongozi wa ccm mnazitoa wapi wakati mnasema Tundu lissu hana ushawishi na wala hana wafuasi ,Mlisikiliza wapi hotuba za lissu wakati hazionyeshwi TBC?
Tulishauri sana hapa JF kuwa mnavyozidi kuficha hotuba za lissu zisionyeshwe ndivyo watu wanavyozidi kuzitafuta hotuba zake
Kikubwa ni kujibu hoja zake ,Na hoja zake sio nyingi sana,Uhuru wa habari,Maisha ya watu,Bima ya Afya,Wakulima kuishi kwa kukopwa,Elimu na riba ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo
Kitendo cha leo kwenye kampeni Musoma kuanza kumjibu Tundu lissu sasa ni rasmi mnawafanya hata wasiofuatilia waanze kutafuta hotuba zake
Leo hii Clip za Tundu lissu zinasambaa kwa kasi hasa kuhusu hoja zake ambazo hazijajibiwa,
Mpaka sasa hoja iliyojibiwa ni moja tu ya ajira kwa walimu ambayo serikali imetangaza ajira 13,000
Hoja za ongezeko la mishahara bado
Hoja za uhuru wa vyombo vya habari mfano Tbc kuonyesha mikutano ya chadema bado
Yafuatayo inabidi chama changu iyafanyie kazi
Mosi,Chama kijikite kwenye mambo ya msingi ya watu na siyo vitu,Ni muda wa kuongelea watu maisha yao hasa kipesa,Tundu lissu anatumia hii hoja kutubagaza na kutushambulia sana
Tundu lissu anawaeleza watu kuwa barabara ,Ndege na Reli hazina uhusiano na pesa mifukoni mwao na watu wanaamini kwa maelfu,Hiki ni kipindi cha kuongelea mambo yajayo
Ccm kuendelea kuongelea mambo ya reli,barabara na ndege watu wameyasikia kwa miaka mitano yote,Sasa wanahitaji mambo mapya
Tunapomuongelea Lissu tunazidi kumpa umaarufu zaidi
Je ni kweli sasa tunacheza ngoma ya Tundu lisu?
Always Great manLissu the Great
Amen kwa jina la Mwenyezi MunguUsimwamshe aliye lala ukimwamsha utalala wewe Lisu ni mpango wa Mungu acha kusudi lake litimie