MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Ninashangaa kuona kuna vikundi vya kijinga ndani ya chama changu cha CCM vinajifanya kua wajuaji sana na kwa wao ndio wanaojua sana nchi kwakua walikua sehemu ya utawala wa awamu ya 5. Vigenge hivi vinajifanya kua active kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali ya awamu ya 6, utafikiri mama hakua sehemu ya utawala wa awamu ya 5.
SWALI LANGU: Kama katiba inasema Rais aliyeko madarakani akifariki basi makamu wa Rais kuapishwa kua Rais kuendeleza gurudumu, hivi baada ya JPM kufariki dunia walitaka nani awe Rais na kwa utaratibu upi? Mnataka kusema kua JPM alikua na makosa kumteua Rais Samia enzi hizo kua Makamu wake mara mbili mfululizo? Hamjui kabisa kua hata Rais Samia ni mteule wa JPM awamu zote mbili mfululizo?
Mnachowewesekea ni nini? Mnataka Mama aendeshe nchi kwa matakwa yenu badala ya katiba na sheria? Kama hamtaki kua waumini wa mifumo yake, kwanini msikae kimya na kama kuna kitu mkamwambie ndani ya vikao vya chama?
Tuache unafki, tumuache Mama aamue kufanya anachoona kinafaa kwa manufaa ya taifa.
#Kazi iendelee!
SWALI LANGU: Kama katiba inasema Rais aliyeko madarakani akifariki basi makamu wa Rais kuapishwa kua Rais kuendeleza gurudumu, hivi baada ya JPM kufariki dunia walitaka nani awe Rais na kwa utaratibu upi? Mnataka kusema kua JPM alikua na makosa kumteua Rais Samia enzi hizo kua Makamu wake mara mbili mfululizo? Hamjui kabisa kua hata Rais Samia ni mteule wa JPM awamu zote mbili mfululizo?
Mnachowewesekea ni nini? Mnataka Mama aendeshe nchi kwa matakwa yenu badala ya katiba na sheria? Kama hamtaki kua waumini wa mifumo yake, kwanini msikae kimya na kama kuna kitu mkamwambie ndani ya vikao vya chama?
Tuache unafki, tumuache Mama aamue kufanya anachoona kinafaa kwa manufaa ya taifa.
#Kazi iendelee!