peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Aina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.
Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa.
Kiini cha hayo matatizo ni kinyang'anyiro cha urais wa 2015 ambapo walijitokeza wagombea zaidi ya 40.
Naona hili linajirudia mbio za Uspika.
CCM waliboronga vibaya mwaka 2015, na matokeo tuliyaona.
Sasa hivi CCM iwe makini na waache umavikundi, mitandao, na "gangs" za kimasilahi binafsi.
Tunamwacha apumzike kwa amani maana kasheshe aliloacha si la kawaida kwenye mustakabali wa utengamano wa nchi.Kama unatapatapa kutafuta suruhu za matatizo yako makaburini , utakuwa na tatizo kubwa kichwani.
Mwache Mzee JPM apumuzike .
Kwahiyo wewe ni mwema sana ndomaana mpaka leo upo eeeee?Angekuwa na utumishi uliotukuka angekuwepo hadi leo.
Idi Amin na Mobutu bado walifia ugenini.Kwahiyo wewe ni mwema sana ndomaana mpaka leo upo eeeee?
Mkuu with all due respect umeandika hili andiko with poor reasoning.Afadhali miaka mitano ya magufuli ilisababisha watu tujue kuwa serikali inaweza kutumikia watu, siyo kuwa serikali inapimwa kwa urefu wa kamba. Walitegemea hela za urefu wa kamba ndio hao waliokuwa wanalialia sana wakati wote wa ,magufuli.
Mtu kama Membe angeweza kuongoza nini iwapo ni mtu wa kulia lia hata alipopewa nafasi ya kupiga kampeini ya kumchallenge magufuli akaishia uvunguni; mtu asiyekuwa na confidence namna hiyo ndipo kamba zingekuwa na urefu za kuzunguka dunia nzima. Huyu Makamba anaingia juzi tu tayari keshajuka na crane yenye thamani sawa na gharama za kujenga daraja zima la mto wami. Kamba ndefu hizo ndizo zilifanya nchi isiwe hata na ndege yake wala treni.
Na wewe umeandika with poor reasoning; mbona baada magufuli kufariki, na manji kurudi, bado alikimbia tena iwapo alikuwa anaonewa na Magufuli personally? Kwa nini usitambue kuwa kweli alikuwa na kosa la kisheria siyo kuwa alikuwa anaonewa na mtu mmoja. Sehemu kubwa ya wafanya biashara unaowazungumzia ni hao wanaodhani kuwa kwa vile wao ni wawekezaji basi serikali itakuwa ina wabembeleza, na wakigundua kuwa serikali haiwabembelezi ndipo wanatafuta visababu kama unavyosema wewe. kazi ya serikali ni kusimamia sheria, iwapo mwekezaji hapendi sheria zisimamimwe ni afadhali aondoke kwani hatuwezi kuwa taifa ambalo sheria zake zinawahusu baadhi ya watu tu; lazima tujifunze kukubali kuwa sheria ni msumeno.Mkuu with all due respect umeandika hili andiko with poor reasoning.
Mama Samia ameleta mazingira ya mtu kufanya biasharaendelevuambapo wewe utaita urefu wa kamaba lakini kiuhalisia ni kufuata taratibu na sheria za mazingira ya kazi au biashara.
Nyie mliotegemezi wa kodi za bure, muone kazi anayoifanya mama kurudisha confidence ya wawekezaji.
Nimepita leo Quality Plaza, patupu!
Matokeo ya sera mbovu za mwendazake.
Kama muwekezaji ana mapungufu, suala ni kukaa naye chini ili yale yaliyogunduliwa yafanyiwe kazi.
Kukomoana, eti ndio serikali inafanya kazi, huo ni ushmba to sya the least!
Pale Quality Plaza kulikuwa na ajira nyingi, biashara nyingi , kodi nyingi!
Zimepotea.
Wewe ni Magufuli mtupu, corona imekupitaje?Na wewe umeandika with poor reasoning; mbona baada magufuli kufariki, na manji kurudi, bado alikimbia tena iwapo alikuwa anaonewa na Magufuli personally? Kwa nini usitambue kuwa kweli alikuwa na kosa la kisheria siyo kuwa alikuwa anaonewa na mtu mmoja. Sehemu kubwa ya wafanya biashara unaowazungumzia ni hao wanaodhani kuwa kwa vile wao ni wawekezaji basi serikali itakuwa ina wabembeleza, na wakigundua kuwa serikali haiwabembelezi ndipo wanatafuta visababu kama unavyosema wewe. kazi ya serikali ni kusimamia sheria, iwapo mwekezaji hapendi sheria zisimamimwe ni afadhali aondoke kwani hatuwezi kuwa taifa ambalo sheria zake zinawahusu baadhi ya watu tu; lazima tujifunze kukubali kuwa sheria ni msumeno.
Kesho ni zamu yako kufa sijui haujijui kihoro cha kifo kinakuandama. Tubu dhambi zako na ujiweke karibu na waliokufa maana kaburi lako hulijui.Tunamwacha apumzike kwa amani maana kasheshe aliloacha si la kawaida kwenye mustakabali wa utengamano wa nchi.
Karibu tuwe pamoja!Kesho ni zamu yako kufa sijui haujijui kihoro cha kifo kinakuandama. Tubu dhambi zako na ujiweke karibu na waliokufa maana kaburi lako hulijui.
Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Acha uropokaji, taja ndugu zako waliouawa na sababu zake na kwa ushahidi.
Kwahiyo Magufuli ni sawa na iddy Amini?Kwanza mmeishiwa hoja hahahahhahIddy Amini aliuwa watu na wote hilo tunalijua, kuna popote tunapaswa kutaja ndugu zetu aliowaua ndio iwe kweli? Naona umeishiwa utetezi wa yule kiongozi muovu.
Afadhali miaka mitano ya magufuli ilisababisha watu tujue kuwa serikali inaweza kutumikia watu, siyo kuwa serikali inapimwa kwa urefu wa kamba. Walitegemea hela za urefu wa kamba ndio hao waliokuwa wanalialia sana wakati wote wa ,magufuli.
Mtu kama Membe angeweza kuongoza nini iwapo ni mtu wa kulia lia hata alipopewa nafasi ya kupiga kampeini ya kumchallenge magufuli akaishia uvunguni; mtu asiyekuwa na confidence namna hiyo ndipo kamba zingekuwa na urefu za kuzunguka dunia nzima. Huyu Makamba anaingia juzi tu tayari keshajuka na crane yenye thamani sawa na gharama za kujenga daraja zima la mto wami. Kamba ndefu hizo ndizo zilifanya nchi isiwe hata na ndege yake wala treni.
Kwahiyo Magufuli ni sawa na iddy Amini?Kwanza mmeishiwa hoja hahahahhah
Kiongozi anayeogopa madaraka yake hastahili kuwa nayo!Magu alikuwa kiongozi muovu na mlevi wa madaraka fullstop.
I still appeal to your sense of reasoning.Na wewe umeandika with poor reasoning; mbona baada magufuli kufariki, na manji kurudi, bado alikimbia tena iwapo alikuwa anaonewa na Magufuli personally? Kwa nini usitambue kuwa kweli alikuwa na kosa la kisheria siyo kuwa alikuwa anaonewa na mtu mmoja. Sehemu kubwa ya wafanya biashara unaowazungumzia ni hao wanaodhani kuwa kwa vile wao ni wawekezaji basi serikali itakuwa ina wabembeleza, na wakigundua kuwa serikali haiwabembelezi ndipo wanatafuta visababu kama unavyosema wewe. kazi ya serikali ni kusimamia sheria, iwapo mwekezaji hapendi sheria zisimamimwe ni afadhali aondoke kwani hatuwezi kuwa taifa ambalo sheria zake zinawahusu baadhi ya watu tu; lazima tujifunze kukubali kuwa sheria ni msumeno.
Kwani sasa hivi bado Magufuli na watu wake wanamzuia Manji kufungua hiyo Quality Plaza tena?I still appeal to your sense of reasoning.
Magyfuli alipoondoka aliacha wateule wake wengi waliokuwa na utendaji wa kumpendeza mfalme.
Hatuini ajabu kesi za kubambikwa zilishamiri, a.k.a Mbowe.
Magufuli alipokufa system yake haikufa, iliendelea.
Ilibidi mama Samia aseme wazi ACHENI KUBAMBIKA WATU KESI ZA KUGHUSHI.
Kwa vile inaelekea wewe ni mkinga mkono kupokea mshahara, masuala ya confidence in business huwezi kuyaelewa.
Maisha ya leo yanabebwa na historia ya nyuma, hata wewe unabebwa na historia either ya babako au babu yako, so bado unanafasi kujibu, acha maneno mengi.Wewe umemuongelea Magufuli, endelea na mlolongo huo.
Kwahiyo Magufuli ni sawa na iddy Amini?Kwanza mmeishiwa hoja hahahahhahIddy Amini aliuwa watu na wote hilo tunalijua, kuna popote tunapaswa kutaja ndugu zetu aliowaua ndio iwe kweli? Naona umeishiwa utetezi wa yule kiongozi muovu.