CCM msituletee tena viongozi kama Awamu ya Tano

CCM msituletee tena viongozi kama Awamu ya Tano

Aina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.

Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa.

Kiini cha hayo matatizo ni kinyang'anyiro cha urais wa 2015 ambapo walijitokeza wagombea zaidi ya 40.

Naona hili linajirudia mbio za Uspika.

CCM waliboronga vibaya mwaka 2015, na matokeo tuliyaona.

Sasa hivi CCM iwe makini na waache umavikundi, mitandao, na "gangs" za kimasilahi binafsi.
"Msituletee" wewe na nani,mbona mimi nilimpenda?
 
Umeandika umemalza Lakini bado hatujajua unataka kusema nini. Haya Sema Sasa tatizo lako hasa nini linalokusumbua moyoni mwako. Mana nina uhakika Sio haya mambo y Siasa na marehemu. Ukisema awamu ya tano ndo imetupa mama yetu mpendwa.

Ok Tueleze tukusaidie, kabla hujajinyonga na kuacha chupi golini. Be brave.
Mbona unapiga za pembeni pembeni wakati wewe una uhakika wa kile ninachoongea?

Alafu kwa kazi yako, uliyoelezea vizuri na una uzoefu nayo, ya wa wasiojulikana, kuzoa mavi ya chupi baada ya kunyonga!
Mtajitaja mwaka huu, mizimu ya akina Lwajabe na bado mtaweweseka!

Mlikuwa mnafikiri damu ya binadamu ni picnic.
 
Hakuna povu mkuu, Tunamponda Magufuli kwa kua ndicho anacho stahili. Maiti amepanda UOVU anavuna UBAYA.
Samia nae atavuna anachopanda haina haraka, Muda utaamua..
Maiti yako inavuna ubaya kivipi?
 
Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
ALiligawa taifa,wapinzani walionekana maadui wakipewa jina la "vibaraka wa mabeberu".
The nation was torn apart, business firms were going athwart,fear was a factor to live, Newspapers,radio stations and television stations were not daring to write or broadcast the news which was against the government,in short we were back to Yosef Stalin era,the past former Soviet Union leader,who led the USSR with an iron fist.
 
Ndio zenu, kusingizia watu wengine ni wezi wakati katika awamu ya tano Prof Assad na Kichere walianika uozo hadharani.
Wee kichwani hauna kitu unaulelwew mdogo sana .Auditing quarrel Huwezi kuwa termed kama wizi mpaka hizo hoja zitakapokosa majibu ya hoja husika hebu tusubiri hii awamu ya huyu mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Listi ni ndefu sana ukianza na Kamanda Mawazo uje kibiti, mateso ya Mheshimiwa LISSU, mauaji ya bin Raheebu wa Saananne.
Kutekwa na kufungwa wana CHADEMA. Kesi ya mchongo aliomwandalia mzee Mbowe, risasi “walizokazwa” wanzanzibari, mauaji ya Azory Gwanda, wasanii na wafanya bishara kutekwa .
Bashite na sabaya wanasema Magufuli aliwatuma kuua ,kutesa kupora mali za watanzania…. Inaendelea..
Acha porojo kijana lala ukuwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom