CCM msituletee tena viongozi kama Awamu ya Tano

CCM msituletee tena viongozi kama Awamu ya Tano

Me binafsi nilishaacha kujibizana na watu jamii ya mtoa mada kwa sababu niligundua mambo haya;

Mosi kuna kundi kutoka CCM linalofanya kila njia kumpondea kumtukana nk JPM humu mitandaoni,na hii inasababishwa na kwamba mwamba kweli kafa lakini bado kuna kundi kubwa linampigania,kipindi Magu yupo waliamini hili kundi linamtetea ili kujipendekeza na kujikomba tu kwa kiongozi wa juu kama ilivyo ada katika nchi hii,sasa roho zinawauma sana Leo hii kuona Mwamba bado anatetewa na kukubalika sana pamoja na kwamba ametangulia mbele za haki,na kibaya zaidi viongozi/watu wao waliobaki Leo hii hawakubaliki kabisaa hata nusu ya Magu tu



Kundi la pili ni hawa wafuasi wa CDM ,hawa bhana walishajiaminisha kwamba wao ndio wao chama chao ni Taasisi kubwa na nguvu ya umma kweli ipo nyuma yao,sasa alichowafanya yule mwamba hakitawatoka akilini mwao mpaka kifo,walipigwa mapigo matakatifu wakapoteana vibaya mpaka leo wengine Belgium wengine Canada na wengine wapo tu kitaaa hawaelewi kitu,yaani chama ndio kimeshapotea na hakiwezi kurudi kama kilivyokuwa kabla ya uchaguzi wa 2015,wao wenyewe wanaufahamu ukweli huu ingawa hawataki kuukubali,ndio maana roho zinawauma sana,hawa jamaa ni kuwaonea huruma tu na si vinginevyo maana machungu waliyonayo hayamithiliki kabisaa, watabaki kumtukana Magu mpaka kiama



Haya Makundi yote mawili huwa hawana hoja zozote za msingi juu ya Magu zaidi ya pumba na matusi tu,story zao kila siku ni zile zile,sasa basi dawa ni kuwadharau na kuwapotezea tu waacheni wajifariji humu mitandaoni ingawa ukweli wanaujua vizuri mioyoni mwao!!
 
Me binafsi nilishaacha kujibizana na watu jamii ya mtoa mada kwa sababu niligundua mambo haya;

Mosi kuna kundi kutoka CCM linalofanya kila njia kumpondea kumtukana nk JPM humu mitandaoni,na hii inasababishwa na kwamba mwamba kweli kafa lakini bado kuna kundi kubwa linampigania,kipindi Magu yupo waliamini hili kundi linamtetea ili kujipendekeza na kujikomba tu kwa kiongozi wa juu kama ilivyo ada katika nchi hii,sasa roho zinawauma sana Leo hii kuona Mwamba bado anatetewa na kukubalika sana pamoja na kwamba ametangulia mbele za haki,na kibaya zaidi viongozi/watu wao waliobaki Leo hii hawakubaliki kabisaa hata nusu ya Magu tu



Kundi la pili ni hawa wafuasi wa CDM ,hawa bhana walishajiaminisha kwamba wao ndio wao chama chao ni Taasisi kubwa na nguvu ya umma kweli ipo nyuma yao,sasa alichowafanya yule mwamba hakitawatoka akilini mwao mpaka kifo,walipigwa mapigo matakatifu wakapoteana vibaya mpaka leo wengine Belgium wengine Canada na wengine wapo tu kitaaa hawaelewi kitu,yaani chama ndio kimeshapotea na hakiwezi kurudi kama kilivyokuwa kabla ya uchaguzi wa 2015,wao wenyewe wanaufahamu ukweli huu ingawa hawataki kuukubali,ndio maana roho zinawauma sana,hawa jamaa ni kuwaonea huruma tu na si vinginevyo maana machungu waliyonayo hayamithiliki kabisaa, watabaki kumtukana Magu mpaka kiama



Haya Makundi yote mawili huwa hawana hoja zozote za msingi juu ya Magu zaidi ya pumba na matusi tu,story zao kila siku ni zile zile,sasa basi dawa ni kuwadharau na kuwapotezea tu waacheni wajifariji humu mitandaoni ingawa ukweli wanaujua vizuri mioyoni mwao!!
Wewe mkuu kwakina itafakari utakuwa pengine ni mrundi, uliyepata uraia Tanzania.
Nasema hivi kwa vile hujui kuwa CCM ina itikadi na tabia zake kihistoria , CCM si mtu ni sera za watanzania zinazoweza kutetewa na kila mtu.

Sasa akingia "mwamba" ambaye kwa kuanzia alisema hashauriki na mtu, yeye ni mjua yote, au kwa lugha nyingine dikteta, ambaye akiamua kitu asikie mtu akisema fyoko.

Nafikiri wewe hukuwepo Tanzania matukio machafu ya kuua watu mchana kweupe ambayo ni kawaida nchi zenu za jirani.
Mimi ni kada lakini hata wapinzani ni ndugu zetu, watoto wetu, wajomba wetu, tumeoa huko na tumeoleana.
Nafikiri wewe hukuwepo kwani hukuona ukabila wa "mwamba", wako kwa kuteu watu walio karibu na kabila lake, kama la kwako.

Nafikiri hukuwepo walipopotea kina Ben Saanane, na kumiminiwa risasi Tundu Lissu kwa bunduki za rasharasha. Na vile vile hukuwepo, wala hukuwahi kusikia kuuwawa kwa Injinia Lwajabe aliyekuwa anazuia wizi wa fedha za miasaada toka nchi za ulaya.
Na "mwamba" na mtoto wa dada yake Doto wakwa kimya tu, kama hakijatokea kitu.

Nafikiri hukuwepo wizi wa tshs 1.5trilioni, ambao CAG, kihalali na kwa nafasi yake alihoji zilipo, akafukuzwa kazi na "mwamba" wako.

Nafikiri vile vile hukuwepo lakini ulifurahia sana kujengwa kwa uwanja wa kimataifa Chato, mradi ambao wala haukuuwepo kwenye ilani ya CCM, na leo uwanja huo mnaanikia nguo na unga.
Na hukuwepo lakini ulifurahia sana kujengwa kwa daraja la Busisi linaloenda kwake na kwa wakwe wa "mwamba" wako.
Mradi ambao haukuwa kwenye ilani ya CCM.

Nafikiri hukuwepo na hujasikia kuwa kuna makada ssa wanapumua na kulalamika kuwa "mwamba" alikuwa na kadi Mirembe, na hakupaswa hata kufikiriwa urais.
Kuna waliokuwa makada vie vile wako on record kuuliza Utanzania wa "mwamba" wako.

Sasa mkuu wangu utayajuaje haya kama wewe kwakina itafakari si mtanzania , bali mwezetu kutoka jirani uliyepata hifadhi?
 
Aina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.

Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa.

Kiini cha hayo matatizo ni kinyang'anyiro cha urais wa 2015 ambapo walijitokeza wagombea zaidi ya 40.

Naona hili linajirudia mbio za Uspika.

CCM waliboronga vibaya mwaka 2015, na matokeo tuliyaona.

Sasa hivi CCM iwe makini na waache umavikundi, mitandao, na "gangs" za kimasilahi binafsi.
Watu akilizao zinastaajabisha!! Viongozi tulionao juu sio ndio walewale wa 2015?
 
Watu akilizao zinastaajabisha!! Viongozi tulionao juu sio ndio walewale wa 2015?
Ni vyema akili zako zikutume kujua kuwa hao waliokuwepo 2015, walirithiwa toka Awamu ya Nne, ambpo nao pia walirithiwa toka Awamu ya Tatu.
Lakini Awamu ya Tanoisingeweza kuwa endelevu kwa fujo zilizojitokeza kiuongozi.
Naamini Awamu ya Sita inalijua hilo.
 
Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Tanzania ilipitishwa kwenye kipindi kibaya sana miaka ya Magufuli. Ila Mungu anaipenda Nchi yetu, kamsepesha mapema kabla hajatufanya Zimbabwe ya pili.

Marais wote duniani wanaiba kura dhidi ya WAPINZANI, lakini Magufuli alivunja rekodi ya Dunia kwa kuiba kura mpaka za Serikali za Mitaa mwaka 2019 na wabunge mwaka 2020. Kweli alimkasirisha Mungu, ndiyo maana hakumuacha avuke miezi 4 baada yakujitangaza Rais pale October 25
 
Huu ujumbe umfikie Mahera na Jecha (retired) pale Visiwani...
Aina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.

Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa.

Kiini cha hayo matatizo ni kinyang'anyiro cha urais wa 2015 ambapo walijitokeza wagombea zaidi ya 40.

Naona hili linajirudia mbio za Uspika.

CCM waliboronga vibaya mwaka 2015, na matokeo tuliyaona.

Sasa hivi CCM iwe makini na waache umavikundi, mitandao, na "gangs" za kimasilahi binafsi.
 
Halafu Wabongo tulivyo waoga... Sijui asingekufa tungemtoaje tu!!
Mkuu nchi hii inapendwa sana na Mungu, na ameibariki.
Sentensi ya kwanza ya wimbo wa Taifa, ni maombi kwa Mungu kuibariki Tanzania.

Akitokea mtu kuchezea baraka hii lazima kitampata achistahili.
 
Wewe mkuu kwakina itafakari utakuwa pengine ni mrundi, uliyepata uraia Tanzania.
Nasema hivi kwa vile hujui kuwa CCM ina itikadi na tabia zake kihistoria , CCM si mtu ni sera za watanzania zinazoweza kutetewa na kila mtu.

Sasa akingia "mwamba" ambaye kwa kuanzia alisema hashauriki na mtu, yeye ni mjua yote, au kwa lugha nyingine dikteta, ambaye akiamua kitu asikie mtu akisema fyoko.

Nafikiri wewe hukuwepo Tanzania matukio machafu ya kuua watu mchana kweupe ambayo ni kawaida nchi zenu za jirani.
Mimi ni kada lakini hata wapinzani ni ndugu zetu, watoto wetu, wajomba wetu, tumeoa huko na tumeoleana.
Nafikiri wewe hukuwepo kwani hukuona ukabila wa "mwamba", wako kwa kuteu watu walio karibu na kabila lake, kama la kwako.

Nafikiri hukuwepo walipopotea kina Ben Saanane, na kumiminiwa risasi Tundu Lissu kwa bunduki za rasharasha. Na vile vile hukuwepo, wala hukuwahi kusikia kuuwawa kwa Injinia Lwajabe aliyekuwa anazuia wizi wa fedha za miasaada toka nchi za ulaya.
Na "mwamba" na mtoto wa dada yake Doto wakwa kimya tu, kama hakijatokea kitu.

Nafikiri hukuwepo wizi wa tshs 1.5trilioni, ambao CAG, kihalali na kwa nafasi yake alihoji zilipo, akafukuzwa kazi na "mwamba" wako.

Nafikiri vile vile hukuwepo lakini ulifurahia sana kujengwa kwa uwanja wa kimataifa Chato, mradi ambao wala haukuuwepo kwenye ilani ya CCM, na leo uwanja huo mnaanikia nguo na unga.
Na hukuwepo lakini ulifurahia sana kujengwa kwa daraja la Busisi linaloenda kwake na kwa wakwe wa "mwamba" wako.
Mradi ambao haukuwa kwenye ilani ya CCM.

Nafikiri hukuwepo na hujasikia kuwa kuna makada ssa wanapumua na kulalamika kuwa "mwamba" alikuwa na kadi Mirembe, na hakupaswa hata kufikiriwa urais.
Kuna waliokuwa makada vie vile wako on record kuuliza Utanzania wa "mwamba" wako.

Sasa mkuu wangu utayajuaje haya kama wewe kwakina itafakari si mtanzania , bali mwezetu kutoka jirani uliyepata hifadhi?



Unaona sasa?...umekuja na assumptions zako kibao na majibu yale yale mnayokuja nayo kila siku,kwani niliposema story zetu ndio zile zile unafikiri nilikosea? Nikisema nichambue hiki ulichopost hapa then twende hoja kwa hoja nitakuwa napoteza tu muda wangu maana ni wazi upeo wako ni mdogo sana na vile vile umejaa unafiki tu kama kawaida yenu,endelea tu kujifariji na kufurahisha baraza humu kwenye mitandao!!
 
Unaona sasa?...umekuja na assumptions zako kibao na majibu yale yale mnayokuja nayo kila siku,kwani niliposema story zetu ndio zile zile unafikiri nilikosea? Nikisema nichambue hiki ulichopost hapa then twende hoja kwa hoja nitakuwa napoteza tu muda wangu maana ni wazi upeo wako ni mdogo sana na vile vile umejaa unafiki tu kama kawaida yenu,endelea tu kujifariji na kufurahisha baraza humu kwenye mitandao!!
Mkuu umepigwa na kitu kizito.
Hujajibu hoja.
 
Angekuwa na utumishi uliotukuka angekuwepo hadi leo.
Una matatizo si bure, Magufuli huyu huyu alitufikisha uchumi wa kati unasema alikuwa hafai? Nyie ndio wale wahuni ambao Mh. polepole aliokuwa anawazungumzia katika shule yake ya uongozi.
 
Unaona sasa?...umekuja na assumptions zako kibao na majibu yale yale mnayokuja nayo kila siku,kwani niliposema story zetu ndio zile zile unafikiri nilikosea? Nikisema nichambue hiki ulichopost hapa then twende hoja kwa hoja nitakuwa napoteza tu muda wangu maana ni wazi upeo wako ni mdogo sana na vile vile umejaa unafiki tu kama kawaida yenu,endelea tu kujifariji na kufurahisha baraza humu kwenye mitandao!!
Sasa wewe mtetezi wa madudu ya Awamu ya Tano si uzijibu hoja?
Mimi akili yangu ndogo nimeyaweka peupe mambo dhahiri.

Sasa wewe mwenye akili kubwa unashindwa kudadavua.
Nikuulize tu, Ben Saanane yuko wapi, inabidi uwe na PhD ya Sayansi ya kemikali kujibu hili?
Nani alimmiminia risasi Lissu, kama una cheti cha darasa la saba hilo kwako mswaki.
Tuhuma hazitaondoka na upepo, zijibu tu kwa niaba ya "mwamba".
 
Una matatizo si bure, Magufuli huyu huyu alitufikisha uchumi wa kati unasema alikuwa hafai? Nyie ndio wale wahuni ambao Mh. polepole aliokuwa anawazungumzia katika shule yake ya uongozi.
Huna hela mfukoni, unaishi mbavu za mbwa, mlo wako kwa mama ntilie mara moja kwa siku, halafu mnyonge wewe umeambiwe uko uchumi wa kati na unachekelea kama zuzu.
 
Unaona sasa?...umekuja na assumptions zako kibao na majibu yale yale mnayokuja nayo kila siku,kwani niliposema story zetu ndio zile zile unafikiri nilikosea? Nikisema nichambue hiki ulichopost hapa then twende hoja kwa hoja nitakuwa napoteza tu muda wangu maana ni wazi upeo wako ni mdogo sana na vile vile umejaa unafiki tu kama kawaida yenu,endelea tu kujifariji na kufurahisha baraza humu kwenye mitandao!!
Ndugu achana na huyo mpuuzi Jidu La Mabambasi bado ana akili za kitoto
 
Huna hela mfukoni, unaishi mbavu za mbwa, mlo wako kwa mama ntilie mara moja kwa siku, halafu mnyonge wewe umeambiwe uko uchumi wa kati na unachekelea kama zuzu.
Tangu huyu aingie umeungiza bilioni ngapi hadi sasa?
 
Jibu hoja.
Hao watu uliowataja hapo sijawahi washuhudia mahali popote pale labda uniambie ni wapi hawa watu walipokuwa wanapatikana?

Maana kipindi cha Magufuli nachofahamu watu wa kipato cha chini ndio walikuwa wakimpenda maana aliwatengenezea mazingira mazuri sana yakufanya biashara tofouti na huyu ambaye kila kukicha anakuja na mbinu za kuwavunja moyo wafanya biashara wadogo hivyo nategemea hao mbavu za mbwa ukiowataja wakiongezeka awamu hii.
 
Back
Top Bottom