Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
Kwahiyo viongoz wote waliokufa mfano Maalim Seif naye alikua kiongoz muovu ndio maana kafa?
Acha kutetea bana magufuli alikua ni dikteta jambazi jini na ndo maana uwongozi wake haukudumu na ata haya tunayopitia saiv sababu kubwa ni yeye
Apumzke kwa Aman ila CCM iwe funzo kwao wasiludie ujinga ule wa 2015