Acha uropokaji, taja ndugu zako waliouawa na sababu zake na kwa ushahidi.
Azory,ben Saa 8,lwajaba,dilunga,elisha eliya ,wa kwenye viroba coco beach,mauaji ya wasio na hatia kibiti wengi waliuliwa kwa kuhisiwa tu wakamuua Azory Ili kuficha ukweli,na wengine kibao waliohisiwa ni kigogo hali kigogo halisi still you hai.
Waliotekwa bring back ndio zilizowaokoa wasiuwawe ni Roma Mkatoliki,Ney wa mitego, MO,Masudi Kipanya,Tito Magoti,BOLLEN ngeti,Abdul Nondo,Eric Kabendela nk.
List inakutosha au unataka zaidi.
Aliwaamuru wauaji warekodi video wakitesa na kuuwa kisha apelekewe aone Ili ashuhudie kuthibitisha kama ni kweli wamewaua.
Nasi tunazidi kumuomba Mola na azidi kuwaibisha na kuyaweka wazi matendo yao maovu ikiwemo zileak hizo video shahidi za waliowaua nduga zetu.
Japo engineer mkuu aliyepigwa stop USA ana haha kwa waganga awatowasaidi.
Hakuna mganga awezae kushindana na nature.
Mniombee mniombee anaona roho za marehemu sio KILA ukoo damu zao upotea bure.
Fanya dhambi zote usiue ukiua umewasha bluetooth on.
Hata jambazi smart huwa auwi anaijua nguvu ya damu.