CCM msituletee tena viongozi kama Awamu ya Tano

CCM msituletee tena viongozi kama Awamu ya Tano

Aina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.

Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa...
Exctly, wawe makini wasije wakateua spika wa hovyo kama ndugai, ndugai alinajisi bunge, na kwasasa kuwe na kipengele cha kupimwa akili na maradhi,maana kuna maradhi mengine mtu akiwanayo anakuwa mwehu
 
Badala ya kuongea juu ya kuifuta CCM juu ya uso wa Tanzania unaongea utopolo.

Viongozi wa CCM awamu ya sita👇🐒🐒🐒
View attachment 2085801
Ubavu wa kuifuta CCM unao?
Tunaisema na kuinanga CCM kwa madudu ysliyofanyika nyuma kwa vile bado itaendelea kuwepo, na mimi ni kada.
Lakini kwa madudu ya Awamu ya Tano CCM inabeba full lawama.
 
Angekuwa na utumishi uliotukuka angekuwepo hadi leo.

Screenshot_20211029-110122.png
 
Aina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.

Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa...
Awamu ya tano akin Sabaya, Makonda, Ndugai, Polepole, Bashiru, Tulia hawafai nyakati hizi
 
Yaan cjui utakua jinga mpaka lini, mtoa mada kasema angekua ni kiongoz alietukuka angekuepo mpaka leo anatawala. Sasa unaleta mfano wa JKN hapa? JKN hakumaliza uongoz wake?

View attachment 2085882
Kwahiyo viongoz waliofia madarakani uongozi wao haukutukuka?Akina Samora Machel,Sankara wote hawa uongozi wao ulikua mbaya sana na ndio maana walifia madarakani?
 
Sitaman tena nchi hii ipate kiongoz mwenye taaluma ya ualimu(yule pimbi alituendesha kama mwalimu wa zamu)
 
we baki kupiga kelele eti awamu ya 5 sijui nini. wenzio washabiwa wale kwa urefu wa kamba. awamu ya 5 ishapita enjoy awamu ya 6 yenye neema kwako
 
Awamu ya tano akin Sabaya, Makonda, Ndugai, Polepole, Bashiru, Tulia hawafai nyakati hizi
Tulia hana matatizo pamoja na kuingia madarakani Awamu ya Tano.
Hana excesses za kutumia vibaya sana madaraka kama Ndugai.
 
Heri mara 1000 awamu ya tano, kuliko hii awamu ya afisa mikopo. No sense of leadership at all, kama tumo gizani tu.
 
Sio mbaya tu bali alikuwa ni Jinamizi.
Wwe inaonekana ulikuwa mwizi,ndiomaana ulikuwa na chuki na magufuri.Magufuri alikuta CCM choka mbaya hata kuvaa shati la ccm ilikuwa haibu kubwa, Mpaka kuifanya CCM kuwa kimbilio, Sasahivi hayupo Mbona hatuoni watu kuchukua fom za kuwania usipika kupitia chadema, Kama Magufuri ndiye alikandamiza upinzani?

Miaka 5 ya Magufuri imezidi miaka ya viongozi watatu waliokaa madaraka,sema Watanzania wamisha zoea kudeka tu na kuambiwa maneno mepesi kuwa atuwezi
 
Back
Top Bottom