greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Naona mleta mada amebeba ndoo imejaa mihela ya kuokota baada ya rais wamoyo wake mama kufungulia nchi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbaya tu, bali alikuwa ni Jinamizi.Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Exctly, wawe makini wasije wakateua spika wa hovyo kama ndugai, ndugai alinajisi bunge, na kwasasa kuwe na kipengele cha kupimwa akili na maradhi,maana kuna maradhi mengine mtu akiwanayo anakuwa mwehuAina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.
Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa...
Yes! Kwani we hujui au?!Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Dikteta alivuruga uchumi wa nchi, na mahusiano ya kimataifaNaona mleta mada amebeba ndoo imejaa mihela ya kuokota baada ya rais wamoyo wake mama kufungulia nchi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ubavu wa kuifuta CCM unao?Badala ya kuongea juu ya kuifuta CCM juu ya uso wa Tanzania unaongea utopolo.
Viongozi wa CCM awamu ya sita👇🐒🐒🐒
View attachment 2085801
Endelea kulinda legacy!Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
😂😂😂 Mauno, kama ndio baba yangu sijui ningemuangaliaje usoniMATAGA wameomba commercial break kidogo watoe buradani angalao kwa dakika moja kwa kuwa bado siku ni ndefu kwenye huu uzi👇🤣
View attachment 2085883
Awamu ya tano akin Sabaya, Makonda, Ndugai, Polepole, Bashiru, Tulia hawafai nyakati hiziAina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.
Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa...
Kwahiyo viongoz waliofia madarakani uongozi wao haukutukuka?Akina Samora Machel,Sankara wote hawa uongozi wao ulikua mbaya sana na ndio maana walifia madarakani?Yaan cjui utakua jinga mpaka lini, mtoa mada kasema angekua ni kiongoz alietukuka angekuepo mpaka leo anatawala. Sasa unaleta mfano wa JKN hapa? JKN hakumaliza uongoz wake?
View attachment 2085882
Nini mawazo yakoUnataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Tulia hana matatizo pamoja na kuingia madarakani Awamu ya Tano.Awamu ya tano akin Sabaya, Makonda, Ndugai, Polepole, Bashiru, Tulia hawafai nyakati hizi
Wwe inaonekana ulikuwa mwizi,ndiomaana ulikuwa na chuki na magufuri.Magufuri alikuta CCM choka mbaya hata kuvaa shati la ccm ilikuwa haibu kubwa, Mpaka kuifanya CCM kuwa kimbilio, Sasahivi hayupo Mbona hatuoni watu kuchukua fom za kuwania usipika kupitia chadema, Kama Magufuri ndiye alikandamiza upinzani?Sio mbaya tu bali alikuwa ni Jinamizi.