CCM msitumie Machawa kumjibu LISSU, ni Heri kua kimya, Ubaya wa Lissu anazungumza Ukweli na Haki, ni ngumu mno kujibizana naye

CCM msitumie Machawa kumjibu LISSU, ni Heri kua kimya, Ubaya wa Lissu anazungumza Ukweli na Haki, ni ngumu mno kujibizana naye

Ukubali, Ukatae, Huyu LISSU ni Gifted, Brilliant, ana akili Nyingi mnoo, ana upeo Mkubwa sana alafu Ndani yake ana Nguvu kubwa ya Kiroho.

Haingii Akilini Risasi 16 MTU anatoboa ,alafu bado umchukulie poaa, watu Huwa wanaondoshwa na Risasi Moja au Mbili !!.

LISSU hatua alofikia ni ASOOGOPA CHOCHOTE.

Kama hiyo haitoshi, Uwezo wake mkubwa wa Akili ninaamini sio wasomi wa chama chake tu ,la hashaa, wasomi wote wa Tanzania ikiwemo wa CCM wenyewe, hupenda kumsikiliza Tena Kwa utulivu uku wakishangazwa na Uwezo wake mkubwa/Kipaji Cha kuzaliwa alichovuviwa na Mungu.

Kwa karama yake ya kupigania haki, kuwatetea wanyonge , kuchukua Rushwa na uonevu, HUYU LISSU Kapewa Jukumu zito na Mungu, Hazuiliki.

Yoyote atakayekua anajitokeza Kumjibu LISSU ataonekana mpuuzi tu katika Masikio na macho ya Walimwengu .
Kwa mfano Hotuba ya Jana, LISSU kaungwa Mkono na Rejea za Tume ya Warioba, Katiba, Tafiti za masharika ya Ndani na Nje n.k .

Sasa hotuba kama Ile unaijibuje? Ndo maana ni ama Machawa Kwa kujipendekeza au kutumwa, wanaishi tu kusema "Amani yetu ,Amani yetu ".

LISSU anahitajika kujibiwa na Wazee Akina Jaji Warioba, Prof Shivj , yaan hapa Sio tu uwe Mzee ,ni uwe Mzee mwenye Akili TIMAMU bado alafu Msomi kwelikweli aloelimilka na kama ni Makamo ya LISSU hakikisha unaendana naye kwenye Uelewa wa mambo Kwa nyanja zake.

Leo Mwigulu Bungeni, kaishia tu kusema "Tunaelewa Uwezo wao, tulifanga nao kazi tunawaelewa " , ataishia hapo.

Kujibu LISSU usikurupuke kisa una Waandishi na umeolewa Maiki .

Kwa mfano, Mwenyekiti UWT, nani kamshauri amjibu LISSU kirahiiiiisi namna Ile?.

Ukiondoa Matumizi ya Dola, CCM ni kama hawana MTU wa kujibishana Kwa Hoja na LISSU, na ndio Sababu kulifanyika JARIBIO la kuuwawa.

Kuuwawa Kwa LISSU ni makosa makubwa ambayo Taifa tungeyapata,, LISSU anapaswa kulisaidia Taifa hata kama ni Mpinzani.
Ccm ya Sasa wako mbali sana na haki.
 
kuna siku lisu alitoa mchango bungeni nadhani ilikuwa ni kuhusu utungaji wa sheria fulani, jamaa alimwaga nondo za maana, wabunge wa ccm wanakodoa macho tu, baada ya kukaa mwanasheria mkuu wa serikali wakat huo (late werema) akasimama akawaambia wabunge. (kwa haya madini aliyotoa lissu nasema wabunge mpigien lissu makofi) wabunge wa ccm walipiga makof kwa jambo ambalo kimsingi hawakulielewa.

lissu ni namba ingine jamani, mleta mada kamaliza yote.
 
Ukubali, Ukatae, Huyu LISSU ni Gifted, Brilliant, ana akili Nyingi mnoo, ana upeo Mkubwa sana alafu Ndani yake ana Nguvu kubwa ya Kiroho.

Haingii Akilini Risasi 16 MTU anatoboa ,alafu bado umchukulie poaa, watu Huwa wanaondoshwa na Risasi Moja au Mbili !!.

LISSU hatua alofikia ni ASOOGOPA CHOCHOTE.

Kama hiyo haitoshi, Uwezo wake mkubwa wa Akili ninaamini sio wasomi wa chama chake tu ,la hashaa, wasomi wote wa Tanzania ikiwemo wa CCM wenyewe, hupenda kumsikiliza Tena Kwa utulivu uku wakishangazwa na Uwezo wake mkubwa/Kipaji Cha kuzaliwa alichovuviwa na Mungu.

Kwa karama yake ya kupigania haki, kuwatetea wanyonge , kuchukua Rushwa na uonevu, HUYU LISSU Kapewa Jukumu zito na Mungu, Hazuiliki.

Yoyote atakayekua anajitokeza Kumjibu LISSU ataonekana mpuuzi tu katika Masikio na macho ya Walimwengu .
Kwa mfano Hotuba ya Jana, LISSU kaungwa Mkono na Rejea za Tume ya Warioba, Katiba, Tafiti za masharika ya Ndani na Nje n.k .

Sasa hotuba kama Ile unaijibuje? Ndo maana ni ama Machawa Kwa kujipendekeza au kutumwa, wanaishi tu kusema "Amani yetu ,Amani yetu ".

LISSU anahitajika kujibiwa na Wazee Akina Jaji Warioba, Prof Shivj , yaan hapa Sio tu uwe Mzee ,ni uwe Mzee mwenye Akili TIMAMU bado alafu Msomi kwelikweli aloelimilka na kama ni Makamo ya LISSU hakikisha unaendana naye kwenye Uelewa wa mambo Kwa nyanja zake.

Leo Mwigulu Bungeni, kaishia tu kusema "Tunaelewa Uwezo wao, tulifanga nao kazi tunawaelewa " , ataishia hapo.

Kujibu LISSU usikurupuke kisa una Waandishi na umeolewa Maiki .

Kwa mfano, Mwenyekiti UWT, nani kamshauri amjibu LISSU kirahiiiiisi namna Ile?.

Ukiondoa Matumizi ya Dola, CCM ni kama hawana MTU wa kujibishana Kwa Hoja na LISSU, na ndio Sababu kulifanyika JARIBIO la kuuwawa.

Kuuwawa Kwa LISSU ni makosa makubwa ambayo Taifa tungeyapata,, LISSU anapaswa kulisaidia Taifa hata kama ni Mpinzani.
CCM = Chama Cha Mazezeta. Mama kwa hivi sasa kashauriwa kuwa na wasaidizi / washauri wafuatao kuendesha nchi. 1. Doto Magari, Steve Nyerere, Mwijaku, Amber Rutty, Haji Manara, Mashehe kwa ajili ya uchawi, Shilole Sahani 6, na machangu wote wa bongo movie. Unafikiri tutafika wapi na washauri kama hawa?
 
Hapo lazima ubaki Domo wazi.

LISSU hapo alivyo na akili, anapambana maeneo ya Mjini yenye watu wengi ,yapate Wabunge wengi, na Kwa kua mjini ni nyumban Kwa wapinzani, LISSU Anapambana sana kuhakikisha anakuja kupata Wabunge wa kutosha.
The guy is very bright
 
Ukubali, Ukatae, Huyu LISSU ni Gifted, Brilliant, ana akili Nyingi mnoo, ana upeo Mkubwa sana alafu Ndani yake ana Nguvu kubwa ya Kiroho.

Haingii Akilini Risasi 16 MTU anatoboa ,alafu bado umchukulie poaa, watu Huwa wanaondoshwa na Risasi Moja au Mbili !!.

LISSU hatua alofikia ni ASOOGOPA CHOCHOTE.

Kama hiyo haitoshi, Uwezo wake mkubwa wa Akili ninaamini sio wasomi wa chama chake tu ,la hashaa, wasomi wote wa Tanzania ikiwemo wa CCM wenyewe, hupenda kumsikiliza Tena Kwa utulivu uku wakishangazwa na Uwezo wake mkubwa/Kipaji Cha kuzaliwa alichovuviwa na Mungu.

Kwa karama yake ya kupigania haki, kuwatetea wanyonge , kuchukua Rushwa na uonevu, HUYU LISSU Kapewa Jukumu zito na Mungu, Hazuiliki.

Yoyote atakayekua anajitokeza Kumjibu LISSU ataonekana mpuuzi tu katika Masikio na macho ya Walimwengu .
Kwa mfano Hotuba ya Jana, LISSU kaungwa Mkono na Rejea za Tume ya Warioba, Katiba, Tafiti za masharika ya Ndani na Nje n.k .

Sasa hotuba kama Ile unaijibuje? Ndo maana ni ama Machawa Kwa kujipendekeza au kutumwa, wanaishi tu kusema "Amani yetu ,Amani yetu ".

LISSU anahitajika kujibiwa na Wazee Akina Jaji Warioba, Prof Shivj , yaan hapa Sio tu uwe Mzee ,ni uwe Mzee mwenye Akili TIMAMU bado alafu Msomi kwelikweli aloelimilka na kama ni Makamo ya LISSU hakikisha unaendana naye kwenye Uelewa wa mambo Kwa nyanja zake.

Leo Mwigulu Bungeni, kaishia tu kusema "Tunaelewa Uwezo wao, tulifanga nao kazi tunawaelewa " , ataishia hapo.

Kujibu LISSU usikurupuke kisa una Waandishi na umeolewa Maiki .

Kwa mfano, Mwenyekiti UWT, nani kamshauri amjibu LISSU kirahiiiiisi namna Ile?.

Ukiondoa Matumizi ya Dola, CCM ni kama hawana MTU wa kujibishana Kwa Hoja na LISSU, na ndio Sababu kulifanyika JARIBIO la kuuwawa.

Kuuwawa Kwa LISSU ni makosa makubwa ambayo Taifa tungeyapata,, LISSU anapaswa kulisaidia Taifa hata kama ni Mpinzani.
Hoja za Lissu siku zote zinataka majibu na sio Bla bla
 
Makam mwenyekiti chadema Mh Heche anasema kama gharama ya kwenda mbinguni ingekua elfu 20 , watanzania wengi tusingetoboa, ( namsubili m/mwenyekiti ccm kama yupo na ubavu ajibu tuone
 
Ni ngumu sana Kwa kweli kujibu hiz hoja zake... Mfano anauliza inakuwaje Zanzibar yenye wapiga kura 500000 iwakilishwe na wabunge 50? Wakati dare salaam yenye Zaid ya wapiga kura million tatu inawakilishwa na wabunge 10?
Zanzibar inatakiwa kuwa na wabunge watano tu wanatosha
 
Chawa wa Bongo movie ndiyo shida kubwa zaidi
 
Makam mwenyekiti chadema Mh Heche anasema kama gharama ya kwenda mbinguni ingekua elfu 20 , watanzania wengi tusingetoboa, ( namsubili m/mwenyekiti ccm kama yupo na ubavu ajibu tuone
Kikongwe wasira ana wakati mgumu kujibu hoja za Heche
 
Ukubali, Ukatae, Huyu LISSU ni Gifted, Brilliant, ana akili Nyingi mnoo, ana upeo Mkubwa sana alafu Ndani yake ana Nguvu kubwa ya Kiroho.

Haingii Akilini Risasi 16 MTU anatoboa ,alafu bado umchukulie poaa, watu Huwa wanaondoshwa na Risasi Moja au Mbili !!.

LISSU hatua alofikia ni ASOOGOPA CHOCHOTE.

Kama hiyo haitoshi, Uwezo wake mkubwa wa Akili ninaamini sio wasomi wa chama chake tu ,la hashaa, wasomi wote wa Tanzania ikiwemo wa CCM wenyewe, hupenda kumsikiliza Tena Kwa utulivu uku wakishangazwa na Uwezo wake mkubwa/Kipaji Cha kuzaliwa alichovuviwa na Mungu.

Kwa karama yake ya kupigania haki, kuwatetea wanyonge , kuchukua Rushwa na uonevu, HUYU LISSU Kapewa Jukumu zito na Mungu, Hazuiliki.

Yoyote atakayekua anajitokeza Kumjibu LISSU ataonekana mpuuzi tu katika Masikio na macho ya Walimwengu .
Kwa mfano Hotuba ya Jana, LISSU kaungwa Mkono na Rejea za Tume ya Warioba, Katiba, Tafiti za masharika ya Ndani na Nje n.k .

Sasa hotuba kama Ile unaijibuje? Ndo maana ni ama Machawa Kwa kujipendekeza au kutumwa, wanaishi tu kusema "Amani yetu ,Amani yetu ".

LISSU anahitajika kujibiwa na Wazee Akina Jaji Warioba, Prof Shivj , yaan hapa Sio tu uwe Mzee ,ni uwe Mzee mwenye Akili TIMAMU bado alafu Msomi kwelikweli aloelimilka na kama ni Makamo ya LISSU hakikisha unaendana naye kwenye Uelewa wa mambo Kwa nyanja zake.

Leo Mwigulu Bungeni, kaishia tu kusema "Tunaelewa Uwezo wao, tulifanga nao kazi tunawaelewa " , ataishia hapo.

Kujibu LISSU usikurupuke kisa una Waandishi na umeolewa Maiki .

Kwa mfano, Mwenyekiti UWT, nani kamshauri amjibu LISSU kirahiiiiisi namna Ile?.

Ukiondoa Matumizi ya Dola, CCM ni kama hawana MTU wa kujibishana Kwa Hoja na LISSU, na ndio Sababu kulifanyika JARIBIO la kuuwawa.

Kuuwawa Kwa LISSU ni makosa makubwa ambayo Taifa tungeyapata,, LISSU anapaswa kulisaidia Taifa hata kama ni Mpinzani.
Huo ni mtazamo wako sisi tunamwona mzushi, mropokaji na mwongo. Hiyo akili nyingi amevumbua au kutatua kitu gani? Ushabiki ndezi huo
 
Back
Top Bottom