CCM mtaogopa siasa za wazi hadi lini?

CCM mtaogopa siasa za wazi hadi lini?

sammosses

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
1,687
Reaction score
1,111
CCM ni chama kikongwe kwa vyama vya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara na Afrika kwa ujumla. Kilipaswa kuwa mfano bora kwa vyama vingine vya siasa kutokana na kuishi kwingi na kuona mengi.

Ajabu ndicho chama kinacho ogopa siasa kuliko vyama vyote vya siasa nchini,kwa kulitambua hilo kinaiwekea siasa mizengwe kuzuia wengine wasifanye siasa kupitia serikali yake.

CCM imepoteza ideology yake kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi,kimekuwa chama dola chenye kutegemea msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama kuibeba,ndo maana leo viongozi wastaafu wa vyombo hivi vya ulinzi na usalama wanendelea kupewa vyeo ili kudhibiti siasa isifanywe na wanasiasa wa vyama vingi.

Kwa kulitambua hilo na udhaifu wa ukongwe wao wanekuwa mabingwa wa kurekebisha sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa kila kukicha kwa lengo la kuficha udhaifu wao.

Leo mahafidhina neno maridhiano ya kisiasa kwao ni msamiati mgumu sana,kwa kuwa unajenga msingi mzuri wa madai ya katiba ya wananchi,ambayo kwao ni kaa la moto lenye viashiria vya kuing'oa CCM madarakani.

CCM ya leo imewekeza kwenye rushwa ya madraka kwa kuwahonga vijana madaraka kama sehemu ya mvuto kwa chama chao,na kuacha legitimacy ya kuwa chamqa cha wakulima na wafanyakazi,uhalali ulioachwa na Mwl kama nguzo ya ushawishi wa siasa za uwazi na ukweli.

Lipo la kujifunza na kukataa hii hali ya kuifanya CCM ndiyo mfumo wa utawala uliosimikwa kimabavu dhidi ya ushindani wa hoja,sera na ukubalikaji wake wa aina ya siasa za ushindani nchi.
 
Mkuu nakumegemea siri kdg... Cc hatuna hoja tang uhuru tunaimba kuhusu maji, umeme, matundu ya choo mashulen. Sasa tukiwapa uhuru hao jamaa watatumaliza kwa hoja , muulize... Uvccm mwenzangu cc Kamanda asiechoka
CCM ni chama kikongwe kwa vyama vya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara na Afrika kwa ujumla. Kilipaswa kuwa mfano bora kwa vyama vingine vya siasa kutokana na kuishi kwingi na kuona mengi.

Ajabu ndicho chama kinacho ogopa siasa kuliko vyama vyote vya siasa nchini,kwa kulitambua hilo kinaiwekea siasa mizengwe kuzuia wengine wasifanye siasa kupitia serikali yake.

CCM imepoteza ideology yake kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi,kimekuwa chama dola chenye kutegemea msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama kuibeba,ndo maana leo viongozi wastaafu wa vyombo hivi vya ulinzi na usalama wanendelea kupewa vyeo ili kudhibiti siasa isifanywe na wanasiasa wa vyama vingi.

Kwa kulitambua hilo na udhaifu wa ukongwe wao wanekuwa mabingwa wa kurekebisha sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa kila kukicha kwa lengo la kuficha udhaifu wao.

Leo mahafidhina neno maridhiano ya kisiasa kwao ni msamiati mgumu sana,kwa kuwa unajenga msingi mzuri wa madai ya katiba ya wananchi,ambayo kwao ni kaa la moto lenye viashiria vya kuing'oa CCM madarakani.

CCM ya leo imewekeza kwenye rushwa ya madraka kwa kuwahonga vijana madaraka kama sehemu ya mvuto kwa chama chao,na kuacha legitimacy ya kuwa chamqa cha wakulima na wafanyakazi,uhalali ulioachwa na Mwl kama nguzo ya ushawishi wa siasa za uwazi na ukweli.

Lipo la kujifunza na kukataa hii hali ya kuifanya CCM ndiyo mfumo wa utawala uliosimikwa kimabavu dhidi ya ushindani wa hoja,sera na ukubalikaji wake wa aina ya siasa za ushindani nchi.
 
CCM ni chama kikongwe kwa vyama vya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara na Afrika kwa ujumla. Kilipaswa kuwa mfano bora kwa vyama vingine vya siasa kutokana na kuishi kwingi na kuona mengi.

Ajabu ndicho chama kinacho ogopa siasa kuliko vyama vyote vya siasa nchini,kwa kulitambua hilo kinaiwekea siasa mizengwe kuzuia wengine wasifanye siasa kupitia serikali yake.

CCM imepoteza ideology yake kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi,kimekuwa chama dola chenye kutegemea msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama kuibeba,ndo maana leo viongozi wastaafu wa vyombo hivi vya ulinzi na usalama wanendelea kupewa vyeo ili kudhibiti siasa isifanywe na wanasiasa wa vyama vingi.

Kwa kulitambua hilo na udhaifu wa ukongwe wao wanekuwa mabingwa wa kurekebisha sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa kila kukicha kwa lengo la kuficha udhaifu wao.

Leo mahafidhina neno maridhiano ya kisiasa kwao ni msamiati mgumu sana,kwa kuwa unajenga msingi mzuri wa madai ya katiba ya wananchi,ambayo kwao ni kaa la moto lenye viashiria vya kuing'oa CCM madarakani.

CCM ya leo imewekeza kwenye rushwa ya madraka kwa kuwahonga vijana madaraka kama sehemu ya mvuto kwa chama chao,na kuacha legitimacy ya kuwa chamqa cha wakulima na wafanyakazi,uhalali ulioachwa na Mwl kama nguzo ya ushawishi wa siasa za uwazi na ukweli.

Lipo la kujifunza na kukataa hii hali ya kuifanya CCM ndiyo mfumo wa utawala uliosimikwa kimabavu dhidi ya ushindani wa hoja,sera na ukubalikaji wake wa aina ya siasa za ushindani nchi.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kubaki madarakani kimabavu
 
Chama dola hakina hoja zaidi ya mabavu,hakiamini kwa kupitia mfumo wa demokrasia,wamehodhi madaraka ndiyo maana huwezi jua lipi bunge,ipi serikali na ipi mahakama,mihimili yote miwili imemezwa na mhimili mmoja na kuifanya kuwa idara za serikali.
 
ccm wanajua ktk siasa za uwazi hawana la kusema kwa wananchi wenye ufahamu ndani ya miaka 61
ccm wanajua ktk siasa za uwazi hawawezi kufurukuta kwa wapinzani hasa hofu yao kuu ni CDM.
ccm inajua umahiri wa watu wa CDM dhidi ya wao CCM ambao kwa kipindi kirefu wamekosa watu wa kaliba ya CDM.
 
Kizazi cha CCM kilishapita, sasa waliokuwa viongozi wamekuwa tegemezi kwa hicho chama ili kuendesha miradi. Watu hao hawako tayari CCM itoke madarakani maana wanajua ndio itakuwa mwisho wa kula cake ya taifa hili.

Wanachokifanya ni kuwapa vyombo vya dola ulaji ulio kinyume na sheria ili kuhakikisha wanapata kinga ya kuendelea kukaa madarakani. Katika mazingira hayo hawatakuwa tayari kukubali siasa za ushindani maana wanajua hawana ushawishi tena kwa kizazi hiki.
 
CCM ni chama kinachotumia dola kubaki madarakani. Hoja hawawezi na ukiwalazimisha kujenga hoja kwenye siasa za wazi majukwaani wanatengeneza tukio litakaloweka mkwamo wa kisiasa kuendelea.
 
CCM ni chama kikongwe kwa vyama vya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara na Afrika kwa ujumla. Kilipaswa kuwa mfano bora kwa vyama vingine vya siasa kutokana na kuishi kwingi na kuona mengi.

Ajabu ndicho chama kinacho ogopa siasa kuliko vyama vyote vya siasa nchini,kwa kulitambua hilo kinaiwekea siasa mizengwe kuzuia wengine wasifanye siasa kupitia serikali yake.

CCM imepoteza ideology yake kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi,kimekuwa chama dola chenye kutegemea msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama kuibeba,ndo maana leo viongozi wastaafu wa vyombo hivi vya ulinzi na usalama wanendelea kupewa vyeo ili kudhibiti siasa isifanywe na wanasiasa wa vyama vingi.

Kwa kulitambua hilo na udhaifu wa ukongwe wao wanekuwa mabingwa wa kurekebisha sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa kila kukicha kwa lengo la kuficha udhaifu wao.

Leo mahafidhina neno maridhiano ya kisiasa kwao ni msamiati mgumu sana,kwa kuwa unajenga msingi mzuri wa madai ya katiba ya wananchi,ambayo kwao ni kaa la moto lenye viashiria vya kuing'oa CCM madarakani.

CCM ya leo imewekeza kwenye rushwa ya madraka kwa kuwahonga vijana madaraka kama sehemu ya mvuto kwa chama chao,na kuacha legitimacy ya kuwa chamqa cha wakulima na wafanyakazi,uhalali ulioachwa na Mwl kama nguzo ya ushawishi wa siasa za uwazi na ukweli.

Lipo la kujifunza na kukataa hii hali ya kuifanya CCM ndiyo mfumo wa utawala uliosimikwa kimabavu dhidi ya ushindani wa hoja,sera na ukubalikaji wake wa aina ya siasa za ushindani nchi.
CCM ni kambi ya matapeli na majangili
 
CCM ni chama kikongwe kwa vyama vya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara na Afrika kwa ujumla. Kilipaswa kuwa mfano bora kwa vyama vingine vya siasa kutokana na kuishi kwingi na kuona mengi.
CCM bado chama bora kabisa cha kupigiwa mfano kwa nchi za Africa South of Sahara.
Ajabu ndicho chama kinacho ogopa siasa kuliko vyama vyote vya siasa nchini,kwa kulitambua hilo kinaiwekea siasa mizengwe kuzuia wengine wasifanye siasa kupitia serikali yake.
Sii kweli, tofautisha chama na viongozi wake, tofautisha sera za CCM na ilani ya CCM na uamuzi binafsi wa viongozi wake katika vipaumbele vyao vya utekelezaji wa Ilani.
Hili niliwahi kulizungumzia Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio Udikiteta?
CCM imepoteza ideology yake kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi,
Sii kweli, CCM haijapoteza ideology yake ya chama cha wakulima na wafanyakazi, alama za jembe na nyundo zipo ila Azimio la Arusha la siasa ya ujamaa na kujitegemea lenye miiko ya uongozi ndio limebadilishwa
kimekuwa chama dola chenye kutegemea msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama kuibeba
Hii sii kweli kuwa CCM kimekuwa Chama dola!, ukweli ni kuwa CCM tangu kinaasisiwa kilikuwa chama dola, enzi kinaundwa chama ndio kinashika hatamu za kuongoza serikali, huu ndio muundo wa CCM ni chama dola, siku zote Mwenyekiti wa CCM ndie rais wa nchi na ndie CinC wa majeshi yeti!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
Kwa kulitambua hilo na udhaifu wa ukongwe wao wanekuwa mabingwa wa kurekebisha sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa kila kukicha kwa lengo la kuficha udhaifu wao.
Sio kwa lengo la kuficha udhaifu bali ni survival mechanism.
Lipo la kujifunza na kukataa hii hali ya kuifanya CCM ndiyo mfumo wa utawala uliosimikwa kimabavu dhidi ya ushindani wa hoja,sera na ukubalikaji wake wa aina ya siasa za ushindani nchi.
Hili neno!. CCM haijasimikwa kibavu ina wanachama milioni 6 na inapigiwa kura milioni 10. Watanzania tuko milioni 61, eligible voters ni milioni 40, hivyo wanaisimika CCM madarakani ni hawa watu milioni 20 wasiopiga kura na kuwaachia hao milioni 10 wanaichagua CCM.

P
 
Ukishika madaraka ni sawa na kula nyama ya mtu. ccm itakuja kutoka kimapinduzi si kukaa mezani.

mtaniambia tena jeshi
 
Ccm hawana ustaarabu wa kuendesha siasa za ushindani. Kuanzia nyerere hadi Samia mambo ni yale yale wanashindana nani ni katili zaidi. Uncle Magu ndiye alifunga kazi. Je mama ataachana na uchama dola??
 
CCM bado chama bora kabisa cha kupigiwa mfano kwa nchi za Africa South of Sahara.

Sii kweli, tofautisha chama na viongozi wake, tofautisha sera za CCM na ilani ya CCM na uamuzi binafsi wa viongozi wake katika vipaumbele vyao vya utekelezaji wa Ilani.
Hili niliwahi kulizungumzia Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio Udikiteta?

Sii kweli, CCM haijapoteza ideology yake ya chama cha wakulima na wafanyakazi, alama za jembe na nyundo zipo ila Azimio la Arusha la siasa ya ujamaa na kujitegemea lenye miiko ya uongozi ndio limebadilishwa

Hii sii kweli kuwa CCM kimekuwa Chama dola!, ukweli ni kuwa CCM tangu kinaasisiwa kilikuwa chama dola, enzi kinaundwa chama ndio kinashika hatamu za kuongoza serikali, huu ndio muundo wa CCM ni chama dola, siku zote Mwenyekiti wa CCM ndie rais wa nchi na ndie CinC wa majeshi yeti!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!

Sio kwa lengo la kuficha udhaifu bali ni survival mechanism.

Hili neno!. CCM haijasimikwa kibavu ina wanachama milioni 6 na inapigiwa kura milioni 10. Watanzania tuko milioni 61, eligible voters ni milioni 40, hivyo wanaisimika CCM madarakani ni hawa watu milioni 20 wasiopiga kura na kuwaachia hao milioni 10 wanaichagua CCM.

P
Wanao weka sera na mifumo ni hao viongozi,huwezi kuitofautisha CCM na viongozi wake abadani,kwa mantiki hiyo kuna mapungufu makubwa ambayo sera zinageuzwa utashi wa aliyeshikilia kijiti. Kwa hiyo kuitofautisha CCM na viongozi ni sawa na kusema nguruwe sili ila mchuzi wa nguruwe natumia.
 
Ideology ya CCM imebadilika kama nilivyosema hapo juu,CCM ya wakulima na wafanyakazi ilikwishapita na kwenda zake,imebaki kuwa chama cha wateule wachache wenye ukwasi wa kutosha,ambayo leo hii ukiwa huna fedha kupata uongozi ni probability,na always matokeo ya probability ni quarter.

Pia hata ujamaa na kujitegemea haizungumzwi kama main ideology ya chama,Unaimbwa wimbo wa kijamaa mirindimo na uchezaji wake ni wa kibepari,chama kiko vuguvugu hakijulikani kama ni baridi au moto.

Na hii ndiyo mantiki inayoondoa ujasiri wa kufanya siasa za wazi kuogopa kuchafuka ikiwa tamko batili la kuruhusu mikutano ya siasa ya hadhara iendelee,nasema tamko batili kwa kuwa zuio hilo halina mamlaka ya kisheria kuvizuia vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara,lakini CCM wakiendelea kufanya mikutano hiyo. Hii ni double standard katika midani ya siasa kwa kuwa uwanja wa siasa hauko huru.
 
Wanao weka sera na mifumo ni hao viongozi,huwezi kuitofautisha CCM na viongozi wake abadani,kwa mantiki hiyo kuna mapungufu makubwa ambayo sera zinageuzwa utashi wa aliyeshikilia kijiti. Kwa hiyo kuitofautisha CCM na viongozi ni sawa na kusema nguruwe sili ila mchuzi wa nguruwe natumia.
CCM ni chama kina mifumo yake ya uendeshaji na maamuzi ya kichama yatatokana na vikao, ila pia viongozi wa CCM wanaweza kuamua maamuzi binafsi bila vikao kama uamuzi wa katiba sio kipaumbele changu ni uamuzi binafsi wa kiongozi ambao haukutokana na vikao, ilani ya CCM ya 2015 -2020 ilikuwa na katiba mpya, ila ilani ya 2020- 2025 issues ya katiba iliondolewa, ndio maana nimewashauri watu, kama ilani ya 2020 ilikuwa na Katiba, JPM akasema katiba sio kipaumbele chake na hatukumshinikiza, hii ilani ya sasa ya CCM haina issue ya katiba hivyo tusimshinikize Samia kuhusu katiba mpya.
P
 
16715111046031.jpg
 
CCM ni chama kikongwe kwa vyama vya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara na Afrika kwa ujumla. Kilipaswa kuwa mfano bora kwa vyama vingine vya siasa kutokana na kuishi kwingi na kuona mengi.

Ajabu ndicho chama kinacho ogopa siasa kuliko vyama vyote vya siasa nchini,kwa kulitambua hilo kinaiwekea siasa mizengwe kuzuia wengine wasifanye siasa kupitia serikali yake.

CCM imepoteza ideology yake kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi,kimekuwa chama dola chenye kutegemea msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama kuibeba,ndo maana leo viongozi wastaafu wa vyombo hivi vya ulinzi na usalama wanendelea kupewa vyeo ili kudhibiti siasa isifanywe na wanasiasa wa vyama vingi.

Kwa kulitambua hilo na udhaifu wa ukongwe wao wanekuwa mabingwa wa kurekebisha sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa kila kukicha kwa lengo la kuficha udhaifu wao.

Leo mahafidhina neno maridhiano ya kisiasa kwao ni msamiati mgumu sana,kwa kuwa unajenga msingi mzuri wa madai ya katiba ya wananchi,ambayo kwao ni kaa la moto lenye viashiria vya kuing'oa CCM madarakani.

CCM ya leo imewekeza kwenye rushwa ya madraka kwa kuwahonga vijana madaraka kama sehemu ya mvuto kwa chama chao,na kuacha legitimacy ya kuwa chamqa cha wakulima na wafanyakazi,uhalali ulioachwa na Mwl kama nguzo ya ushawishi wa siasa za uwazi na ukweli.

Lipo la kujifunza na kukataa hii hali ya kuifanya CCM ndiyo mfumo wa utawala uliosimikwa kimabavu dhidi ya ushindani wa hoja,sera na ukubalikaji wake wa aina ya siasa za ushindani nchi.
Hali ya ccm ni mbaya sana mbele za wananchi.
 
Ideology ya CCM imebadilika kama nilivyosema hapo juu,CCM ya wakulima na wafanyakazi ilikwishapita na kwenda zake,imebaki kuwa chama cha wateule wachache wenye ukwasi wa kutosha,ambayo leo hii ukiwa huna fedha kupata uongozi ni probability,na always matokeo ya probability ni quarter.
Imebaki ccm.ya wahuni in Polepole's voice
 
CCM bado chama bora kabisa cha kupigiwa mfano kwa nchi za Africa South of Sahara.

Sii kweli, tofautisha chama na viongozi wake, tofautisha sera za CCM na ilani ya CCM na uamuzi binafsi wa viongozi wake katika vipaumbele vyao vya utekelezaji wa Ilani.
Hili niliwahi kulizungumzia Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio Udikiteta?

Sii kweli, CCM haijapoteza ideology yake ya chama cha wakulima na wafanyakazi, alama za jembe na nyundo zipo ila Azimio la Arusha la siasa ya ujamaa na kujitegemea lenye miiko ya uongozi ndio limebadilishwa

Hii sii kweli kuwa CCM kimekuwa Chama dola!, ukweli ni kuwa CCM tangu kinaasisiwa kilikuwa chama dola, enzi kinaundwa chama ndio kinashika hatamu za kuongoza serikali, huu ndio muundo wa CCM ni chama dola, siku zote Mwenyekiti wa CCM ndie rais wa nchi na ndie CinC wa majeshi yeti!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!

Sio kwa lengo la kuficha udhaifu bali ni survival mechanism.

Hili neno!. CCM haijasimikwa kibavu ina wanachama milioni 6 na inapigiwa kura milioni 10. Watanzania tuko milioni 61, eligible voters ni milioni 40, hivyo wanaisimika CCM madarakani ni hawa watu milioni 20 wasiopiga kura na kuwaachia hao milioni 10 wanaichagua CCM.

P

Paskali ww una elimu ya chuo kikuu kweli? Kwenye nchi yenye watu 61m, eligible voters wanaweza kuwa 40m?! Yaani kwenye watu 61m, waliojuu ya miaka 18+ ni 2/3 ya watanzania wote?

Hata hao wapiga kura wote wakipiga, bado box la kura sio linalotoa kiongozi, bali kundi fulani nyuma ya pazia ndio huamua nani awe kiongozi. Machafuko ama mapinduzi ndio yataweza kuleta mabadiliko ya kweli kwenye katiba yetu, na mabadiliko ya kweli ya kiutawala hapa nchini.
 
Back
Top Bottom