KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, jana alifichua ufisadi mkubwa uliofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuingiza magari 200 aina ya Land Cruiser ‘mkonga' bila ya kulipia sh milioni 600 za ushuru wa forodha kwa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA).
Nilishahisi tutafika huku mapema tu... Haya si 'USED' hivyo thamani yake lazima ipo juu sana.
Hivi kwa bei yake kwa sasa ni kiasi gani kwenye soko? Ukichukua thamani kwa kila moja ukazidisha kwa 200 utapata kiasi gani? Kwa miaka 5 kiasi hicho cha fedha kingewasaidia watanzania wangapi? What are our priorities?
Pole sana nchi inaendeshwa kwa sheria na taratibu na sio kama duka la Muhindi, ikumbukwe kwamba ccm ni chama tu kama vyama vingine hivyo inapaswa kufuata sheria pia. Mkuki kwa nguruwe, itajatokea ccm ikawa kanu. Ni vyema ikajizoeza fair play kwani wakumbuke kuna leo na kesho who knows?msamaha ni kwa sisiemu tu...
Wengine lieni hamna chenu
Kwani umeambiwa pesa imetoka CCM??? AU Serikalini??? pengine chama kimepata ufadhili. Hii ni changamoto kwa vyama pinzani je wataweza kushindana na hawa??? kama wenzetu wanakosa hata vibendera vya kupeperusha!!!!
Nadhani hesabu sio sahihi.Toyota L/C mkong moja all duties inclusive ni karibu US$71,000 ama TAS 92,000,000 na ushuru na kodi zingine peke yake ni karibu TAS 30,000,000 kwa gari, kwa hivo magari 200 itakuwa TAS 6,000,000,000 na sio TAS 600,000,000....I hope this is typo error by the editor...or informer of Mzee Slaa...
Siku zote huyu bwana anaposema huwa mnarudi kusema kuwa ni PR na kukanusha lakini mwisho wa siku huthibitika kuwa ni kweli.Kwa muono wangu nadhani hii ni propaganda ya Slaa. Kwa uelewa wangu gari likishafika bandarini kama halina msamaha wa kodi litabaki bandarini mpaka lilipiwe.
Slaa anakiri kwa maneno yake kuwa magari bado yapo bandarini na hayajalipiwa ushuru. Sasa hawa CCM watakwepaje kodi ili hali bado magari yapo bandarini? Alichotakiwa kukifanya kujustfy anachokisema ni kusubiri yatolewe ndipo aseme wamekwepa kodi.
Ukiingiza magari 200 siyo siri ndani ya bandari kila mmoja atajua hivyo nadhani hii stori ya Slaa ni ya kuunga unga kwa sababu kila mmoja anajua kuna magari bandari hayajalipiwa na hayajatolewa. Slaa ninamheshimu sana kwa hoja zake. Lakini katika hili amepotoka na hajafanya analysis zake vizuri. Angesubiri kwanza yatolewe.
Haya mambo ya kuwa nimeambiwa na mtu wangu wa siri hayapaswi kuchukuliwa na mtu kama yeye! Nadhani sasa anaanza kutokutofautiana na wanaporojo wengine wengi wanaozusha mambo bila data.
Siku zote huyu bwana anaposema huwa mnarudi kusema kuwa ni PR na kukanusha lakini mwisho wa siku huthibitika kuwa ni kweli.
Hii ni tahadhali kwamba magari hayo yasitoke bila kulipiwa ushuru. Full stop.
.........Kwa miaka 5 kiasi hicho cha fedha kingewasaidia watanzania wangapi? What are our priorities?
What do you want to tell us Mr. Invisible?
Kwa muono wangu nadhani hii ni propaganda ya Slaa. Kwa uelewa wangu gari likishafika bandarini kama halina msamaha wa kodi litabaki bandarini mpaka lilipiwe.
Slaa anakiri kwa maneno yake kuwa magari bado yapo bandarini na hayajalipiwa ushuru. Sasa hawa CCM watakwepaje kodi ili hali bado magari yapo bandarini? Alichotakiwa kukifanya kujustfy anachokisema ni kusubiri yatolewe ndipo aseme wamekwepa kodi.
Ukiingiza magari 200 siyo siri ndani ya bandari kila mmoja atajua hivyo nadhani hii stori ya Slaa ni ya kuunga unga kwa sababu kila mmoja anajua kuna magari bandari hayajalipiwa na hayajatolewa. Slaa ninamheshimu sana kwa hoja zake. Lakini katika hili amepotoka na hajafanya analysis zake vizuri. Angesubiri kwanza yatolewe.
Haya mambo ya kuwa nimeambiwa na mtu wangu wa siri hayapaswi kuchukuliwa na mtu kama yeye! Nadhani sasa anaanza kutokutofautiana na wanaporojo wengine wengi wanaozusha mambo bila data.
Kwa maelezo yako kuna mambo 2
Ama unamtumikia kafiri mradi wako ambao ni mkono uende kinywani ama uelewa wako ni mdogo huoni kwa kuwa umevaa miwani ya chuma na akili unayo ila mawazo mgando .Slaa anataka umaarufu ili awe nani ?
Kama kuna magari kweli bandarini basi kuna ukweli wa zengwe la kodi . Wanao toa habari wanajua nini kinacho endelea . Bora kusema magari yako hapo kuliko kusema baadaye ambako hata traces za ushahidi zitakuwa nimesha fichwa .
Ionee Tanzania huruma usibishe kila kitu hata kama ni kwa njia hii ndiyo unapata mkate wako .
So you have decided you dont bother talking sense...?msamaha ni kwa sisiemu tu...
Wengine lieni hamna chenu
Fortunately, Slaa yuko juu ya petty politics za hawa kina Albano. Alipotaja orodha ya mafisadi tuliona walivyohaha kila mmoja kwa wakati wake akijaribu kumtisha kuwa anakwenda mahakamani na hakuna aliyethubutu.
Hata alipoibua EPA bungeni alibezwa sana na Spika wa bunge lakini leo wengi tunaheshimu kazi yake.
Kusubiri yatolewe kwanza bila kulipiwa na taifa kuibiwa ndio unadhani ni uzalendo? Slaa kafanya ambacho wengi hatufanyi. Unaona uhalifu unataka kutendeka unakaa kimya kusubiri ushahidi. Then?Kwa muono wangu nadhani hii ni propaganda ya Slaa. Kwa uelewa wangu gari likishafika bandarini kama halina msamaha wa kodi litabaki bandarini mpaka lilipiwe.
Slaa anakiri kwa maneno yake kuwa magari bado yapo bandarini na hayajalipiwa ushuru. Sasa hawa CCM watakwepaje kodi ili hali bado magari yapo bandarini? Alichotakiwa kukifanya kujustfy anachokisema ni kusubiri yatolewe ndipo aseme wamekwepa kodi.
Ukiingiza magari 200 siyo siri ndani ya bandari kila mmoja atajua hivyo nadhani hii stori ya Slaa ni ya kuunga unga kwa sababu kila mmoja anajua kuna magari bandari hayajalipiwa na hayajatolewa. Slaa ninamheshimu sana kwa hoja zake. Lakini katika hili amepotoka na hajafanya analysis zake vizuri. Angesubiri kwanza yatolewe.
Haya mambo ya kuwa nimeambiwa na mtu wangu wa siri hayapaswi kuchukuliwa na mtu kama yeye! Nadhani sasa anaanza kutokutofautiana na wanaporojo wengine wengi wanaozusha mambo bila data.