Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,380
Kuna taarifa za ndani kuwa kuna zaidi ya magari 200 yameingia jijini Dar es Salaam kupitia bandari hiyohiyo, wasiwasi wangu ni kama yamelipiwa ushuru...
Tetesi nilizo nazo tayari yamezua mzozo mkubwa ndani ya wakuu TRA na issue mpaka imemfikia Dr. Slaa ambaye anasisitiza patachimbika... Kama hayajalipiwa ushuru, kuna msamaha wanastahili kama chama? Chini ya sheria gani? Ni applicable kwa vyama vyote?
Tetesi nilizo nazo tayari yamezua mzozo mkubwa ndani ya wakuu TRA na issue mpaka imemfikia Dr. Slaa ambaye anasisitiza patachimbika... Kama hayajalipiwa ushuru, kuna msamaha wanastahili kama chama? Chini ya sheria gani? Ni applicable kwa vyama vyote?