CCM na Serikali jibuni hoja za Humphrey Polepole, msimzime kidola

Ni kweli ndani ya chama ilani inaweza tupiliwa mbali kama ilivyotupiliwa mbali utaratibu wa kugombea nafasi ya urais Kutoka kwa wanachama wa ccm na hakuna mbobezi aliyejitokeza kupinga mahakamani
 
Kwa nini asiruhusiwe kugombea vipindi viwili wakati bado hajaanza kutumikia hata kipindi cha kwanza cha awamu yake ?!
Utata wa hili unaletwa na fact kuwa huu urais wake utakuwa ni miaka 4 na miezi kama 8 hivi, so ni almost miaka 5, lakini mfano JPM angefariki mwaka march 2025, ina maana urais wa aliyerithi ungekuwa wa miezi 7 kabla ya uchaguzi mkuu, so angeweza kugombea kwa vipindi viwili hapo. So hapa shida inaletwa na katiba. Yaani katiba haikugusia urefu wa kipindi cha mrithi urais na kitahesabiwa vipi.

When winning two elections does not equate to two terms in office​

Following the untimely death of former President Michael Sata while in office, President Lungu assumed office to complete his term – after winning a presidential by-election – from the 25 of January 2015 to the 13 of September 2016. In 2016, President Lungu was then re-elected to serve a full term of 5 years in office. From this context, one would naturally deduce that Lungu has twice been elected to the office of president.

In addition to this, Article 106(3) of the 2016 constitution of Zambia asserts that “A person who has twice held office as President is not eligible for election as president”. This can be interpreted to mean a person who holds the office of president in Zambia for two terms is no longer eligible for re-election for a third term. Again, this seems to rule Lungu out.

However, this all depends on exactly how one defines a “presidential term”.
 
Duh !!
 
Tukikubaliana hivyo ni sawa kabisa . Ila ndani ya chama itabidi mchakato wa kutafuta mgombea Urais ufanyike . Kama ataamua na yeye kuchukua fomu sawa. Kila mwanachama atakuwa na haki sawa kuomba dhamana hiyo.
 
Tukikubaliana hivyo ni sawa kabisa . Ila ndani ya chama itabidi mchakato wa kutafuta mgombea Urais ufanyike . Kama ataamua na yeye kuchukua fomu sawa. Kila mwanachama atakuwa na haki sawa kuomba dhamana hiyo.
Tangu lini mwenyekiti wa ccm anapambanishwa na mtu?

Kwa taarifa yako CCM baada ya Mungu ni mwenyekiti.

Unajuwa ni kwa nini Membe amefutwa uanachama?
 
Kweli akili za celebrity forum haziwezi kufit sehemu zote.

Ni vizuri mkawa mnasubiria hoja mserereko mlizozoea kabla ya kuandika mada zilizowapita uwezo kiakili.
Mama ni rais anayemalizia serikali ya awamu ya 5.
ili asiitwe rais wa awamu ya 6.
akishamaliza hii 5.
atagombea Tena 5.alafu mitano Tena.
Ina maana ataongoza miaka 15.
ili aongoze miaka 10.
tunatakiwa tukubali hii ni awamu ya 6.
 
Kinga ya kirais aliyokuwa nayo Humphrey Polepole katika ule utawala dharimu imeisha, ni kinga hiyohiyo ndio alikuwa nayo Paul Makonda, Sabaya, Chalamila, Mnyeti, Odunga na wahuni wengine wengi.
Nimepitia kauli za kihuni wakati Magufuli akitukana watu. Nimeelewa sasa hawa wahuni ni legacy ya HAYAWANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…