CCM na Serikali jibuni hoja za Humphrey Polepole, msimzime kidola

CCM na Serikali jibuni hoja za Humphrey Polepole, msimzime kidola

Safi, umetengeneza foundation nzuri, Katiba iliyopo inaweka madarakani serikali husika, na Katiba hiyo hiyo inatoa maelezo nini kitatokea endapo Rais aliyepo madarakani ataondoka ofisini either kwa kufariki, kuugua, au vinginevyo.

Moreover, Katiba ikasema, kama Rais aliyepo madarakani hatamaliza muhula wake, ni yule atakayekuwa makamu wa Rais ndie atamalizia muda uliobaki, sasa hapa tunazungumza kisheria, sio habari za Zanzibar au popote pengine.

Ndipo unapoona hoja ya Polepole ilivyo na nguvu, huyu mtu anaonekana ameshachungulia mahala akapata majibu, na wala sio kusema tu CCM walijiwekea utaratibu wa kutoka awamu moja kwenda nyingine bila kuandikwa popote, wanasahau Katiba kama sheria mama inatoa majibu ya hayo yote.

Watake wasitake, Samia kisheria anamalizia muda uliobaki wa awamu ya tano, kama akitaka kugombea tena 2025 ndio ataianza awamu ya sita, hii ni sheria inavyosema sio kelele.
Awamu ya 5 au ya 6 is not an issue...

Ishu hapa ni watu hususani watawala kukosa hekima na ustaarabu wa kushindana na kujibizana kwa hoja badala ya kutumia ujambazi ktk kukabiliana na mpinzani wako kihoja...

Andiko la Yericko Nyerere liko very clear. Hamtetei Polepole bali anakemea watawala wanajitetea kwa kuwaumiza wapinzani wao kwa hoja kosoaji wanazozitoa dhidi yao serikali...
 
Shida ni kuwa polepole HAAMINIKI
Sitaki kuamini Kama mleta mada NI msahaulifu kiasi hichi.
Watu wanasema" KARMA IS REAL"
"unaijua vieitee wewe"?
CCM walivyoiba kura na mabegi ya kura feki yalivyokamatwa polepole alisema nini?.
Kuna wakati acha Mambo yapite.
Pole pole ni mchuma janga.
Aliingizwa CCM na MAGUFULI Sasa amekuwa YATIMA
Kwa hiyo mjingawewe unafikiri ku-ignore hoja zake ndio unalipa kisasi? REVENGE IS FOR THE WEAK” Albert Einstein
 
Kwa hiyo mjingawewe unafikiri ku-ignore hoja zake ndio unalipa kisasi? REVENGE IS FOR THE WEAK” Albert Einstein
Anayemlipizia kisasi ni Nani?
Huyo anatapa tapa.
Mashujaa wa kukosoa serikali walikuwepo kipindi Cha MAGUFULI.
Wale ndo walikuwa majabali sio yeye
 
Anayemlipizia kisasi ni Nani?
Huyo anatapa tapa.
Mashujaa wa kukosoa serikali walikuwepo kipindi Cha MAGUFULI.
Wale ndo walikuwa majabali sio yeye
Unaona shida yako umeenda kumshambulia mtu na sio kujibu hoja. Jifanye humjui polepole , je alichokisema kinamantiki kama hakina toa mawazo yako.
 
CCM NA SERIKALI JIBUNI HOJA ZA POLEPOLE, MSIMZIME KIDOLA.

Na Yericko Nyerere

Kinga uliyonayo ni kwa muda tu, hakuna kinga ya kudumu, Hata Job Ndugai na wenzake kinga walizojiwekea kipindi walipokuwa kwenye dibwi la kuvunja haki za watu na kuvunja Katiba ya Tanzania, ina muda mfupi sana wataanza kutoa nachozi ya samaki soon. Hivi ndivyo wahenga husema, Kinga ya kirais aliyokuwa nayo Humphrey Polepole katika ule utawala dharimu imeisha, ni kinga hiyohiyo ndio alikuwa nayo Paul Makonda, Sabaya,
Maneno mengi ya kinafiki ya nini?
Huyo Polepole aliazisha mada ya ufahari wa CCM kutumia ma V8.

Sasa yuko nje ya uongozi CCM, arejee msemo wake- unaijua Vieite wewe?

Leo hata yeye mwenyewe haelewi maana ya Vieite!
 
Jana Polepole aliwaambia hoja haipigwi rungu, nadhani utakuwa hukumsikia, hoja za Polepole zijibiwe kwa hoja, sio kejeli au vitisho, huu wako ni ushamba.
Mbona kipindi Cha magufuli alikua anaongoza genge la wahuni la kuwateka watu waliokua wanaikosoa serekali mbona alikua anawajibu kwa hoja
 
Unaona shida yako umeenda kumshambulia mtu na sio kujibu hoja. Jifanye humjui polepole , je alichokisema kinamantiki kama hakina toa mawazo yako.
Alishakosea tangu mwanzo KUINGIA CCM.
Wakati yeye alikuwa kiongozi alikuwa anaona anapatia.
Ila wenzie anaona wanakosea.
Huyo ni mpiga kelele tu.ndo maana wenzie wanampuuza.
Alishafundishwa kula nyama za WATU.leo anataka kuacha?
 
... Katiba inasema endapo rais "aliyerithi" atarithi pungufu ya miaka mitatu, atakuwa na haki ya kugombea na kuchaguliwa zaidi ya mara mbili; i.e. mihula mwili. Ila endapo atarithi zaidi ya miaka mitatu atakuwa na haki ya kugombea mara moja tu; Samia anaangukia hapa.

Do you know why? Pungufu ya miaka mitatu itahesabiwa anamalizia kipindi cha mtangulizi wake; zaidi ya hapo ni muhula wake mwenyewe. Hivyo, kwa kuwa Samia amerithi zaidi ya miaka mitatu, kikatiba huu ni mhula wake mwenyewe; hamalizii muda uliobaki wa awamu iliyotangulia; na amebakiza mhula mmoja tu (2025 - 2030) endapo atagombea na kuchaguliwa.

"Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu. " Katiba ya JMT, 40(4).
Umemjibu vyema anataka kupotosha maksudi
 
Article 40 (2) inasema; No person shall be elected more than twice to hold office.

Hapa maana yake ni kwamba; hiki kipindi alichopo Samia kama Rais sasa hivi hakuchaguliwa na wananchi kwa kura (elected), ila akianza chake anaweza kuchaguliwa mara mbili kwa kupigiwa kura na wananchi.

Hapa tena naona kuna maneno mawili yanakuja kwenye kichwa changu.

- Appointed: ambapo hapa ndipo Samia aliposimama kama Rais wa JMT kwa wakati huu.

- Elected: Hapa ni pale atakapopigiwa kura na wananchi kuwa Rais wa JMT.
Vpi Rais Samia akifa saa hizi, watatwambia Mpango ni Rais wa awamu ya 7?

Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
 
Safi, umetengeneza foundation nzuri, Katiba iliyopo inaweka madarakani serikali husika, na Katiba hiyo hiyo inatoa maelezo nini kitatokea endapo Rais aliyepo madarakani ataondoka ofisini either kwa kufariki, kuugua, au vinginevyo.

Moreover, Katiba ikasema, kama Rais aliyepo madarakani hatamaliza muhula wake, ni yule atakayekuwa makamu wa Rais ndie atamalizia muda uliobaki, sasa hapa tunazungumza kisheria, sio habari za Zanzibar au popote pengine.

Ndipo unapoona hoja ya Polepole ilivyo na nguvu, huyu mtu anaonekana ameshachungulia mahala akapata majibu, na wala sio kusema tu CCM walijiwekea utaratibu wa kutoka awamu moja kwenda nyingine bila kuandikwa popote, wanasahau Katiba kama sheria mama inatoa majibu ya hayo yote.

Watake wasitake, Samia kisheria anamalizia muda uliobaki wa awamu ya tano, kama akitaka kugombea tena 2025 ndio ataianza awamu ya sita, hii ni sheria inavyosema sio kelele.
Siyo kweli. Katiba hiyo hiyo inasema kama kiongozi atafariki au kupoteza sifa za kumalizia kipindi chake , miaka minne kabla hiyo itahesabiwa awamu kwa huyo makamu anaerithi. Ila ikiwa ni chini ya hapo ndiyo makamu atamalizia awamu husika . Kumbuka Samia amerithi madaraka miaka 4 na miezi 9 , all most 5 yrs.
 
Iyo tafsiri ya Awamu umeitoa wapi?

ZANZIBAR kuna Awamu ya 8 saivi Polepole amewai kuwa hadi mwenezi wa CCM ulimsikia wapi akihoji hayo?

Mwambie Polepole kuna matokeo ya kumdharau Amiri Jeshi Mkuu.

Kama anataka kuyapata Safari hii atayapata!

Awamu lazima iwe zao la general election. General election ya mwisho ya JMT ilikuwa October 2020!
 
Safi, umetengeneza foundation nzuri, Katiba iliyopo inaweka madarakani serikali husika, na Katiba hiyo hiyo inatoa maelezo nini kitatokea endapo Rais aliyepo madarakani ataondoka ofisini either kwa kufariki, kuugua, au vinginevyo.

Moreover, Katiba ikasema, kama Rais aliyepo madarakani hatamaliza muhula wake, ni yule atakayekuwa makamu wa Rais ndie atamalizia muda uliobaki, sasa hapa tunazungumza kisheria, sio habari za Zanzibar au popote pengine.

Ndipo unapoona hoja ya Polepole ilivyo na nguvu, huyu mtu anaonekana ameshachungulia mahala akapata majibu, na wala sio kusema tu CCM walijiwekea utaratibu wa kutoka awamu moja kwenda nyingine bila kuandikwa popote, wanasahau Katiba kama sheria mama inatoa majibu ya hayo yote.

Watake wasitake, Samia kisheria anamalizia muda uliobaki wa awamu ya tano, kama akitaka kugombea tena 2025 ndio ataianza awamu ya sita, hii ni sheria inavyosema sio kelele.
Jibu hili swali 'Iyo tafsiri ya Awamu umeitoa wapi?' hiyo sheria unayoizungumza ni ipi hiyo inayotaja mambo ya awamu
 
Kunatatzo kwenye engine ya gari, sasa ubaya wake Ni kuwa ili tufike, tunamaamzi 2, ama kuifumua engine yote, au kukodi Kali lituvute kutufikisha tunapokwenda, changamoto kubwa tulio nayo Ni kuwa fundi na drive, wanamawazo tofauti, wakati fundi anasema engine mbovu, dereva anasema hapana maana gari inawaka na kutembe kidg japo inatoa Moshi mwingi.

Abiria tupo tu hatujua, kila mtu anasema anavyojua, tutafika ila ama tutachelewa Sana au abiria wengi watakufa na njaa maana hawana akiba ya kutosha kuvumilia.

Stay tuned.
Nimeipenda. Kikubwa tufunge mikanda ili mis zikianza tudigonganishe vichwa na kutapika.

"AN ENEMY OF THE PEOPLE" kitabu cha muda mrefu sana 1800s literature advanced level.
 
Unatokaje awamu ya tano kwenda ya sita bila kupewa ridhaa na Watanzania wengi?

Ilani anayoitekeleza ni ya awamu ya tano au ya sita?
Ingiza hili kwenye akili yako nyembamba. amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ya JMT mheshimiwa SSH aliingia madarakani kwa mujibu wa katiba ya JMT iliyopitishwa na bunge la JMT na kuapishwa kuwa Rais wa JMT. aliapishwa hivyo baada ya kuwa makamu wa Rais wa JMT katika serikali iliyoongozwa na jpm aliyefariki.

Kwa kuzingatia katiba ya JMT rais SSH ni rais halali wa JMT kwa utaratibu halali wa JMT. kwa kuwa hakuna mahali popote panapotoa muongozi wa kutaja uongozi wa rais fulani kuita uongozi kwa jina lolote ikiwemo mambo ya awamu, anayejua habari ya uongozi fulani ni wa awamu gani anayejua namba bora ya kutaja ni rais aliyeko madarakani. rais aliye madarakani ndie anayejua maslahi sahihi ya taifa hili na aweza kubadili maamuzi ya mtangulizi wake yeyote kwa maslahi mapana ya taifa na sio kwa kupata shinikizo kutoka popote. zoeeni tu hilo
 
CCM NA SERIKALI JIBUNI HOJA ZA POLEPOLE, MSIMZIME KIDOLA.

Na Yericko Nyerere

Kinga uliyonayo ni kwa muda tu, hakuna kinga ya kudumu, Hata Job Ndugai na wenzake kinga walizojiwekea kipindi walipokuwa kwenye dibwi la kuvunja haki za watu na kuvunja Katiba ya Tanzania, ina muda mfupi sana wataanza kutoa nachozi ya samaki soon. Hivi ndivyo wahenga husema,
Mkuu yeriko,anachokisema polepole nilikipost humu mapema sana,lakini ilipingwa.
Sina ujuzi wa kuirudisha hapa ile post.

Lakini jiulize Yeriko, angeachwa madarakani angeileta hii hoja hadharani?

Mkuu waache wavurugane kisha wamalizane wenyewe.
HII NI NAFUU KWA WAPINZANI,NA ULIMWENGU UFAHAMU CCM NI MAGAIDI WA NDANI YA TZ
 
Back
Top Bottom