CCM nambari wani

natabiri , wewe ni mtoto wa KIONGOZI .

CCM imenifanyia mambo mengi mema katika maisha yangu mpaka hapa nilipofikia naishukuru sana ndio maana popote niendapo lazima nibebe city viwili bible na kadi yangu ya ccm
 
CCM imenifanyia mambo mengi mema katika maisha yangu mpaka hapa nilipofikia naishukuru sana ndio maana popote niendapo lazima nibebe city viwili bible na kadi yangu ya ccm

asante sana mkuu kwa jibu kuntu na muruwa sana , hivyo ndivyo wanavyofaidi watoto wa viongozi ambao utafiti unaonyesha kwamba hawazid hata laki 3 ! Bali mamilioni ya wananchi wanateseka sana kama ulivyojionea kwenye uzi huu .
 
Kaka nimekukubali, heshima kwako. Maccm Mungu ayalaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mungu ni mwema, ccm 2015 hawatoki hata kwa maroli wala kwa pilau wala kwa viposho vyao mshezi,utawaona mwakani wako radhi kujibweteka mavumbini kuonyesha unafiki wao.
 
ccm ndio mama yenu,ccm isipokuwepo maisha ya watanzania yatakuwa magumu sana,ccm imewapa elimu leo mnakuja kuitukana humu jf.ccm imekuwa tunu kwa watanzania
 
CCM imenifanyia mambo mengi mema katika maisha yangu mpaka hapa nilipofikia naishukuru sana ndio maana popote niendapo lazima nibebe city viwili bible na kadi yangu ya ccm

CCM 'imekufanyaje' mkuu? Imekufanya vizuri au vibaya?
 
ccm ndio mama yenu,ccm isipokuwepo maisha ya watanzania yatakuwa magumu sana,ccm imewapa elimu leo mnakuja kuitukana humu jf.ccm imekuwa tunu kwa watanzania

Mkuu, CCM imewapa elimu watanzania kwa kutumia KODI zao na RASIMALI ZA TAIFA (madini, misitu, maliasili, ardhi, samaki, nyuki, etc). Kwani CCM wanaokota hela au wanazipata kama KODI kutoka kwa wananchi?
 
Uwepo wa cCM madarakani mwaka 2015 ni ndoto.

Nimebahatika kuweza kuonana na wananchi wa kata ya KIBUTUKA katika wilaya ya LIWALE mkoani LINDI; Juu ya MABADILIKO wamenihakikishia kuwa CHADEMA itapata ushindi wa kishindo mwaka 2015.

Nilipowauliza kitu gani cha msingi kimewapelekea kuwa na matumaini hayo? Walijibu kama ifuatavyo; HUKU KUSINI CHAMA CHA CHADEMA HAKINA NGUVU KUBWA NA HATA UWEZEKANO WA KUCHUKUA UBUNGE NI VIGUMU LABDA KWA JIMBO LA MASASI. SASA, HATA KAMA CUF NDIO YENYE NGUVU SANA HUKU KUSINI LAKINI UWEZEKANO NA MATUMAINI YA KUSHINDA URAISI NI NDOTO. KWAHIYO WANANCHI TUNAJIPANGA KUHAKIKISHA KUWA TUTAFANYA UCHAGUZI KWA KUPIGIA KURA CUF KWA MBUNGE NA DIWANI, LAKINI KWAKUWA HATUNA MATUMAINI YA URAISI HATUWEZI KUPIGIA KURA CUF ILA TUTATIA NGUVUKWA CHADEMA ILI CCM KUIONDOA KABISA KATIKA ULIMWENGU WA SIASA. Nilifurahia sana msimamo wao huo. Mungi ibariki CHADEMA.
 
CCM hata wasimamishe mgombea mbuzi nitawapa kura yangu. Sijaona mbadala
 

Thread of the Year aiseee, nimeikosa quote nzima purposesly
 
Hivi mtu anapisimama na kuwaambia watu kuwa CCM imejenga barabara au kujenga shule za kata na mengineyo, ni chama ndio kimejenga kwa pesa zake au wananchi ndio wamelipa kodi zikajengwa? Kweli hizi CCM wanafaidika nazo sana hasa kwa wananchi wasio na uelewa mpana juu ya haki na wajibu wao
 
CCM itaendelea kuwa CCM .CHADEMA itaendelea kuwa CHADEMA.
SIMBA ataendelea kuwa SIMBA.NYANI ataendelea kuwa NYANI.
TEMBO hatakama akikonda vipi hawezi kuwa kama MBUZI.
Na MBUZI hata kama akinenepa vipi hawezi kuwa kama TEMBO.
 
Leo nilianza kuwa bored eti CCM wanataka Kinana aendelee kuwashawishi UKAWA warejee Bungeni na kuwa eti kuna mambo kama serikali za mitaa hazikuwekwa kwenye Rasimu, na kipengele cha Mahakama ya Kadhi iwekwe kwenye Katiba sasa! Nilikuwa najiuliza mbona mahakama ya kadhi waliwahi kuweka kwenye Ilani yao ya Uchaguzi na mpaka leo hakuna walichowafanyia cha maana Waislam wa nchi hii zaidi ya kuwabambika mikesi ya ajabu ajabu wanaharakati wote wa Kiislam?... Uzi huu umeniweka sawa sasa kuwa CCM wako tayari kufanya lolote ilimradi waendelee kuwaibia Watanzania ...
 
ccm ndio mama yenu,ccm isipokuwepo maisha ya watanzania yatakuwa magumu sana,ccm imewapa elimu leo mnakuja kuitukana humu jf.ccm imekuwa tunu kwa watanzania

MSWALIE MTUME wee jamaa , tunu ya ccm iko wapi hapa ? Kuna mzee amenitoa machozi aisee , kavaa mashati mawili lakini mbavu zote zinaonekana ! HAYA NDIO MAISHA BORA MLIYOTUAHIDI ?
 

ukawa oyeeee !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…