CCM nambari wani

CCM nambari wani

Najuta kwanini nilikuwa nauupuuza uzi huu nikijua utakuwa unahusiana na propaganda za chama chakavu, kumbe kuna madini ya hatari namna hii.....hatari sana aiseee.......

Nilikuwa na hasira na ccm asilimia tisini, sasa zimeongezeka asilimia tisa, mean 99% Maccm kaa mbali na mimi nisije nikavuna kesi isiyo na maana yoyote kwangu....I warn you!!!!!!

Mkuu tpaul barikiwa sana Kamanda Uzi wako ukisambaa vijiji viwili tu hapa Tz nakuhakikishia maccm hayatapata hata viti viwili vya uenyekiti wa mtaa achia mbali Kitongoji.

BACK TANGANYIKA
Mkuu, napendaga sana hiyo malizia yako " Back Tanganyika". Ni hilo tu kwa leo.
 
Last edited by a moderator:
huu uzi naomba mods atoe hewani unapotosha umma na kukichafua chama changu changu ccm.picha wanazorusha sio za watanzania ninaowafahamu
 
Hahaha hahaha hahaha huu UZI ni mwiba mchungu sana kwa magamba Hahaha hahaha hahaha

Sijawahi kuona mmarangu mwoga kama huyo jamaa ! Eti picha hizi si za nchi hii kweli , ina maana hata hao magamba wanaotwangana kkwa ajili ya posho ni wasomali wale ?
 
Hongera mada nzuri na INA mashiko ya kutosha na vielelezo vinavyojitosheleza.
Mjinga abishe tu.

Uzi wenye hoja kuntu kama huu ni mwiba kwa maCCM, hasa hawa buku 7. Tazama jinsi wanavyopinda migongo sakafuni. Wakiendelea kama hivi mpaka mwaka ujao migongo itaota vibiongo. Bosi wao Nape Nnauye anakula maisha kwa kutumia fedha za ruzuku yeye mwenyewe, ameshindwa hata kuwanunulia madawati waweke lap tops zao badala yake wanaziweka sakafuni. Buku 7 hebu mwambieni bosi wenu awanunulie na madawati basi....au alipowanunulia lap tops alidhani amemaliza kazi? Ikiwa nyinyi mnashindwa kujiboreshea mazingira ya kazi mtawezaje kuboresha maisha ya watanzania milioni 45? Njaa zitawaua!!!!
View attachment 179847
 
Last edited by a moderator:
huu uzi naomba mods atoe hewani unapotosha umma na kukichafua chama changu changu ccm.picha wanazorusha sio za watanzania ninaowafahamu

Tulia sindano iingie sawasawa! Nani kakuambia kwamba hizi picha ni za watanzania? Kwa taarifa yako hizi picha ni za WATANGANYIKA. Kama bado unalo lingine, uliza tena.
 
tpaul hao akina makonda hapo juu wanapigania nini ?

Posho. Posho ndio habari ya mjini, mkuu. Hata wakubwa wao kule Dodoma wanafahamu hilo. Kinachowaweka pale ni posho tu, hakuna kingine zaidi ya hicho.
kp14082014.jpg
 
Uzi wenye hoja kuntu kama huu ni mwiba kwa maCCM, hasa hawa buku 7. Tazama jinsi wanavyopinda migongo sakafuni. Wakiendelea kama hivi mpaka mwaka ujao migongo itaota vibiongo. Bosi wao Nape Nnauye anakula maisha kwa kutumia fedha za ruzuku yeye mwenyewe, ameshindwa hata kuwanunulia madawati waweke lap tops zao badala yake wanaziweka sakafuni. Buku 7 hebu mwambieni bosi wenu awanunulie na madawati basi....au alipowanunulia lap tops alidhani amemaliza kazi? Ikiwa nyinyi mnashindwa kujiboreshea mazingira ya kazi mtawezaje kuboresha maisha ya watanzania milioni 45? Njaa zitawaua!!!!
View attachment 179847

Ha! Ha! Haaaa ! Eee bhana hii ndio ile wodi mpya ya majeruhi wa bodaboda ?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom