CCM nambari wani


Chama cha malori hahaha magamba
 
tpaul naomba uweke na yale mazuri ili tufanye uwiano.
 
Last edited by a moderator:
Kama Musa alivyowaongoza wana wa Israel kutoka Misri kwenda Nchi ya ahadi na ndivyo Chama Cha Mapinduzi siku moja kitatufikisha kule kwenye mito ya asili na maziwa. Hakuna mbadala wa CCM kwa wakati huu kumbukeni "usiache mbachao kwa msala upitao"
 
tpaul naomba uweke na yale mazuri ili tufanye uwiano.

Mazuri gani? Kama kuna mazuri uliyokaririshwa huko Lumumba hebu yaweke hapa tuyapime.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Mazuri gani? Kama kuna mazuri uliyokaririshwa huko Lumumba hebu yaweke hapa tuyapime.

ok naomba wewe mwenyewe uwe mfano rahisi kabisa, bila sera bora za chama cha mapinduzi ungejua kusoma na kuandika wewe?
Uhuru na demokrasia iliyopitiliza ulioletwa na chama cha mapinduzi watu kama wewe mnautumia vibaya mfano yule babu kichaa anatukana waasisi wa taifa hili, haya ni kati ya machache sana ya msingi. Tazama watu wanavyoumia kule Congo, Sudan, Somalia na sehemu nyingine wanaitaman amani kama hii tuliyonayo.
Nyinyi mnatuona sisi karunguyeye hatuyaoni hayo? Mnabwatuka lugha chafu na maneno ya uchochezi kila siku
we are watching you !!!!
 

MKUU WANGU SANA , HEBU TWENDE TARATIBU , hIVI HIZI HELA MNAZOIBA ( AMA KUPORA ) KWA MKUPUO NA MFULULIZO NAMNA HII , HUKU HUDUMA ZA WANANCHI ZIKIDOROLA KIASI CHA KUWAFANYA WAJUTE KUZALIWA , KAMA HIZO PICHA KIDOGO SANA ZINAVYOONYESHA HAPA ( NASEMA KIDOGO , MAANA TUNAANDA KONTENA LA PICHA MBALIMBALI ZIKIONYESHA DHIKI YA KUFA MTU ) , TUKIFICHUA UNAKUWA UCHOCHEZI NA MATUSI ?
 

Mwageni picha kamanda! !!!!!
 

Sikatai kuhusu mabaya je hakuna mazuri? Macho yako hayaoni mema yaliyofanyika?
 
Wacha kuongea kirahisi rahisi huu ni mustakabali wa watanzania zaidi ya milion40 .wewe ndio utajuta kuzaliwa kwa kufuata siasa za mkumbo.
 
mbona tayari nimejuta , usipotoa machozi kwa picha hizi , hakika wewe utakuwa si binadamu .

bado una ndoto ya kuwa mbunge Wa chadema kwa kumtukana mzazi wako ccm, laana ya kusaliti ccm haitakuacha kamwe unashabikia Uzi Wa kijinga kama huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…