CCM nambari wani


MUNGU WANGU !!! DAH ! Hii noma sasa .
 

We mleta picha uone aibu utakuwa mmoja wa wale wanaotupa uchafu barabarani usiku ukikamatwa unadai unaonewa na ukiachwa unaweka picha jf serikali Haifai!!
 
Hujitambui weye!!! Unadhani kila mtu ni mchafu kama wewe. Ndiyo zenu hizo Maintaharamwe mkiwa hamna hoja basi ni kumshambulia yule aliyepost chochote hapa. Badilika na kuweka mbele maslahi ya nchi yako badala ya Maintaharamwe. Ungepata nafasi ya kunifahamu usingeandika upumbavu wako.

We mleta picha uone aibu utakuwa mmoja wa wale wanaotupa uchafu barabarani usiku ukikamatwa unadai unaonewa na ukiachwa unaweka picha jf serikali Haifai!!
 
We mleta picha uone aibu utakuwa mmoja wa wale wanaotupa uchafu barabarani usiku ukikamatwa unadai unaonewa na ukiachwa unaweka picha jf serikali Haifai!!

Kwa upeo huu wa fikra sioni kama tutakuwa tumewatendea haki wadau wa aina hii kama hatutawaanzishia vituo vya kupima kiwango cha akili!
 
speedcom wewe una upeo mkubwa sana wa akili hakuna shaka juu ya hilo s1c3i8 m5k4 d7u2k10c9y6, unaona rahaa umefurahi sasa
 
Last edited by a moderator:
speedcom wewe una upeo mkubwa sana wa akili hakuna shaka juu ya hilo s1c3i8 m5k4 d7u2k10c9y6, unaona rahaa umefurahi sasa

Mkuu, vijembe hivyo! Lakini sio mbaya, tuchanje mbuga!
 
Last edited by a moderator:
Nchi hii haiwezi kuongozwa na wahuni na makundi ya walalamikaji...CCM itaendelea kuongoza nchi hii hadi hapo mbadala wake utakapo jitokeza..! BAAASSI
 
Nchi hii haiwezi kuongozwa na wahuni na makundi ya walalamikaji...CCM itaendelea kuongoza nchi hii hadi hapo mbadala wake utakapo jitokeza..! BAAASSI

vipi kuhusu hali za wananchi kama picha zinavyojieleza , au ndio MWANA UKOME ?
 
Mkuu, vijembe hivyo! Lakini sio mbaya, tuchanje mbuga!
tuchanje mbuga kwenda wapi? Oh oh oh nilikuwa najua mimi ndio mjinga wa mwisho kumbe yupo zaidi yangu.
next time usimdharau mtu usiyemjua 2(617) 2(288) 2(39455) speedcom
 
Last edited by a moderator:
kuna ndugu zangu niliwasikia wanaimba oparesheni sangara nikasikia tena movement for chaga au chacha anaejua anisaidie hapo, eti sasa wana single gani iko hewani?
 
kuna ndugu zangu niliwasikia wanaimba oparesheni sangara nikasikia tena movement for chaga au chacha anaejua anisaidie hapo, eti sasa wana single gani iko hewani?

unaweza kudhani unajua kumbe hujui lolote , na inawezekana waliokutuma wamelenga kukuponza !
 
Dhiki utakuwa nayo wewe usiyetaka kujishughulisha na kujikwamua unasubiri miujiza..

HIVI HUYO BIBI ALIYEBEBA HIVYO VIJINDOO VYA MAJI KUtOKA MADONGO POROMOKA NAMNA HIYO , ATAJIKWAMUA VIPI BILA MSAADA WA SERIKALI , KWANINI USIKUBALI TU KWAMBA UMEISHIWA HOJA KATIKA HILI MKUU , BADALA YA KUJISHEBEDUA ?
 
tuchanje mbuga kwenda wapi? Oh oh oh nilikuwa najua mimi ndio mjinga wa mwisho kumbe yupo zaidi yangu.
next time usimdharau mtu usiyemjua 2(617) 2(288) 2(39455) speedcom

Ngonjera hizo, nimezizoea!
 
Last edited by a moderator:
HIVI HUYO BIBI ALIYEBEBA HIVYO VIJINDOO VYA MAJI KUtOKA MADONGO POROMOKA NAMNA HIYO , ATAJIKWAMUA VIPI BILA MSAADA WA SERIKALI , KWANINI USIKUBALI TU KWAMBA UMEISHIWA HOJA KATIKA HILI MKUU , BADALA YA KUJISHEBEDUA ?

Kwa akili yako unadhan serikali inaweza kuwapa kila kitu wananchi wake kwa wakati mmoja? We unadhani hii nchi ni kama kijiji? Unaweka picha ya watindiga hapa alafu unaikashifu serikali acha ujinga bana? Ivi unajua ni vijiji vingapi vimepata umeme wa REA mwaka huu nchi nzima? Unajua serikali imechimba visima vingapi vya maji vijijin mwaka huu? Shirikisha ubongo acha ushabiki..!
 

wewe ndio hujitambui hujui hata ulikotoka unafuata siasa za mkumbo na tamaa tumia akili kufikiri. Nikufahamu iweje kwanza huna busara ndugu yangu, jazba na lugha za kihuni hazina nafasi ktk ulimwengu wangu hii forum ni sehem ya kuelimishana na kubadilishana mawazo yenye hekima na busara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…