tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #241
Hivi mtu anapisimama na kuwaambia watu kuwa CCM imejenga barabara au kujenga shule za kata na mengineyo, ni chama ndio kimejenga kwa pesa zake au wananchi ndio wamelipa kodi zikajengwa? Kweli hizi CCM wanafaidika nazo sana hasa kwa wananchi wasio na uelewa mpana juu ya haki na wajibu wao
CC: Agogwe
Last edited by a moderator:

