CCM nambari wani

CCM nambari wani

Hivi mtu anapisimama na kuwaambia watu kuwa CCM imejenga barabara au kujenga shule za kata na mengineyo, ni chama ndio kimejenga kwa pesa zake au wananchi ndio wamelipa kodi zikajengwa? Kweli hizi CCM wanafaidika nazo sana hasa kwa wananchi wasio na uelewa mpana juu ya haki na wajibu wao

CC: Agogwe
 
Last edited by a moderator:
nakipenda chama cha Mapinduzi:cheer2:

Asante kwa upendo wako kwa chama cha mapinduzi. Kwanini usikipende wakati ni ndugu yako wa damu? Huoni mnavyofanana?
magamba ukoo wa panya.jpg
 
Hizo barabara na shule zimejengwa kwa sera ya CDM? mbona mna roho ngumu sana kukubali yapo mazuri CCM imefanya?

Kweli yapo mazuri kama mikataba mibovu', kin mama kujifungulia chini, watoto kukalia mawe, watu kingolewa kucha, serikali isiyo penda uwazi. Etc etc
 
Maccm ni zimwi halifai hata kusimuliwa hadithi zake.......mwisho wao umefika..Mungu ibariki ukawa ili tushihidie kifo cha hili zimwi 2015.
 
Hizo barabara na shule zimejengwa kwa sera ya CDM? mbona mna roho ngumu sana kukubali yapo mazuri CCM imefanya?

Uchunguzi huru wa kimataifa unaonyesha kwamba ccm imefanya mabaya mengi zaidi kuliko mazuri , tunachosubiri ni kujua kama haya yalifanywa kwa bahati mbaya ama ni makusudi? Ili hatua zichukuliwe , hakuta kuwa na mswalie mtume !
 
Hizo barabara na shule zimejengwa kwa sera ya CDM? mbona mna roho ngumu sana kukubali yapo mazuri CCM imefanya?

Mkuu, hizo shule unazosema na hii hapa imo au hujaihesabu? Kama hujaijumlisha, hebu iweke kwenye hesabu halafu ukirudi uje utuambie ni shule ngapi CCM imejenga na useme ukweli kama hizo fedha zilizotumika kujenga ni sehemu ya ruzuku ya CCM au kama zimetokana na KODI na michango ya walalahoi wanaokula mlo mmoja baada ya siku mbili.
wanafunzi chini ya mbuyu.jpg
 
Nyie wakataa pema mnaona aibu kukiri kwamba kwa sera bora za Chama Cha Mapinduzi mnajua kusoma na kuandika hata kama ulisomea chini ya miti. Mjifunze kusema Ahsante hata kwa kile mnachokiona kidogo na si lolote.
 
Nyie wakataa pema mnaona aibu kukiri kwamba kwa sera bora za Chama Cha Mapinduzi mnajua kusoma na kuandika hata kama ulisomea chini ya miti. Mjifunze kusema Ahsante hata kwa kile mnachokiona kidogo na si lolote.

asante , lakini ccm kwaheri .
 
Wewe unaamka unarara? Labda Kama mtaondoa ile rangi ya kijani ktk bendera ya taifa.

mkuu bendera ni matambara tu , kama ikiwapendeza wananchi , hatutafuta rangi ya kijani tu bali tutaitupa bendera yote !
 
mkuu bendera ni matambara tu , kama ikiwapendeza wananchi , hatutafuta rangi ya kijani tu bali tutaitupa bendera yote !

niwie radhi mkuu Erythrocyte nipe sababu 3 tu za wewe kukichukia Chama Cha Mapinduzi kinachoaminiwa na kupendwa na takriban 95% ya watanzania wote.
 
Last edited by a moderator:
niwie radhi mkuu Erythrocyte nipe sababu 3 tu za wewe kukichukia Chama Cha Mapinduzi kinachoaminiwa na kupendwa na takriban 95% ya watanzania wote.

Nashindwa kabisa kuelewa zinakopatikania baadhi ya data, kama hii 95% iliyotajwa hapa.

Wapiga kura ktk uchaguzi mkuu uliopita walikuwa chini ya 40% ya Watz wote. Sijui hii tafiti ilifanyikafanyika vipi na wapi. Taarifa na data kama hizi ndio hutufanya tuonekane wapiga debe. Haya mkuu, tusonge mbele!
 
Last edited by a moderator:
Nashindwa kabisa kuelewa zinakopatikania baadhi ya data, kama hii 95% iliyotajwa hapa.

Wapiga kura ktk uchaguzi mkuu uliopita walikuwa chini ya 40% ya Watz wote. Sijui hii tafiti ilifanyikafanyika vipi na wapi. Taarifa na data kama hizi ndio hutufanya tuonekane wapiga debe. Haya mkuu, tusonge mbele!

nimefanya random sampling
 
Back
Top Bottom