CCM ni chama cha kipekee duniani

CCM ni chama cha kipekee duniani

Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
Watakuwa ni wachawi sana. Hadi wanaogopana kwa kurogana.
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
Nawapenda watu wasiojulikana coz wametuchangamsha akili, mafuvu yatarudushiwa akiki kwenye jamii zetu, binadamu akipata changamoto uwezo Wake wa kufikiri huongezeka
 
Na huo nao ni upekee wa CCM. Hawajulikani lakini wenyewe wanaamini wanajulikana ulimwenguni pote.

Kila wanachokifanya ni lazima waseme "haijawahi kutokea" Hawa jamaa kila wakifanyacho ni cha kipekee.
Hata watekaji hawawezi kujulikana kwasababu hawatakiwi wajulikane

Silence surrenders public responsibilities
 
Nawapenda watu wasijulikana coz wametuchangamsha akili, mafuvu yatarudushiwa akiki kwenye jamii zetu, binadamu akipata changamoto uwezo Wake wa kufikiri huongezeka
Kabisa...

CCM kipekee huamini wanachosema wao ndiyo kitu sahihi na kinatakiwa kuaminiwa na kila mtu.

Na upekee wa CCM huja pale baadhi ya watu wanapoanza kupinga hoja za CCM. Kwa kuwa CCM Ina upekee wa kutorekebisha makosa yake, kipekee kabisa hulazimisha wapingaji wauone ukweli uliomo kwenye hoja ya CCM.
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
CCM siyo chama Bali ni mkusanyiko au genge la majizi,matapeli na majinga yanayonufaika na ujinga wa wajinga.
 
Kabisa...

CCM kipekee huamini wanachosema wao ndiyo kitu sahihi na kinatakiwa kuaminiwa na kila mtu.

Na upekee wa CCM huja pale baadhi ya watu wanapoanza kupinga hoja za CCM. Kwa kuwa CCM Ina upekee wa kutorekebisha makosa yake, kipekee kabisa hulazimisha wapingaji wauone ukweli uliomo kwenye hoja ya CCM.
Wanalazimisha watu wafikiri wanavyotaka wao, na wamegundua wanao waongoza ni masikini na ni wajinga wengine wakiona fursa ya mikopo wana ahirisha kufikir kwa nafsi wanakuwa wapumbavu, wakati wa uchaguzi ndipo kuna fursa, wanawapa mikopo eti ndiyo fursa, tena bila kuwapa elimu stahiki ya ujasiriamali
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
CCM DAIMA
 
ni kama tu ulivyo upinzani wa Tanzania katika ujumla wake ulivyo wa kipekee,
yaani chuki imekithiri baina yao lakini pia, katika upekee wa vyama moja moja nya siasa, kuna chuki, uhasama na uadui wa kutisha ndani yake.

kwa mfano kuna vyama, ipo nafasi ya uongozi ni exceptional, unaambiwa ukitaka kuigombea hiyo ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi. huwezi kukuta kitu kama hiki dunia nzima, ispokua kwemye chama hiki cha siasa Tanzania pekee.

Zaidi sana,
vyama vingine vyote vya siasa vianweza kufanya chaguzi zao za ndani kwa salama na amani,
ila kuna chama lazima watu walowe kafara, lazima watu wachukuliwe misukule halafu eti inasingiziwa eti ni kidnapping dah...

upekee mwingine katika upinzani wa Tanzania,
ni uchu wa madaraka, tamaa ya mali na vyeo, wapinzani wako tayari kujiuza kama makahaba wa kisiasa, mbaya zaidi wako wanajioni ni malaika na wanajipa umuhimu wa kiwango cha zaidi ya Mungu, kwamba ati wanachosema wao tu ndiyo saihii wengine wakisema ni nongwa.

wapinzani Tanzania hawapendani na wanaogopana kama ukoma.
hakuna upinzani Tanzania, wenye nia, mipango au malengo ya kushika dola, kuunda serikali wala kuongoza nchi.

vyama vya siasa Tanzania ni kama saccos na vitega uchumi vya watu binafsi tu. :pulpTRAVOLTA:
CCM DAIMA
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
Ccm daima
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.

Anayedhani amesimama.......Hata Bashir Al-Assad alisema Baath ni chama cha kipekee. Saddam Hussein pia alisema Baath ni chama cha kipekee.

Upole na uvumilivu wa watanzania unatakiwa uendane na uwajibikaji. Hakuna chenye mwanzo kinachokosa mwisho. Tutegemee CCM kuendelea sana kama kitaona na kutambua sababu ya kuendelea kuwa watumishi waaminifu wa watanzania.

Pasipo hapo, janja janja na huu ujinga wa kudhani kila kitu ni cast stone, mbele yetu, muda utaamua.
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
Upekee wa CCM unatokana tu na kua wanamiliki masanduku ya kura kiasi Cha kwamba wana uwezo wa kutengeneza matokeo yoyote yale wayatakayo.
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
Sema watanzania ni wa kipekee
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
Ni muda wa akina Tlaah,Choice,Comte,Kieembe kuburudika kwa kuwamudu na kupendwa na watanzani,acha wapige mvinyo muda ni wao ,pamoja na boss zao,acha walala njaa tusiwasumbue na mayowe yetu ya njaa.
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
Sababu Watanzania wenyewe wanakumbatia dini, kabila chama,mtu wa mjini au kijijini, utoto mwingi hawajui jinsi ya kuunganisha nguvu zao kwanza, kuangalia nani yupo serious na maendeleo.
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
Watakaokuelewa ni wachache sana! Ujumbe mzuri sana, hasa kwa wahusika!!
 
Watakaokuelewa ni wachache sana! Ujumbe mzuri sana, hasa kwa wahusika!!
Upekee huo wa kutokuelewa mambo ndiyo pia upekee wa CCM.

Kwa upekee wake, CCM haitaki watanzania wawe kama watu wa nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom