CCM ni Chama pekee Makini Duniani

CCM ni Chama pekee Makini Duniani

Chama Makini hakitakiwi kuiba Kura,na kulazimisha kutawala kwa nguvu.
 
Nakipenda Chama Cha Mapinduzi Kwa;
1. Sera makini (utekelezaji 100%),
2. Demokrasia,
3. Uwajibikaji Kwa walipa Kodi (wapiga kura).
View attachment 2712598
NB: CCM itatawala milele na milele. Asanteni
Kingekuwa MAKINI KISINGEOGOPA TUME HURU NA KATIBA MPYA
CCM NI CHAMA KINACHOOGOPA MABADILIKO SANA HASA BAADA YA KUSHINDWA KUWAPATIA WANANCHI MAENDELEO NA UMASIKINI
 
Nakipenda Chama Cha Mapinduzi Kwa;
1. Sera makini (utekelezaji 100%),
2. Demokrasia,
3. Uwajibikaji Kwa walipa Kodi (wapiga kura).
View attachment 2712598
NB: CCM itatawala milele na milele. Asanteni
CCM ni laaana sijui watanganyika tulimkosea nini M
1713493456785.jpg
ungu wetu
 
Sijui ni lini Mungu wa mbinguni atatutenganisha watz na hilo nyonya damu ccm hapa duniani...ni mateso!.
 
Back
Top Bottom