Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Umeona na wewe umejibu kibwege...πππ CCM ndiyo imezuia kongamano??Kama ni dhaifu kesho fanyeni Kongamano ππ
CCM ni Chama DOLA, usisahau hilo πUmeona na wewe umejibu kibwege...πππ CCM ndiyo imezuia kongamano??
Wewe ni wale wale wanaosifia CCM kutumia Dola kuendeshea siasa zake...
Uko sahihiWatanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.
Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.
Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Hilo tunajua...CCM ni Chama DOLA, usisahau hilo π
Chama dhaifu, viongozi dhaifu, upuuzi mtupu.Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.
Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.
Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Kitendo cha kuzuia kwenyewe ni udhaifu unaoletwa na woga.Kama ni dhaifu kesho fanyeni Kongamano ππ
CCM hawana haya.Kitendo cha kuzuia kwenyewe ni udhaifu unaoletwa na woga.
hadi unaona aibu kutaja au kueleza mbadala wake πWatanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.
Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.
Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Kuwa mwangalifu sana dhidi ya hao Watu. Sio Watu wazuri hata kidogo.Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.
Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.
Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Kuna wahuni wachache mle chamani ndio wanaharibu. Chama hakina shida.Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.
Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.
Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Kwani chama ni nini kama siyo watu!? Unapokuwa na watu wachache waovu wenye nguvu kwenye chama, hao ndiyo chama chenyewe na chama kinakuwa kibaya.Kuna wahuni wachache mle chamani ndio wanaharibu. Chama hakina shida.
Dhaifu mno....hakiwezi kushindana kwa jambo lolote na kikashinda.Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.
Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.
Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.