CCM ni dhaifu sana. Ni hasara kuongozwa nao

CCM ni dhaifu sana. Ni hasara kuongozwa nao

Kwa viongozi hawa wa CCM walio madarakani na udhaifu wao ulioshikiliwa na uongo, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka tusiombe tujikute siku moja tuko vitani na moja ya nchi jirani.
Tutapigwa kama ngoma maana
viongozi hawa hawajui kuwaunganisha raia na kuipenda nchi yao wao wanathamini kuzungukwa na wasanii wa aowaimbia sifa tuu
 
Netanyahu aliwadharau Hamas lakini ndio hivyo anachezeshwa Ngoma mwaka sasa

Putin aliwachukulia poa Ukraine lakini kinachomkuta kila mtu ni shahidi

Heri Nusu shari kuliko shari kamili

Amani ya nchi hii ni muhimu

Mlale Unono 🐼
 
Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.

Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.

Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Uko sahihi
 
Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.

Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.

Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
hadi unaona aibu kutaja au kueleza mbadala wake 🐒
 
Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.

Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.

Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Kuwa mwangalifu sana dhidi ya hao Watu. Sio Watu wazuri hata kidogo.

Mwenzako Horace Kolimba alihamishwa kutoka kwenye sayari hii ya dunia baada ya kuponzwa na kauli yake na kutamka kwamba Hilo "kusanyiko" lao limepoteza dira na mwelekeo."
 
Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.

Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.

Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Kuna wahuni wachache mle chamani ndio wanaharibu. Chama hakina shida.
 
Watanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.

Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.

Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Dhaifu mno....hakiwezi kushindana kwa jambo lolote na kikashinda.

Nape alisema ukweli.
 
Back
Top Bottom