G SamCCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa liccm na liccm lenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara! Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani. Hakuna tena mzaha!
Hahahaaaa...... Chadema hii hii ya akina Sungura?!!CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
Natamani unayoyasema yawe kweli ila yatakuawaje kweli iwapo hatuna TUME HURU YA UCHAGUZI? Uchaguzi wa Oktoba kwa wapinzani ni kupoteza muda tu.CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
Umekuwa kama Iddi Amin wakati wa vita vya Kagera? Alisema atapiga mpaka Dasalaam.CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
Jamaa amkekuwa kma Iddi Amin. Duh hii kali.Kucheka kunaongeza siku za kuishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mmeshindwa kabisa hata kufanya mkutano mkubwa wa madhara ndani ya miaka minne, ndani ya Mwezi Oktoba ndio mtaweza?CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
Hamna uwezo wa kuitoa ccm madarakani msijidanyaneCCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
Usimuamshe aliyelalaCCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
.CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
[emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji30][emoji23][emoji40][emoji40][emoji40][emoji125][emoji125][emoji125]G Sam
Yaani kwa taarifa hii, unataka vitanda visilalike kule Chamwino?
Unataka kumtoa nduki tena arudi Chatooo kama alivyofanya wakati wa corona??