stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
najua kujeruhiwa kule kuna uma sana lazima ukazie
miezi kadhaa tu imebaki tuone kiburi chenu kwenye kampeni yaani katika ya mwaka wenye aibu kwa cdm basi ndo huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
najua kujeruhiwa kule kuna uma sana lazima ukazie
najua ndo furaha yenu kuona wamepotea ila nakuhakikishia hao mliowachukua watawagharimu pakubwa sanamiezi kadhaa tu imebaki tuone kiburi chenu kwenye kampeni yaani katika ya mwaka wenye aibu kwa cdm basi ndo huu
najua ndo furaha yenu kuona wamepotea ila nakuhakikishia hao mliowachukua watawagharimu pakubwa sana
Wakisema watawagaragaza ni wao miaka tano wamepelekwa puta hadi wanazima huko dodoma kwa kukosa chakufanya.Kwaiyo sisi sisiemu pa1 na Alliance yetu mtatugaragaza .
Wakisema watawagaragaza ni wao miaka tano wamepelekwa puta hadi wanazima huko dodoma kwa kukosa chakufanya.
Wamefungwa midomo yaani CHADEMA IMEKUFAGA SEMA WANANCHI WANAOWAPENDA WANAJIPA MOYO ILA KIUKWELI WAO NI ZEROOOO.
HATA WAO WANAJUA SAIVI NANI ANAONGEA TENA DODOMA KAMA MMBUNGE MPINZANI KWA MAKEKE HAKUNA WAMECHOKA KUPELEKWA PUTA JUENI HILI CCM ITAONGOZA MPAKA MWISHO WA DUNIA HAKUNA CHAMA PINZANI KUKAA IKULU NYIE MTABAKIA TU WABUNGE NA MADIWANI BASI.
POLENI CHADEMA NA VYAMA VINGINE .
Tatizo mbembwe nyingi matendo ni zeroo.
Na ideas zenu za kuwania kiti sio za watu kuzisubiria watu wazifanye.
Hahaa! NduliJamaa amkekuwa kma Iddi Amin. Duh hii kali.
Sijajua kumbeSisi sisiemu tumeungana na Nccr + cuf na Tlp