mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 218
Uzi wa kupeana moyo huu hahaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
CCM Hawajielewi kabisa na bado hawawezi kusoma alama za nyakati.Na wasifikilie kuwa hiyo alliance yao na NCCR Mageuzi itawasaidia kitu, hiyo ndo itawamaliza zaidi.
swali zuri maana sanduku la kura wanamiliki wao si watanzaniNini kitawapa tabu? Chadema? Hii hii ya kina Mbowe?
hamna tego wa ccm bali mtego cdm ndo uliowajeruhi mpaka tukashuhudia yanayotendeka tz😂 😂 😂 😂 : ccm waliwapa mgombea 2015 alafu wakamrudisha, kiulani wala hakuna nguvu ilitumika, yaani ichi chama chenu ni bora kifutwe tu, mitego midogo ya ccm mmeshindwa mnategemea kuweza mtego gan sasa wa kimataifa! kwa jinsi tu mlikua mnatoa mada kipindi cha corona ni wazi mweupe kabisa chama hakina sera , hakijui kinaenda wap yaani mnajua tu kuanguka kwenye ngazi na kuvaa gloves nyeusi
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
Bangi + Konyagi = Chadema.CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.
Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.
Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.
Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!
Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.
Hakuna tena mzaha!
swali zuri maana sanduku la kura wanamiliki wao si watanzani
kingine hakuna atakayeenda kupiga kura nikiwepo mimi ni upotezaji wa muda wako na ujinga
hapo mwisho ndo utapogundua mtu aliyejeruhiwa marindaView attachment 1490426
hata kura akipewa ahesabu KUB hakuna namna mnaweza kuwashawishi hawa jamaa wawapigie: yaani nyie hamna ata sera mnalia tu tume huru wakati ndo hio hio wabunge wenu wameshinda kupitia hio. yaani cdm should be deleted,
hapo mwisho ndo utapogundua mtu aliyejeruhiwa marinda
najua kujeruhiwa kule kuna uma sana lazima ukazienakazia kabisa CDM IFUTWE, vyama vya upinzani vipo vingi
Kama mmeshindwa kabisa hata kufanya mkutano mkubwa wa madhara ndani ya miaka minne, ndani ya Mwezi Oktoba ndio mtaweza?
Kujifurahisha tu katika maswala ya msingi badala ya kujipangia kimkakati!
Hamna uwezo wa kuitoa ccm madarakani msijidanyane
CDM inaogopwa mno ndio maana JPM anajua kabisa bila kucheza rafu hapenyi.Upinzani nchi hii bado sana yaani upinzani kuchukua hii nchi bado sana. Pambaneni na nafasi ya ubunge na udiwani kwanza tena muweke mipango ya miaka 25 mbele kuweza kuwa na idadi ya wabunge sawa na chama tawala ndio muwaze uraisi
siyo kuogopwa tu wamefikia level ya kuwatoa ikulu na wako serious wao ni mafia na cdm waeiga umafia vile vile ukiingia kwenye anga zao unafanyiwa vile vileCDM inaogopwa mno ndio maana JPM anajua kabisa bila kucheza rafu hapenyi.