Uchaguzi 2020 CCM Oktoba itapata tabu sana, nasema itapata tabu sana!

Uchaguzi 2020 CCM Oktoba itapata tabu sana, nasema itapata tabu sana!

CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.

Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.

Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.

Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!

Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.

Hakuna tena mzaha!
Washindwe tu CCM wenyewe wamechokana huku kwenye mmmmh
 
Kuna kete ya kutopandishwa mishahara kwa watumishi ndani ya miaka mitano,hii kete muhimu Sana,mwaka huu kwa watakaojua kuitumia.
Hakuna mtumishi wa kawaida wa umma anaeikubali ccm kwa kutokuongezewa mshahara miaka 5,hawasemi Ila kwenye maofisi vijiwe vyao wanasema Sana.
 
Wafanyakazi wataonyesha hasira na vijana wsliokosa ajira watatafuta mbadala
 
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.

Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.

Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.

Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!

Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.

Hakuna tena mzaha!
Yesu so Mkuu unatwambia upinzani octo
ber 2020 mnakuja na opelesheni CHAKAZA
?!!! aya ngoja tuone Chama dola kinakuja
na opelesheni gani ,nasubili kwa ham
 
Kuna kete ya kutopandishwa mishahara kwa watumishi ndani ya miaka mitano,hii kete muhimu Sana,mwaka huu kwa watakaojua kuitumia.
Hakuna mtumishi wa kawaida wa umma anaeikubali ccm kwa kutokuongezewa mshahara miaka 5,hawasemi Ila kwenye maofisi vijiwe vyao wanasema Sana.
Atakaetumia kete hii ya wafanyakazi kutopandishwa mishahara kwa miaka 5 pamoja na suala la mazingira ya biashara kutokuwa mazuri kwa wafanyabiashara kutokana na kodi za TRA nauhakika lazima atashinda Uchaguzi huu.

Hakuna mfanyakazi atakaekubali kumbeba mtu aliyemuumiza kwa miaka 5. Hajatokea na hatotokea
 
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.

Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.

Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.

Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!

Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.

Hakuna tena mzaha!
Binafsi si mwanachama wa chsms chochote hapa Tz ingawa nimekuzwa ktk family ya CCM. Inapokuja kuhusu siasa zs vyama vyrtu hass upinzsni kiykweli wanafanya kazi nzur sana kuiamdha serikali juu ya mambo ya msingibkwa maendeleo ya taifa letu na wananchi pia kweli tunechoshwa na mambo mengi ya chama tawala ikiwemo Ufisadi, CCM ni chama tawala hivyo kuig'oa inahitaji zsid ya upinzani yaan CCM wamejiimarisha iwe kwa uhalali au kwa kuiba ila wana mzizi mkubwa san na wanajua kuitumia nafasi vizur zaid. Ypinzani wana makosa ambayobkwao hudhan ni faida kwao na ndobhu1 anguko lao kubwa. Mfani huu mchwzo wa kunadi mafisadi na kuja kuwakumbatia baada ya kutoka chama tawala ni kosa sana inaweza kua na maana wao wanajiimarisha ila hawaaminiani na sie wananchi hua tunakumbuka haiwezrkani fisadi wa ccm leo awe msafi kisa tu amehamia upinzani tena kwa muda mfupi, tunapemda maendeleo ila hapa ndo ccm inapowazidi akili. Wamu hii ya Tano hata kama ina mapungufu lkn imepitia changamoto kadhaa kubwa na imefanikiwa kuanzia miundombinu, kupunfuza urasimu, usawa na uthubutu wa kiongozi wake mkuu ktk maamuzi magumu kutokana na historia ya awamu xilizopita sasa 2020 uchaguzi huu Upinzaniukitaka kuharibu zaid na kupata matokeo mabaya zaid kuliko miaka mingi ya nyuma ilirudie tena baadhi ya michwzo kipuuzi.
 
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.

Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.

Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.

Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!

Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.

Hakuna tena mzaha!
Wacha weee!!!!
 
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.

Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.

Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.

Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!

Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.

Hakuna tena mzaha!
Mkuu unaizungumzia CCM ya nchi gani? Kama ni TANZANIA pole!
 
Uzi wa "walevi mbwa" huu muda mngewaza namna gani baada ya oktoba mtaendesha ile saccoss mtaa wa ufipa bila mbunge hata mmoja na lile deni la mwenyekiti itakuwa🔥
 
Sacco's hii ya chadema au Kuna nyengine? Hiki Ni kichekesho Cha Karne!!! Yaani tuchadema tuigaragaze CCM kweli? Acha utani [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.

Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.

Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.

Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!

Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.

Hakuna tena mzaha!
Unaniudhi Sana,unaniudhi,unawaamsha wa Nini,aaaagh.
 
CCM itachakazwa na kugaragazwa kama mbwa koko. Mipango yote imekamilika.

Kwanza tutadukua ujinga wake wote, sasa wako uchi wa mnyama.

Pili mipango kabambe tulishaimaliza, sasa vyama washirika wa CCM na CCM yenyewe walishaenea kwenye kiganja.

Lissu kaingia mpaka ndani ya Tanzania na yupo salama. Vijana tumefanya kazi! Tupo imara!

Subirieni mtanange kwanza tunawasambaratisha kwa fitina kisha tunawagaragaza uwanjani.

Hakuna tena mzaha!

Mkuu. Yule Waziri wa Iraki. Ni ndugu yako.
 
Back
Top Bottom