Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
Duh! Watu kama Mafisi vile tunangoje Mkono uanguke tusherehekeee, Hauanguki huo washapatana tangu last week Mjengoni, baadaye watakutana Ukumbi wa Pius Msekwa wakitumbuizwa na Hadija Kopa, huku blues kubwa ikitumbuiza, Mzee JSCM akishikilia kiuno cha Mama Sophia Lion, huku RA akiwa na Mama yetu wa Same, Sekurakamba aking'ang'ania kiuno cha Manyanya aah Blues tamu hilo huku wakingongeana Shampeni na kutakiana maandalizi mema ya Uchaguzi ujao