CCM pawaka moto Dodoma

CCM pawaka moto Dodoma

Hizi kelele tu!!! CCM mtarimbo uliolala dorooooooo!!!!! Umeisoma ile ripoti ya Kamati ya Bunge (Richmond) jinsi ilivyoandika haina kichwa wala mkia na jamaa wakapiga makofi kuikubali!!!!!!!!
Kazi ipoooooo!!!!!
 
Wajumbe wasema Lowassa awajibishwe kwakuwa chama kimechafuka sana na asipo wajibishwa wasilaumiwe kwa yale yatakayo tokea.

Upande wa Lowassa wasema hamna cha kumuwajibisha Lowassa kama ni suala la ufisadi chama kiwajibike na si Lowassa
Hapo ndipo ninapomkumbuka Mwl.Nyerere,watu wasingecheza makida makida kama hayo eti chama ndicho kichafu loo salaree,kwanza kikao kingeisha zamani na watu wamesharudi kuchunga ng'ombe.
 
Hivi huyu jamaa aliyetuma huu ujumbe, ametuma kwa kutumia simu au LAPUTOP?

Jina lake hasa ni nani na alituma akiwa wapi?

Next Level, mzee wa cristalball, hebu unganisha dots utupe wasifu wa mtuma ujumbe maana nasikia kwa kuunga dots na kufahamu huyu ni nani, wewe ni namba moja........

.....I know where you are coming from mzee.....ha!ha!ha!ha! Ngoja tujaribu kuunganisha dots kwa msaada wa Masa....ngoja aje....!
 
CCM ipo hoi huku Dodoma wengine washaanza kuchanganyikiwa kwa haya yanayotaka kujiri kwanza M/kiti wa CCM taifa hana hamu kabisa leo anatamani yaishe ila wajumbe wamembadilikia mpaka aibu
 
Si unaona wajumbe wengi wa CCM hawakuchangia kwakuwa hawakuridhika nayo kuliko kwenda mbele kuiunga hoja mkono wakaona bora wakae kimya
 
mkulu kaingilia kati kamkalisha chini mh. mbunge wa bukoba.(simtaji jina) kamwambia '' unakoelekea ni kutukana matusi ya nguoni, kaa chini''
mh. huyu ameongea juu ya mambo kibao yakiwamo
1. serikali hashugulikii taarifa za kiusalama, inazopewa. ikulu kuna mafaili mengi lakini hayajashugulikiwa.mfano kasema pale BOT kuna hawa watu kibao lakini pesa zinaiibiwa. kkuna mahali kasema nchi inalindwa kwa bunduki lakni siku hizi vitu hatari ni Flash disk, laptop .

2. ameeleza kubebana kumelifikisha taifa hapa lilipo
 
Wajumbe wasema Lowassa awajibishwe kwakuwa chama kimechafuka sana na asipo wajibishwa wasilaumiwe kwa yale yatakayo tokea.

Upande wa Lowassa wasema hamna cha kumuwajibisha Lowassa kama ni suala la ufisadi chama kiwajibike na si Lowassa

Hakuna kitu kama hicho hakuna baya alilofanya Lowassa kama lipo angepelekwa Mahakamani. Lowassa ni mchapakazi, alikuwa hacheki na Mtu Wakuu wote wa Wilaya na Mikoa walikuwa wanahaha wakisikia Waziri Mkuu Lowassa anawatembelea sasa hivi ni kama hakuna kitu na hii ndiyo iliyomjengea maadui zaidi ya hapo ni chuki binafsi tu.
 
..... ni kweli unachosema au labda memba huyu amekuwa na safari nyingi za kwenda maliwatoni na kutuhabarisha....
Sasa kama anaharisha atawezaje kuandika habari kirahisi hivyo,kwani wewe hujui tumbo lilivyo?!
 
8D6U8753.JPG


- Kikao cha jana Dodoma, hawa ndio the supposedly the mind ya taifa letu, na mind you wote hawa ni wanafunzi wa Mwalimu, yaani kichwa chetu taifa uendawazimu mtupu!

- Ni vyema historia yoyote ya taifa letu inayowahusisha hawa watu hapo juu na Mwalimu, ifutwe mara moja ni kumuabisha sana Mwalimu na baba wa taifa na taifa letu!

Respect.


FMEs!



 
mh 6 amekunywa maji glasi 1 na nusu kama dk 20 zilizopita na baada ya hapo katoka humu ukumbini hajarudi
 
Lowassa ni fisadi aliye tajirika na richmond, kagoda na uchafu mwingine...hata kama ni mchapakazi..ni mwizi pia. Mahakamani hapelekwi kwasababu ya network aliyenayo...
 
mkulu kaingilia kati kamkalisha chini mh. mbunge wa bukoba.(simtaji jina) kamwambia '' unakoelekea ni kutukana matusi ya nguoni, kaa chini''
mh. huyu ameongea juu ya mambo kibao yakiwamo
1. serikali hashugulikii taarifa za kiusalama, inazopewa. ikulu kuna mafaili mengi lakini hayajashugulikiwa.mfano kasema pale BOT kuna hawa watu kibao lakini pesa zinaiibiwa. kkuna mahali kasema nchi inalindwa kwa bunduki lakni siku hizi vitu hatari ni Flash disk, laptop .

2. ameeleza kubebana kumelifikisha taifa hapa lilipo

Humtaji jina kwa nini?
 
Humu kuna watu watungaji wa maneno kama walivyomzulia bw.JKN kuwa mchonga meno na pia Mussa.
 
mkulu kaingilia kati kamkalisha chini mh. mbunge wa bukoba.(simtaji jina) kamwambia '' unakoelekea ni kutukana matusi ya nguoni, kaa chini''
mh. huyu ameongea juu ya mambo kibao yakiwamo
1. serikali hashugulikii taarifa za kiusalama, inazopewa. ikulu kuna mafaili mengi lakini hayajashugulikiwa.mfano kasema pale BOT kuna hawa watu kibao lakini pesa zinaiibiwa. kkuna mahali kasema nchi inalindwa kwa bunduki lakni siku hizi vitu hatari ni Flash disk, laptop .

2. ameeleza kubebana kumelifikisha taifa hapa lilipo

Jamaa unatania nini?Yaani huku ndiko kuelekea matusi ya nguoni au kuna mengine?Kumbe siku hizi kusema kweli ni kutukana matusi ya nguoni?
 
Cha kujiuliza ni kitu gani ambacho Lowasa amefanya na ambacho wao hawajafanya? Lowasa hayupo serikalini na ufisadi unaendelea, inawezekanaje suluhisho la ufisadi liwe ni kumtosa Lowasa ndani ya CCM na sio kuweka mifumo thabiti ya kudhibiti rushwa na kuadhibu wala rushwa wakati wote? Watu 'tukuage' basi nasi ahaa!!
Kitila umezungumza point lakini ina upotofu.
Angalia CCM ya tangu enzi za Mwalimu,
wahuni wote walianza kutimuliwa kwanza chamani then mfumo ukafuatia ktk kushughulikiwa.
Ni aibu kwa mweledi kama wewe kusema eti EL aachwe eti udeal na mfumo.
Timua,woote. Wameiabisha CCM na taifa. Tena unawatimua na getini wanakuwepo askari wa kumkamata na kumweka kizuizini ili next day wapande kizimbani.
EL et al wanatakiwa wapelekwe Guantanamo
 

kilewo
user_online.gif


Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png

Join Date: Tue Feb 2010
Posts: 15




wa 16
user_online.gif


Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png


Join Date: Wed Feb 2010
Posts: 15


Looks like amazing coincidence, Kilewo na wa 16, wote wamejoin recently wakiwa na post 15 each na wote wako ndani ya NEC wakishusha live from within- hii ni plus sign on part of JF.

Asanteni sana kilewo na wa 16.
 
mzee mwinyi haangalii watu usoni anapekua mafaili tuu na kuandika andika,

eti lowasa na magufuri hawaongei wala kusalimiana ana kwa ana labda wawe pamoja kwenye dhifa ya kitaifa lakini wakikutana wao wawili no salam. kisa lowasa alitaifisha mashne za kuchimbia visima awam ya mkapa zilizokuwa ziende jimboni kwa magufuri.kuna mh. mmoja amesema hivyo,
 
Hakuna kitu kama hicho hakuna baya alilofanya Lowassa kama lipo angepelekwa Mahakamani. Lowassa ni mchapakazi, alikuwa hacheki na Mtu Wakuu wote wa Wilaya na Mikoa walikuwa wanahaha wakisikia Waziri Mkuu Lowassa anawatembelea sasa hivi ni kama hakuna kitu na hii ndiyo iliyomjengea maadui zaidi ya hapo ni chuki binafsi tu.


Kifupi ili Tanzania isonge mbele tunahitaji watu type ya Lowasa au Magufuli.
Hakuna kucheka na mtu wala kumuonea huruma,ni sura ya mbuzi tu.Demokrasia ni irrational,haitufai.Ikibidi ile mijinga mijinga yote tandika bakora tu tusonge mbele
 
CCM ipo hoi huku Dodoma wengine washaanza kuchanganyikiwa kwa haya yanayotaka kujiri kwanza M/kiti wa CCM taifa hana hamu kabisa leo anatamani yaishe ila wajumbe wamembadilikia mpaka aibu
Acha hizo wewe, mimi niko dodoma hakuna kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom