Pre GE2025 CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Pre GE2025 CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
itakuwa ni ajabu sana na jambo la Kushangaza kama itatokea mwana CCM kuchukua Fomu ya kugombea Ubunge kwenye jimbo la Mheshimiwa Mohammedi mchengerwa. Wakati kila mmoja na kila mtanzania anatambua uchapakazi wake . Lakini pia ni Mheshimiwa Mchengerwa ni miongoni mwa wabunge wachache wanaoweza kugombea ubunge jimbo lolote lile hapa Nchini na Akapita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
Chawa mwenye njaa kazini
 
itakuwa ni ajabu sana na jambo la Kushangaza kama itatokea mwana CCM kuchukua Fomu ya kugombea Ubunge kwenye jimbo la Mheshimiwa Mohammedi mchengerwa. Wakati kila mmoja na kila mtanzania anatambua uchapakazi wake . Lakini pia ni Mheshimiwa Mchengerwa ni miongoni mwa wabunge wachache wanaoweza kugombea ubunge jimbo lolote lile hapa Nchini na Akapita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
Aibu kwa hili taifa, Uchawa chefu chefu kama huu unapaswa kuondolewa kwa maslahi ya Tanzania.
 
Wakuu

Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji Prudence Sempa amesema atalifanyia kazi Ombi la Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji la kuwataka kumpitisha Mbunge Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee wa Ubunge kupitia CCM.
View attachment 3223700
Bw. Sempa alitoa kauli hiyo baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji Abdul Chobo kukitaka Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya kuitisha Mkutano Mkuu wa wanachama na kuangalia vifungu vya katiba vinasemaje ili waweze kumpitisha Mbunge wa sasa wa Rufiji Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee na Rasmi kupitia CCM kwa Jimbo la Rufiji.
View attachment 3223702
Kombo ambaye pia ni moja wa Madiwani aliibuahoja hiyo leo katika Maadhimisho miaka 48 ya CCM yaliyoadhimishwa katika viwanja vya Tanki mbili katika Wilaya ya Rufiji.
Madudu yanazidi kuwekwa hadharani
 

Attachments

  • images (93).jpeg
    images (93).jpeg
    38.2 KB · Views: 1
Rushwa zitatembea sana hili watu wapitishwe, CCM uwa wanaleta taratibu za hovyo sana
 
Wakuu

Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji Prudence Sempa amesema atalifanyia kazi Ombi la Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji la kuwataka kumpitisha Mbunge Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee wa Ubunge kupitia CCM.

View attachment 3223700
Bw. Sempa alitoa kauli hiyo baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji Abdul Chobo kukitaka Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya kuitisha Mkutano Mkuu wa wanachama na kuangalia vifungu vya katiba vinasemaje ili waweze kumpitisha Mbunge wa sasa wa Rufiji Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee na Rasmi kupitia CCM kwa Jimbo la Rufiji.

View attachment 3223702
Kombo ambaye pia ni moja wa Madiwani aliibuahoja hiyo leo katika Maadhimisho miaka 48 ya CCM yaliyoadhimishwa katika viwanja vya Tanki mbili katika Wilaya ya Rufiji.

==

Maoni ya mdau
 
itakuwa ni ajabu sana na jambo la Kushangaza kama itatokea mwana CCM kuchukua Fomu ya kugombea Ubunge kwenye jimbo la Mheshimiwa Mohammedi mchengerwa. Wakati kila mmoja na kila mtanzania anatambua uchapakazi wake . Lakini pia ni Mheshimiwa Mchengerwa ni miongoni mwa wabunge wachache wanaoweza kugombea ubunge jimbo lolote lile hapa Nchini na Akapita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
Jikaze bob usipojikaza utakazwa
 
Naona saivi ni mwendo ule ule tu wa mgombea mmoja.....kazi ipo.
 
itakuwa ni ajabu sana na jambo la Kushangaza kama itatokea mwana CCM kuchukua Fomu ya kugombea Ubunge kwenye jimbo la Mheshimiwa Mohammedi mchengerwa. Wakati kila mmoja na kila mtanzania anatambua uchapakazi wake . Lakini pia ni Mheshimiwa Mchengerwa ni miongoni mwa wabunge wachache wanaoweza kugombea ubunge jimbo lolote lile hapa Nchini na Akapita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
Huo ni udiktekta kama anajiamini na huo uchapakazi wake aache wajumbe watampigia kura, hamjajifunza somo la demokrasia kutoka kwa mwamba na jabali la demokrasia Freeman A. Mbowe ?
 
Huo ni udiktekta kama anajiamini na huo uchapakazi wake aache wajumbe watampigia kura, hamjajifunza somo la demokrasia kutoka kwa mwamba na jabali la demokrasia Freeman A. Mbowe ?
CCM Somo la Demokrasia walipata Sifuri
 
Siasa za uchaguzi mkuu zimeanza kupamba moto
 
Back
Top Bottom