Pre GE2025 CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Pre GE2025 CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu

Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji Prudence Sempa amesema atalifanyia kazi Ombi la Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji la kuwataka kumpitisha Mbunge Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee wa Ubunge kupitia CCM.

View attachment 3223700
Bw. Sempa alitoa kauli hiyo baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji Abdul Chobo kukitaka Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya kuitisha Mkutano Mkuu wa wanachama na kuangalia vifungu vya katiba vinasemaje ili waweze kumpitisha Mbunge wa sasa wa Rufiji Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee na Rasmi kupitia CCM kwa Jimbo la Rufiji.

View attachment 3223702
Kombo ambaye pia ni moja wa Madiwani aliibuahoja hiyo leo katika Maadhimisho miaka 48 ya CCM yaliyoadhimishwa katika viwanja vya Tanki mbili katika Wilaya ya Rufiji.

==

Maoni ya mdau
Sasa inawezekanaje CCM iwe na wagombea 2 Kwa Jimbo Moja?
 
CCM Rufiji wameamua kutoa fomu moja ya ubunge na fomu hiyo atachukua Mohamed Mchengerwa ambaye ni waziri katika serikali ya Rais Samia.

Ikitokea mwana ccm amechukua fomu ya ubunge wa jimbo hilo hatopitishwa. Azimio lao kumpitishaa Mohamed Mchengerwa

Source: Crown Media
IMG_5212.jpeg
 
Kitendo walichokifanya ccm kule Dodoma cha kumpitisha mgombea wa nafasi ya Urais kinyume cha utaratibu kimeweka msingi mbovu sana na wasipoangalia utatokea mgogoro mkubwa sana huko majimboni kama ambavyo huko Rufiji walivyoanza na wakiacha tu hilo jambo litokee huko Rufiji basi wajue wengine watafuata na haitawezekana kuwazuia maana watasema kama Rufiji imewezekana kwanini wao wazuiwe.
Wapunguze tamaa ya madaraka wanajitia aibu tu.
Na inadhihirisha kuwa ccm sasa imekufa rasmi hawana ubunifu tena.
Rufiji sio tamaa ya madaraka Ila kazi ya mbunge wetu huyo tumeikubali mno. Pata muda tembelea Rufiji ujionee mabadiliko makubwa yaliyafanyika
 
Na ni miongoni mwa maeneo yaliyo nyuma kimaendeleo kutokana na kuwa na wajinga wengi.
 
Wewe ni Mwana CCM? Kama siyo mwana CCM basi kaaa kwa kutulia na acha kuwashwa washwa.
sasa wewe lucas na wewe unajiita mwanaccm,wewe ni uchafu wa makalio ya ccm wenye ccm yao ndiyo hao wanapitishwa bila kupingwa we subili kofia na chupi za ccm
 
Alianza mama Yao pale Dom naona watoto nao wanapitamo mulemule.

Kidumu chama cha majambazi.
 
Rufiji sio tamaa ya madaraka Ila kazi ya mbunge wetu huyo tumeikubali mno. Pata muda tembelea Rufiji ujionee mabadiliko makubwa yaliyafanyika
Mbunge amefanya nini? Sema upendeleo anaopata kutoka kwa mkwe wake lakini siyo mbunge,mbunge kazi yake ni kupiga kelele tu bungeni lakini mleta maendeleo ni serikali,sasa huko ni kazi ya Mama mkwe lakini pamoja na hayo siyo sababu ya kupindisha taratibu za chama kama kweli mnaona kaleta maendeleo si mtaendelea kumchagua sasa wasiwasi wa nini?
 
Wakuu

Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji Prudence Sempa amesema atalifanyia kazi Ombi la Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji la kuwataka kumpitisha Mbunge Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee wa Ubunge kupitia CCM.

View attachment 3223700
Bw. Sempa alitoa kauli hiyo baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji Abdul Chobo kukitaka Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya kuitisha Mkutano Mkuu wa wanachama na kuangalia vifungu vya katiba vinasemaje ili waweze kumpitisha Mbunge wa sasa wa Rufiji Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee na Rasmi kupitia CCM kwa Jimbo la Rufiji.

View attachment 3223702
Kombo ambaye pia ni moja wa Madiwani aliibuahoja hiyo leo katika Maadhimisho miaka 48 ya CCM yaliyoadhimishwa katika viwanja vya Tanki mbili katika Wilaya ya Rufiji.

==

Maoni ya mdau
uchawa na upuuzi. Je zaidi ya kuwa mkwe wa rais, ana sifa gani chawa huyu?
 
Mbunge amefanya nini? Sema upendeleo anaopata kutoka kwa mkwe wake lakini siyo mbunge,mbunge kazi yake ni kupiga kelele tu bungeni lakini mleta maendeleo ni serikali,sasa huko ni kazi ya Mama mkwe lakini pamoja na hayo siyo sababu ya kupindisha taratibu za chama kama kweli mnaona kaleta maendeleo si mtaendelea kumchagua sasa wasiwasi wa nini?
Wabunge wangapi wana kuwa na upendeleo kama unavyouita wamefanya nini ktk majimbo Yao?
 
Wewe ni Mwana CCM? Kama siyo mwana CCM basi kaaa kwa kutulia na acha kuwashwa washwa.
Mwambie huyo! Hatudanganyiki tumesema Mchengerwa mitano tena. Natamani kutoa mifano michache lakini sijui kama ninaemueleza atakuwa na kumbukumbu mzuri. Kifupi na kwa uchache tu afuatilie Historia ya mzee Cleopa Msuya nini alikuwa anafanya ktk jimbo lake na kwa nini alikuwa anapitishwa na wapiga kura wake. Akiijua Historia hiyo ndio tunamwambia na Sisi hutuambii kitu kuhusu mbunge wetu kwa hili ambao sio Wa Rufiji tunaomba mtupishe kwanza tukamilishe jambo letu na mbunge wetu
 
Wabunge wangapi wana kuwa na upendeleo kama unavyouita wamefanya nini ktk majimbo Yao?
Hakuna mbunge anayeweza kufanya maendeleo kwenye jimbo lake badala yake serikali kupitia kiongozi wa serikali(Rais) ndiye anayeweza kuamua kufanya upendeleo kwa sababu moja au nyingine mfano labda ni nyumbani kwao kama alivyofanya Magufuli alipeleka kila mradi Chato sasa na kiongozi wa sasa anaweza kupeleka maendeleo kwa kasi huko Rufiji kwa kuwa tu ni jimbo la mkwe wake lakini Mchengerwa hana ubavu wa kupeleka maendeleo yoyote Rufiji.
 
Wakuu

Katibu wa CCM Wilaya ya Rufiji Prudence Sempa amesema atalifanyia kazi Ombi la Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji la kuwataka kumpitisha Mbunge Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee wa Ubunge kupitia CCM.

View attachment 3223700
Bw. Sempa alitoa kauli hiyo baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rufiji Abdul Chobo kukitaka Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya kuitisha Mkutano Mkuu wa wanachama na kuangalia vifungu vya katiba vinasemaje ili waweze kumpitisha Mbunge wa sasa wa Rufiji Mohamed Mchengerwa kuwa Mgombea pekee na Rasmi kupitia CCM kwa Jimbo la Rufiji.

View attachment 3223702
Kombo ambaye pia ni moja wa Madiwani aliibuahoja hiyo leo katika Maadhimisho miaka 48 ya CCM yaliyoadhimishwa katika viwanja vya Tanki mbili katika Wilaya ya Rufiji.

==

Maoni ya mdau
Waislamu ni wapumbavu kuwapa uongozi wa nchi ...kwa sababu wana sifa moja mbaya sana ya kufuata mikumbo miovu na kuunga mkono mambo maovu yanayo fanywa na watu wa dini yao ...nilisha sema hapa ndani ya ccm kuna genge hatari la raia feki na genge hatari linalo tumia dini ya kiislamu kufanikisha uovu wao kwa watanzania......
 
Back
Top Bottom