Pre GE2025 CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Pre GE2025 CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna mbunge anayeweza kufanya maendeleo kwenye jimbo lake badala yake serikali kupitia kiongozi wa serikali(Rais) ndiye anayeweza kuamua kufanya upendeleo kwa sababu moja au nyingine mfano labda ni nyumbani kwao kama alivyofanya Magufuli alipeleka kila mradi Chato sasa na kiongozi wa sasa anaweza kupeleka maendeleo kwa kasi huko Rufiji kwa kuwa tu ni jimbo la mkwe wake lakini Mchengerwa hana ubavu wa kupeleka maendeleo yoyote Rufiji.
Sikushangai nafikiri wewe ni wale waliofika Rufiji miaka ya 2010😭 sikushangai ukisema hivyo. Sisi ndio tunaokaa Rufiji tunaona tofauti iliyopo kafika kipindi hiki ambacho mwamba ni Mbunge
 
Waislamu ni wapumbavu kuwapa uongozi wa nchi ...kwa sababu wana sifa moja mbaya sana ya kufuata mikumbo miovu na kuunga mkono mambo maovu yanayo fanywa na watu wa dini yao ...nilisha sema hapa ndani ya ccm kuna genge hatari la raia feki na genge hatari linalo tumia dini ya kiislamu kufanikisha uovu wao kwa watanzania......
Hayo unayoyasema yanaingiaje ktk ubunge wa Mchengerwa? Rufiji kuna dini zote wapi ambapo Mchengerwa kaonyesha udini kama unavyodai? Umekosa cha kusema ulichoona ni kuilashfu dini ya Kiislaam na hii ni tabia ya waking kama ninyi mkikosa cha kusema. Uislaam hapa unaingiaje?
 
Hayo unayoyasema yanaingiaje ktk ubunge wa Mchengerwa? Rufiji kuna dini zote wapi ambapo Mchengerwa kaonyesha udini kama unavyodai? Umekosa cha kusema ulichoona ni kuilashfu dini ya Kiislaam na hii ni tabia ya waking kama ninyi mkikosa cha kusema. Uislaam hapa unaingiaje?
Tumia akili mchengerwa ni myislamu anatumia upuuzi ule ule anao tumia samia bushiri kuzuia democracy ndani ya chama chao watu kama huyo h
Uwa wanaunda hadi vikundi vya mauaji hili tu wao wasipate washindani kwenye chaguzi
 
itakuwa ni ajabu sana na jambo la Kushangaza kama itatokea mwana CCM kuchukua Fomu ya kugombea Ubunge kwenye jimbo la Mheshimiwa Mohammedi mchengerwa. Wakati kila mmoja na kila mtanzania anatambua uchapakazi wake . Lakini pia ni Mheshimiwa Mchengerwa ni miongoni mwa wabunge wachache wanaoweza kugombea ubunge jimbo lolote lile hapa Nchini na Akapita kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
Kuna muda mnatumiaga nini kuwaza?
 
Ni likely mchengerwa hatakuwa na mpinzani kwenye kura za maoni ndani ya ccm, sababu zipo.
 
Back
Top Bottom