Pre GE2025 CCM Rufiji kumpitisha Mchengerwa mgombea pekee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chawa mwenye njaa kazini
 
Aibu kwa hili taifa, Uchawa chefu chefu kama huu unapaswa kuondolewa kwa maslahi ya Tanzania.
 
Madudu yanazidi kuwekwa hadharani
 
Rushwa zitatembea sana hili watu wapitishwe, CCM uwa wanaleta taratibu za hovyo sana
 
 
Jikaze bob usipojikaza utakazwa
 
Naona saivi ni mwendo ule ule tu wa mgombea mmoja.....kazi ipo.
 
Huo ni udiktekta kama anajiamini na huo uchapakazi wake aache wajumbe watampigia kura, hamjajifunza somo la demokrasia kutoka kwa mwamba na jabali la demokrasia Freeman A. Mbowe ?
 
Huo ni udiktekta kama anajiamini na huo uchapakazi wake aache wajumbe watampigia kura, hamjajifunza somo la demokrasia kutoka kwa mwamba na jabali la demokrasia Freeman A. Mbowe ?
CCM Somo la Demokrasia walipata Sifuri
 
Siasa za uchaguzi mkuu zimeanza kupamba moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…