Pre GE2025 CCM ruksa siasa chuoni, upinzani marufuku

Pre GE2025 CCM ruksa siasa chuoni, upinzani marufuku

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 2986321

Wanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ambaye hajafahamika amezaa na nani ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma .
Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita.
Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.

Wanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma.

Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita. Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.

View attachment 2986321
watoto wa masikini hawa waganga njaa wataangukia pua mapema kwenye mikono ya bokoharamu uvccm, nawahuruma watakavyo chakazwa kwa kuahidiwa vyeo kisha kutelekezwa
 
Wanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma.

Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita. Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.

View attachment 2986321
watoto wa masikini hawa waganga njaa wataangukia pua mapema kwenye mikono ya bokoharamu uvccm, nawahuruma watakavyo chakazwa kwa kuahidiwa vyeo kisha kutelekezwa
 
Haya mapumbavu huko chuo yanasomea ujinga?
Ya kupiga risasi.
 
W
Wanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma.

Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita. Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.

View attachment 2986321
Wivuuu tuuu unakusumbua.
 
Ccm baada ya kuishiwa ushawishi hasa vyuoni ndio wakapiga marufuku siasa vyuoni. Wanajua madhara ya wasomi kuwa against wao. Wasichokijua ccm kizazi hiki sio chai, hata wafanye Nini madarakani lazima watoke.

Hao ccm ni sawa na mtu anayeelekeq uzeeni kisha akawa hakubaliani nao, mara utasikia hataki shikamoo, anajipaka peacock Ili kuficha mvi, mara avae vimini, lakini mwili unakataa tu. Unapiga marufuku wenzio kufanya siasa unafanya mwenyewe ukitegemea kupata mvuto, lakini mvuti hupati Hadi unaishia kupora uchaguzi. Hizo zote ni dalili kuwa hutakiwi.
Umetoka kwenye maandamano
 
Na kuna wapuuzi watasema "Kwan tatizo ni nini" wasielewe impact ya kumuweka mtu wa aina hiyo kwenye nafasi ya uongozi anawafundisha nini mabinti.

Huyo tayari ni Single mother na anawafundisha mabinti wadogo kuwa unaweza zaa kama bata na still ukaheshimiwa na jamii na kupewa teuzi.

Sijui kama tunaheshima juu ya ile alama ya bibi na bwana na sijui kama tunaelewa maana na maudhui yake au tunahisi ni vinyago tu vya urembo.

Kuna siku hii tabia ya kuachia watu wa hovyo kwenye sehemu nyeti na kazi zinazotaka maadili kabla ya chochote itatugharimu pakubwa sana.
Tatizo CHADEMA mna chuki sana kwenye roho zenu. Single mother ni zao la mahusiano ambayo yalishindwa kuendelea na kufikia ndoa. Hakuna baya katika hilo na haiathiri chochote kwenye mambo mengine ya maisha. Kuna watu wengi wanaoheshimika duniani wamelelewa na single mothers. Kama inakuuma sana jitahidi na wewe uwe single mother. Halafu mbona CHADEMA mna CHASO vyuoni na hakuna mtu anayesema kitu? Kwanini nyie iwaume vijana wa CCM vyuoni kufanya mambo yao?
 
Ndugu una ongea kama phd ya sheria.
Unajua saikolojia.
Singo maza kuwekwa kwenye position kama hiyo, unafundisha nin watoto na wasichana?
Inafundisha wewe uache upumbavu wa kuwachukia watu bila sababu. Kama inakuuma na wewe tafuta mwanaume akujaze mimba uwe single mother.
 
Inafundisha wewe uache upumbavu wa kuwachukia watu bila sababu. Kama inakuuma na wewe tafuta mwanaume akujaze mimba uwe single mother.
Nina mume wangu mmojA.
Kiongozi ni kioo kwa jamii, mwanamke hawezi pata mimba bila mume halali wa ndoa, na siyo mtoto wa kiongozi kuzaliwa kwenye ZINAA.
 
Wanafunzi wanaolipwa Tshs 10,000 za wavuja jasho na damu wanaosoma chuo cha TIA[Uhasibu]- Temeke, Dar es Salaam wamemtembelea Jokate Mwangelo ambaye ni mama mwenye mtoto mmoja ofisi za UVCCM Makao Makuu Dodoma.

Inasemekana hawa waasibu ndio wanakuja kuwa chawa baada ya UE mwezi wa sita. Hawa wanasifia kila kitu wakati wazazi wao wanakufa na kikokotoo.

View attachment 2986321
UNAUMIA UKIWA WAPI MKUU? POLE SANA WACHA WATU WASHANGILIE KWA FURAHA WEWE UMIA NA CHUKI ZAKO
 
UNAUMIA UKIWA WAPI MKUU? POLE SANA WACHA WATU WASHANGILIE KWA FURAHA WEWE UMIA NA CHUKI ZAKO
Unatmia herufi kubwa zote kwenye kuandika, huna tofauti na wanaoweka vibendera kwenye dp zao, ni MACHAWA wanao uza utu na nchi yao.
 
Kama ushajibiwa nitag lilipo jibu
Kennedy Kupandikiza mimba, ama kwa kimombo In Vitro Fertilization (IVF) ni mchakato wa kuunganisha yai la mwanamke na mbegu za mwanaume nje ya mwili wa binadamu katika maabara na kisha kurudishwa kwenye mwili wa mwanamke ili mimba ikue.
 
Na kuna wapuuzi watasema "Kwan tatizo ni nini" wasielewe impact ya kumuweka mtu wa aina hiyo kwenye nafasi ya uongozi anawafundisha nini mabinti.

Huyo tayari ni Single mother na anawafundisha mabinti wadogo kuwa unaweza zaa kama bata na still ukaheshimiwa na jamii na kupewa teuzi.

Sijui kama tunaheshima juu ya ile alama ya bibi na bwana na sijui kama tunaelewa maana na maudhui yake au tunahisi ni vinyago tu vya urembo.

Kuna siku hii tabia ya kuachia watu wa hovyo kwenye sehemu nyeti na kazi zinazotaka maadili kabla ya chochote itatugharimu pakubwa sana.
Anatafuta single maza wenzake
 
Kama ushajibiwa nitag lilipo jibu
IVFKupandikiza mimba, ama kwa kimombo In Vitro Fertilization (IVF) ni mchakato wa kuunganisha yai la mwanamke na mbegu za mwanaume nje ya mwili wa binadamu katika maabara na kisha kurudishwa kwenye mwili wa mwanamke ili mimba ikue.
 
Ccm baada ya kuishiwa ushawishi hasa vyuoni ndio wakapiga marufuku siasa vyuoni. Wanajua madhara ya wasomi kuwa against wao. Wasichokijua ccm kizazi hiki sio chao, hata wafanye Nini madarakani lazima watoke.

Hao ccm ni sawa na mtu anayeelekeq uzeeni kisha akawa hakubaliani nao, mara utasikia hataki shikamoo, anajipaka peacock Ili kuficha mvi, mara avae vimini, lakini mwili unakataa tu. Unapiga marufuku wenzio kufanya siasa unafanya mwenyewe ukitegemea kupata mvuto, lakini mvuto hupati Hadi unaishia kupora uchaguzi. Hizo zote ni dalili kuwa hutakiwi.
Naona sasa siasa wamezirudisha maana juzi pia uvccm chuo cha kairuki walikua na mkutano
 
Back
Top Bottom