Pre GE2025 CCM ruksa siasa chuoni, upinzani marufuku

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naona sasa siasa wamezirudisha maana juzi pia uvccm chuo cha kairuki walikua na mkutano
Wapinzani wakianza tu na ccm ikaona inazidiwa watazuia tena. Fahamu hiyo Sheria bado ipo, lakini inafumbiwa macho maana wao ndio wanaivunja bila bugudha.
 
Nchi hii haina vyuo vikuu. Vyuo vikuu viko mambele huko ambako wanachuo wakiliamsha dude serikali zinaufyata.
 
Wakuu samahani kwa kuingiza maada isiyoendana na title,ila ni hv mm huwaga nakua nahoja en sometimes nakua na mambo yananisumbua kichww nikitaka kupoat threads inagoma wananambie post sijui inakaguliwa an haipostiki msaada wakuu
Huwa unaandika hivi hivi mara en, mara an mara hv?

Kama jibu ni ndio basi ni sawa wakukatalie tu
 
Wanakopeshwa ,na sio kulipwa
 
Wanarejesha na sio lazima uwe umeajiliwa serikalini hata ukiwa private hata ukiwa enjoy hata ukiwa mjasiliamali
Wanapatikana wapi?

MWIJAKU ni graduate na huwa anasema haipi, hajawahi kulipa na hataki kulipa, mtatmtumia polisi akalipe?
 
wamekuacha ee πŸ’

pole usijiskie vibaya pambana aise uskate tamaa πŸ’
 
IVFKupandikiza mimba, ama kwa kimombo In Vitro Fertilization (IVF) ni mchakato wa kuunganisha yai la mwanamke na mbegu za mwanaume nje ya mwili wa binadamu katika maabara na kisha kurudishwa kwenye mwili wa mwanamke ili mimba ikue.
Kodi zetu zimefanya mambo makubwa.

Bila shaka aliyetoa mbegu atakuwa anajulikana
 
Wewe huna akili kabisa- SINGLE MOTHER maana yake nini? Wewe unaona inawezekana kukawepo SINGLE MOTHER?
 
Bahati nzuri wanaopata hizo nafasi za kutembeleana ni wachache kuliko maelfu tuliopo kitaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…