CCM semeni ukweli: Kinana na Makamba wameipuuza Kamati ya Maadili Dodoma wakaenda kuonana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM hapa Dar

Hawa wazee walikataa kwenda kuhojiwa, mwenyekiti wa chama akaombwa aende kwa Che Mkapa amwombe ili akawabebeleze hawa wazee waonane hata na viongozi wa chama Lumumba ili kuondoa mentality ya kwamba wamegoma kwenda kuhojiwa na wameamua kupumzika siasa. Jambo la kujulikana kwamba wamegoma au wameachana na siasa za CCM lingeleta mgawanyiko mkubwa miongoni mwa wanachama. Hawa wazee wamekitumikia chama kwa muda mrefu, kuna watu wengi ndani ya CCM ikiwa ni pamoja na viongozi wamepitia katika mikono ya hawa wazee hadi hatua waliopo sasa. Hivyo kupuuzwa kwao kungekuwa na athari kwa viongozi wa chama waliopo madarakani, kwa kuonekana na baadhi ya wanachama kwamba wanakivuruga chama. Jambo la mgawanyiko ndani ya chama lingeathiri kwa kiasi fulani mshikamano wa wanachama kuelekea uchaguzi mkuu 2020.
 
Mkuu kutotekeleza kwao hakuhalalishi makosa yao au kutuzuia ku-comment pale tunapokuwa na utashi wa kufanya hivyo
Sina uwezo wa kuzuia cu-comment nawe unafahamu hivyo ila i am stating the fact.
Wengi wetu humu mnapenda kufuata mkumbo bila kutumia logic na iwapo anatokea mtu ambaye anaangalia the other side of the coin mna-mbrand.
 
povu unalo wewe na kuweweseka baada ya uzushi jike wa akina Kinana kugoma kwenda kikaoni kubuma...

Kuwa dada sio dhambi hasa ukizimgatia i love mamangu, dadangu, binti zangu na michepuko[emoji16][emoji16][emoji16]
Nimekuambia weka ushahidi wewe unaniletea kingereza chako cha fb hapa! Punguza povu dada yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hususan kikiwa chama tawala ndio zaidi kwani ndicho husimamia serikali inayoongoza nchi
 
Wakina Makamba walikuwa wana beep moto wa Magufuli.
 
povu unalo wewe na kuweweseka baada ya uzushi jike wa akina Kinana kugoma kwenda kikaoni kubuma...

Kuwa dada sio dhambi hasa ukizimgatia i love mamangu, dadangu, binti zangu na michepuko[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe shuleni ulienda kujifunza upumbavu, nilikuambia kitu kidogo tu,weka ushahidi wewe unaniletea maelezo meeeengi mara bimkubwa wako,mara binti zako mara michepuko. Ndiyo maana mnashindwa mitihani.Jibu swali uliloulizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo kama havuti bangi, basi kuna tatizo mahali.
Hizo kontena aliziona? Tunawezaje kuamini maneno yasiyo na mashiko kama hayo???

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yanakuhusuje kwa mfano. Kuijadili CCM kwako huwa una majibu kabisa. Sasa wawe wameitwa Dodoma au dar. Wewe Hapo Shida yako nini hasa. Hapa huonekani kama una interest na CCM kama Public Organisation but kama MMBEYA anayetafuta mabaya yake. Soma hoja zako. Huna tofauti na binti wa kigodoro. It’s time that you grow up. Sema kuwa You hate CCM for your own personal reasons and hatuhitaji kuzijua because it’s about you and your own life. Acha kujificha kwenye mwavuli „PUBLIC INTEREST „ inaonyesha how weak you are as a person. Lakini ushauri wa bure, hata ukiwa unalipwa au kutumwa Basi bakiza na akili yako mwenyewe.
 
Mvurugano ndani ya CCM kwa sasa, kwa kuwa CCM ni chama tawala, unaweza kuwa mvurugano kwa serikali na uongozi wa nchi kwa ujumla. Kwa hiyo hapo ninakuwa na interest. Tatizo lako kubwa ni kwamba you hate anyone that says something negative about CCM.Sometimes for public organizations to be constructive, they need to be criticized and shamed. Inaitwa constructive negative portrayal. CCM get your house in order stop behaving like kids.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…