CCM, tafuteni namna ya kumshauri Rais Magufuli maana muda mwingine anaumiza sana

Watu walipwe kulingana na uzalishaji wao, kwa vile waliboronga kazi basi ni busara wapunguziwe mshahara kufidia hasara waliolisababishia taifa na tena walipaswa kustaafishwa kabisa, rais ana huruma.
Tuna Rais mwendawazimu asiyeshaurika.
Alishawahi kutamka hadharani kuwa wale alowakuta wakipata mishahara minono wakiishi kama Malaika atawashusha waishi kama Mashetani!!!
 
Kiwango chao cha kuboronga wakijua au?
Waliboronga vipi na kwa nini?
Mambo mengine utakuta yalikuwa nje ya uwezo wao.
Watanzania tumegeuka kuwa viumbe wa ajabu sana na tusio na shukrani, kipindi cha awamu ya 4 kulikuwa na utaratibu wa kuwahamishia maeneo tofauti watendaji walioboronga kazi ama kufanya ubadhirifu, na hii ilikuwa kero kubwa kwa wananchi! awamu hii imeamua kupambana na kero hiyo, sisi hawahawa Watanzania tena tumegeuka kuwa watetezi wa wazembe na kuwalaumu wanaoshughulika na wazembe! Hiiiiiiii....!
 
Tumbo kwanza utaifa baadae
 

Attachments

  • Screenshot_20201214_174029.jpg
    68.9 KB · Views: 1
 
Rais wetu anauwezo mkubwa wa kusema ukweli, ni Rais wa kipekee barani Afrika na hata duniani. Muacheni afanye kazi yake aliyojitolea kwa ajili ya manufaa ya taifa letu !
Mtoto asiye tembea hujua kuwa mama yake pekee ndiye mtaalam wa mapishi hivyo si kosa kufananisha mtu aliyekosa sifa za kuwa rais wa kuigwa bali yeye anawaiga akina mseveni,kagame na marais kutoka burundi na kongo hebu nikuulize ni nchi gani katika Afrika iliyoiga utawala wa huyu bwana mkubwa.
 
Iliaminika kuwalipa vizuri tea kutapunguza ushawishi wa kuomba rushwa, kinyume chake wafanya biashara wanaibiwa. Kodi ya serikali haiguswi. Mlipa kodi stahili ya sh 500000, anaambiwa kodi yako ni sh 1500000. Akilalamika anambiwa kama una sh 500000 let tukusaidie ili ulipe sh 500000, anawapa na kweli anakadiriwa sh 500000. Kifuatacho mtaji unakatika, bank marejesho yanagoma. Akikosa ya kuwapa anambiwa akafunge biashara. Hiyo ndio TRA.
 
Hawawezi kuiga kwa sababu hawana uwezo, nabii hakubaliki kwao. Iko siku mtamkumbuka Rais Magufuli na kuelewa kile anachokipigania sasa !
 
Watu walipwe kulingana na uzalishaji wao, kwa vile waliboronga kazi basi ni busara wapunguziwe mshahara kufidia hasara waliolisababishia taifa na tena walipaswa kustaafishwa kabisa, rais ana huruma.
Wakishapunguziwa hiyo mishahara na watachapa kuongeza uzalishaji ili waongezwe tena au ndo utendaji utadorola kabisa?
 
Ona aibu basi eeeeh!!
 

Mkuu ungetulia kwanza. Watu hulipwa kwa masaa na utendaji wao. Siku nyingine sifia tu sio dhambi
 
Taarifa za Ben wanasubiri wananchi, lkn taarifa za wanaomkosoa jiwe na zile za chadema wanaotaka kuandamana huwa wanazipata.
Tatizo la Chadema wanapenda kusalitiana sana,hasa wakioneshwa mpunga kidogo ndiyo maana unaona information zao police wanazipata mapema sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…