Kiujumla hawakufanya kazi ya hovyo, nawangefanya ya hovyo nadhani Rais aliyekuwepo asingeacha iwe ya hovyo.
Ila kwa maono yake ilikuwa niya hovyo! Is fine , hivyo alivyokuja! Alitakiwa tu aboreshe kwa kuwatumia waajiriwa hao hao na kuwatumbua sasa wakiwa hapo hapo!! Maana alishasema huwezi kumuhamisha mtu aliyefanya madudu.
Kumbuka kuwa ...uongozi ni VISION hakika hatata yeye akumbuke alikuwa ktk serikari hyo hyo wakati ule, hivyo hata yeye akitoka Rais atakae kuja atakuja na Vision yake!
Sasa nikuulize swali, Rais ajaye naye akisema wafanyakazi wa TRA wanamshahara mkubwa nao wabadirishiwe kanuni ili wapunguziwe km hawataki waache kazi hyo itakuwa nisawa???
Mfano!
Wakati anamtoa kichele TRA kwenda kuwa Ras nae alimpunguzia mshahara??
Wakati anamtoa Andengenyee pale fire kwenda kigomaa kuwa arac je! Nae alimbadirishia mshahara?
Alitoa wengi, je nao aliwapunguzia mshahara??? Au TMAA walimkosea nini??
Au hajui kuwa kabla ya TMAA kulikuwepo na Arexstuwart ambao walikuwa wakilipwa kwa Dolla???
Haoni kuwa TMAA hata hyo mishahara nikama waliipunguza kuliko ya Arexstuwart?
Haya sasa!! TRA amekiri kuwa hata yy wanamzidi mshahara!! Kwani wao sio watanzania?? Mbona hajataka wapunguziwe??
Kazi za TMAA au wizara ya madini, hazina tofauti na za TRA, maana nao wanakusanya kodi na kulinda napato yatokanayo na madini!!
Hatutaacha kuusema ukweli maana msema kweli ni mpenzi wa mungu.