CCM, tafuteni namna ya kumshauri Rais Magufuli maana muda mwingine anaumiza sana

CCM, tafuteni namna ya kumshauri Rais Magufuli maana muda mwingine anaumiza sana

Kiujumla hawakufanya kazi ya hovyo, nawangefanya ya hovyo nadhani Rais aliyekuwepo asingeacha iwe ya hovyo.

Ila kwa maono yake ilikuwa niya hovyo! Is fine , hivyo alivyokuja! Alitakiwa tu aboreshe kwa kuwatumia waajiriwa hao hao na kuwatumbua sasa wakiwa hapo hapo!! Maana alishasema huwezi kumuhamisha mtu aliyefanya madudu.

Kumbuka kuwa ...uongozi ni VISION hakika hatata yeye akumbuke alikuwa ktk serikari hyo hyo wakati ule, hivyo hata yeye akitoka Rais atakae kuja atakuja na Vision yake!

Sasa nikuulize swali, Rais ajaye naye akisema wafanyakazi wa TRA wanamshahara mkubwa nao wabadirishiwe kanuni ili wapunguziwe km hawataki waache kazi hyo itakuwa nisawa???

Mfano!
Wakati anamtoa kichele TRA kwenda kuwa Ras nae alimpunguzia mshahara??

Wakati anamtoa Andengenyee pale fire kwenda kigomaa kuwa arac je! Nae alimbadirishia mshahara?
Alitoa wengi, je nao aliwapunguzia mshahara??? Au TMAA walimkosea nini??

Au hajui kuwa kabla ya TMAA kulikuwepo na Arexstuwart ambao walikuwa wakilipwa kwa Dolla???
Haoni kuwa TMAA hata hyo mishahara nikama waliipunguza kuliko ya Arexstuwart?

Haya sasa!! TRA amekiri kuwa hata yy wanamzidi mshahara!! Kwani wao sio watanzania?? Mbona hajataka wapunguziwe??
Kazi za TMAA au wizara ya madini, hazina tofauti na za TRA, maana nao wanakusanya kodi na kulinda napato yatokanayo na madini!!

Hatutaacha kuusema ukweli maana msema kweli ni mpenzi wa mungu.
Poleni sana ndugu zangu hakika nawaonea huruma sana . Imagine mtu ushakopea huo mshahara . Surely this is disastrous.
 
CCM wanajua hawategemei kura kushinda uchaguzi, acha watuoneshe makali.
 
Umeandika point tupu lkn umeshindwaje kuandika LUGHA na ukaandika rugha!
Mkuu sumetime maumivu yakuona mwenzio analiwa na simba, unaweza shindwa hata kuita watu waje kutoa msaada ukabaki unaita mamaaaaa!! Watu wakakwambia mbona usingetuita???
 
Ila nataka niwaambie!! Nasema hili kutoka moyoni! Km hatabadirika ! Atalipwa, unajua mungu acha aitwe Mungu!
Mungu anaweza kukulinda na kukuacha akikupa mda uweze kubadirika

Nafasi yko ikiisha!! Ha ha ha utashangaaa! Haya maembe haya, yanaweza kuleta kipindupindu mpaka ukajiuliza nini hiki.
Tena kikaanzia kula kwako.

Muulize farao.
 
Watu walipwe kulingana na uzalishaji wao, kwa vile waliboronga kazi basi ni busara wapunguziwe mshahara kufidia hasara waliolisababishia taifa na tena walipaswa kustaafishwa kabisa, rais ana huruma.
Ngumbaru at his best level [emoji1787][emoji1787]

Kwani sheria ya kazi inasema hivyo?
 
Mkuu Enzi na Enzi, kongole nyingi zikufikie kwa hii mada yako.
 
CCM hii ya mmaamuma watu wanamsujudu mtu wanajuwa ana file milembe zile sehemu za madini amewaweka watoto wa dada zake wajineemeshe tu fedha wNawatajirisha warundi na wanyarwanda wanakowekeza CCM ni wapuuzi wamemuweka mtu kuwa mwenyekiti wa chama chao wakijuwa anafile milembe ni psycho kabisa na ndio maana amekiuwa chama amebaki na genge la usalama wataifa huku wenyewe wakianza kuuwana hivi dhahabu kweli tangu inavyochimbwa nchi nzima siingekuza pato la taifa na kuwa namva moja mbona ni korosho sasa anabwabwaja tu maana hana sera yeyote ya maana ya uchumi kuukuza
 
Police bila information kutoka kwa Raia wema hawawezi peke yao
Taarifa za Ben wanasubiri wananchi, lkn taarifa za wanaomkosoa jiwe na zile za chadema wanaotaka kuandamana huwa wanazipata.
 
Rais mwenye majina mengi ujue hafai na dikteta. Hivyo Idi Amin, Kamuzu Banda, et al walikuwa na majina mangapi kila mmoja? Tena majina ya hovyooo. Wengine waliitwa Dada (Idd Amin), kuku (Kamuzu) na sasa nasi tuna Jiwe!!!.
Bila kumsahau Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga....!!
 
No stone shall be left unturned

waliobaki ni wabunge kufyekwa posho
 
Back
Top Bottom