Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
- Thread starter
- #101
Sijaona hoja hapo. Umeisoma mada vizuuri lakini Pascal? Hii imefanana na kijana aliyejaribu kumchumbia binti, alipomkosa akaanza kuona makovu aliyo nayo usoni na kuanza kutangazia watu kuwa ana sura mbaya .
Utakuwa unadhani mtoa mada ni mtumishi , au muathirika wa hiyo habari!! La hasha!
Nakama huwa unafatilia mada za mleta uzi huu, ni team jpm leo jana nahata siku zijazo.
Nampenda sana jpm, na jpm siyo maraika, lkn pia tunayohaki ya kumshauri kwa njia hizi au kuonyesha kuwa sisi wapambe wake, kuna mambo hatukubaliani nae. Siyo kila kitu ndio. Au kushangilia, tutakuwa tunampoteza, ni kheri tuseme kuliko kukaa kimya.
Mwisho, hata kama jamaa baada ya kukataliwa na binti then akaanza kutangaza sura ya binti kuwa ni mbaya, bado wewe unayetangaziwa usipuuze mwangalie binti sura yake km kweli inamakovu??? Ukibaini haina basi sema kuwa jamaa anamtangaza binti kwakuwa katoswa.
Nenda ukasome habari ya kuzama kwa meli kubwa ya titanic hata ktk mtandao!. Uone namna ilivyozama na namna watu walivyoangamia.
Kifupi nikwamba wengi wao nahata nahodha wao, walizarau maonyo.