Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Vururu tupu chi hii. Nani ndani ya Chama atadiriki kumushauri? Mtu huyo hajipendi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwe. Kamwe; huwezi kuuma mkono unakupatia shibe na heshima.Ndio unaamka sasa, mbona hizi hulka binafsi zimekuwa ni sehemu ya uongozi wake na wanaccm mkawa mnasifia kuwa nchi inanyooshwa? Unataka bunge la wanaccm lisimame dhidi ya maagizo ya rais ambayo unadhani sio sahihi. Kwa taarifa yako nusu ya wabunge wa ccm wamepatikana kwa kutoa rushwa, na yeye hilo analifahamu. Na zaidi ya nusu wako ndani ya hilo bunge bila kushinda kihalali kwenye majimbo, bali kwa amri yake.
Angalia spika wa bunge na waziri Mkuu wote wamepatikana kwa kupita bila kupingwa, na fuatilia kilichowafanya wapite bila kupingwa ni njia za kihalifu. Hao ni mifano hai tu ya wabunge wengi walioko kwenye hilo bunge. Unapokuwa na wabunge zaidi ya 60% walioko bunge kwa mbinu za kihalifu na matumizi mabaya ya madaraka, wanapata nguvu ya kumkemea rais ambaye ndio alitumia madaraka yake vibaya kuwapatia ubunge?
Labda ajifunge tu mwenyewe.Nani amfunge paka kengele?
Wazee? Walishaonywa,
Wasomi? Walishachunguzwa
Wachungaji? Walishalainishwa.
Sina mfano duniani wa Rais aliyeingia madarakani kihalifu kisha akaongoza nchi kiungwana. CCM walikenua meno ya furaha walipojiingiza madarakani kwa uhalifu, sasa wayapokee machungu ya uhalifu wao. Rais wao ni dikteta.Ndio unaamka sasa, mbona hizi hulka binafsi zimekuwa ni sehemu ya uongozi wake na wanaccm mkawa mnasifia kuwa nchi inanyooshwa? Unataka bunge la wanaccm lisimame dhidi ya maagizo ya rais ambayo unadhani sio sahihi. Kwa taarifa yako nusu ya wabunge wa ccm wamepatikana kwa kutoa rushwa, na yeye hilo analifahamu. Na zaidi ya nusu wako ndani ya hilo bunge bila kushinda kihalali kwenye majimbo, bali kwa amri yake.
Angalia spika wa bunge na waziri Mkuu wote wamepatikana kwa kupita bila kupingwa, na fuatilia kilichowafanya wapite bila kupingwa ni njia za kihalifu. Hao ni mifano hai tu ya wabunge wengi walioko kwenye hilo bunge. Unapokuwa na wabunge zaidi ya 60% walioko bunge kwa mbinu za kihalifu na matumizi mabaya ya madaraka, wanapata nguvu ya kumkemea rais ambaye ndio alitumia madaraka yake vibaya kuwapatia ubunge?
Rais mwenye majina mengi ujue hafai na dikteta. Hivyo Idi Amin, Kamuzu Banda, et al walikuwa na majina mangapi kila mmoja? Tena majina ya hovyooo. Wengine waliitwa Dada (Idd Amin), kuku (Kamuzu) na sasa nasi tuna Jiwe!!!.Ukiona mtu anajiita Jiwe, mara Jembe, unadhani utamshauri nini?
Mtu anayemgawa mama yake kwa malipo ya jogoo
Bora hio pesa waongezewe hawa maana wanachapa kazi 'kweri kweri' lkn wanacholipwa hakina sifa ya kuitwa mshahara bali 'marupurupu'.
Rais katoa hoja ya msingi tu, watu wameboronga huko walikotoka kisha wanahama na hilo 'limshahara' kwenda kuwanyanyasa watumishi wenzao tena mabosi wao ktk taasisi mpya.