Kipe Ya Yo
Member
- Sep 25, 2020
- 23
- 30
Mkuu unatakiwa ushibishe taarifa yako ieleweke vizuri maana haujatoa hayo mauaji yamefanyika katika mazingira yapi ya kuhitaji polisi kuyafanyia uchunguzi wa haraka pia muwe mnatoa masikitiko wanapofanyiwa wapinzani wenu wa kisiasa wote wana mioyo na ndugu zao.Kwa uchungu na masikitiko makuu CCM imezipokea taarifa za mauaji ya mwenyekiti wa Uvccm vyuo vikuu mkoa wa Iringa komredi Mlelwa.
Polepole amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki za kisheria.
Rip Mlelwa
Maendeleo hayana vyama!
Polepole ameweka kwa kifupi kwenye ukurasa wake wa twitter.Mkuu unatakiwa ushibishe taarifa yako ieleweke vizuri maana haujatoa hayo mauaji yamefanyika katika mazingira yapi ya kuhitaji polisi kuyafanyia uchunguzi wa haraka pia muwe mnatoa masikitiko wanapofanyiwa wapinzani wenu wa kisiasa wote wana mioyo na ndugu zao.
Umesahau wapinzani wakiuawa mnavyosema Azory kaenda nyumba ndogo, Lissu kajipiga risasi, Abdul Mondo kajiteka NK?.Una uhakika?
Wewe ni mzima?Wacha wafu wawazike wafu wenzao
Anavyosema nani?Umesahau wapinzani wakiuawa mnavyosema Azory kaenda nyumba ndogo, Lissu kajipiga risasi, Abdul Mondo kajiteka NK?.
Una uhakika?
CDM huwa haiui wala kupiga risasi wananchi. Inaamini ktk uhai na afya ya kila mwanachi wa nchi hii. Wauaji Ni haohao wanajamba halafu wanakimbilia feni.......ati 'kwa masikitiko makubwa'. Shenzi.
Kwa tulipofika saivi ,naona mkono wa Mungu unatuokoaKwa uchungu na masikitiko makuu CCM imezipokea taarifa za mauaji ya mwenyekiti wa Uvccm vyuo vikuu mkoa wa Iringa komredi Mlelwa.
Polepole amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki za kisheria.
Rip Mlelwa
Maendeleo hayana vyama!
Inawezekana wewe mhusika labda
Nasubiri statement yao ya kulaani jaribio la kumwua Lisu, kupotea Ben, Azory na kuokotwa watu kwenye virobaKwa uchungu na masikitiko makuu CCM imezipokea taarifa za mauaji ya mwenyekiti wa Uvccm vyuo vikuu mkoa wa Iringa komredi Mlelwa.
Polepole amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki za kisheria.
Rip Mlelwa
Maendeleo hayana vyama!
Kwani polepole alikuwepo?Bwashe ni lini Polepole na chama watapokea taarifa ya kifo Cha Daudi Mwangosi, Akwelina na Alfonce Mawazo kwa masikitiko makubwa? Ikibidi kuitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa dhati na wa haraka? Hao nao ni raia wema wa nchi hii, wenye familia na wapendwa wao. Tusiwe wabaguzi!
Alikuwa wapi?Kwani polepole alikuwepo?