CCM Taifa yalaani mauaji na kifo cha mwenyekiti wa UVCCM vyuo vikuu mkoani Iringa komredi Mlelwa. Rais Magufuli aagiza wauaji kusakwa

Shahidi wa kwanza huyu hapa amepatikana.

Yaani Chadomo ni waropokaji.

JPM 2020- 2025

CCM USHINDI NI JADI
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
 
Propaganda za kichina Magufuli muuaji period
 
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
The end justify the means, mpango ni nyumba kwa nyumba.

CCM ni magwiji wa siasa za Tanzania tuna mbinu zaidi ya 1000 za USHINDI.

JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
 
Je waliompiga Lisu risasi, Azory, Mawazo, Ben etc, mbona hakutoa agizo au aliwauma?
 
Bwashee huyo alipewa hela na CCM kwenda kununua wagombea udiwani wa Chadema Ludewa wananchi wenye hasira wakampa kipigo kitakatifu hadi akafa. Biashara ya kununua wanasiasa mliyoipa kipaumbele imepata dawa!
NAAMM...
 
Ni lini ataagiza kusakwa kwa wauaji wa Ben Saanane? Lini ataagiza msako wa waliompiga risasi Lissu?
 

Wamesha mhoji mlelwa kupata pa kuanzia uchunguzi?
 


Kazi kwlei kwlei unapokuw anamgombea anayefanya kampeni lakini wkati huohuo ni mkuu wa dola.
 
Poor ccm
 
Upuuzi mtupu.
 
Bwashee huyo alipewa hela na CCM kwenda kununua wagombea udiwani wa Chadema Ludewa wananchi wenye hasira wakampa kipigo kitakatifu hadi akafa. Biashara ya kununua wanasiasa mliyoipa kipaumbele imepata dawa!

Police waanze na wewe utakuwa unajua!. Na ninishangaa mod... ameiacha hii comment inasomwa na kuhamasisha uendawazim mpaka mda huu, hii isije kuwa jf mnachagua nyuzi za kufuta kwa kuangalia mchangiaji anamlengo gani! Angekufa wa chadema na comment km hii angeshapigwa bun kitambo.
 
Alietaka kumuua Lissu yupo anajidai na mabunduki yanayomlinda, nae akamatwe arudishwe kwao.
 
Binafsi naunga mkono wasakwe popote pale, hata waliowapoteza Azory Gwanda na Ben Saanane na waliompiga risasi Tundu Lissu pia wasakwe kwa gharama yoyote ile.
Na waliomwua Mawazo kule Geita wasakwe! Double standard sio jadi yetu
 
Hao CCM tukiamua hawatasimama majukwaani maana wametutesa sana hatua hazichukuliwi na sisi lazima tujihami
 
Kuna watu punde watabebeshwa zigo la kesi ya mauaji...
 
Wengine waliopotea nao vip ? Tuna Ben na Azory!!
Mkuu, yaani wangetumia tu akili kidogo. Wangewaachia polisi waseme wao wangebaki salama. Kumbe kuna wenye umuhimu zaidi sasa upinzani ukipata wafuasi zaidi inakuwaje

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa ameuwawa mwana Uvccm ndio msako uwe mkali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…